macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,331
- 57,204
BTW unajua sentensi uliyoandika ina maana gani? Ina maana wewe unataka ujue sehemu ambazo huyo jamaa HAYUKO! Jaribu kuwa mwangalifu unapoandika na usirahisishe mambo kama hujaenda shule!natamani nijue huko wapi