Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,023
Nyoka huyo mkuuSasa hivi kuna harufu za viazi vitamu vya kuchoma sijui nayo ni nini? Nipo porini sana sema kuna tambarare pana na baadhi ya mito nasubiri nijue ni kitu gani hiki hii harufu inakolea mno majira ya saa mbili usiku