Harrier T...BXL hii sio crash ni karashi!

Harrier T...BXL hii sio crash ni karashi!

We nawe kweli kilaza Madela Road na Makongo Juu wapi na wapi?
Kwa huku Visiwani ni sawa na kusema Paje na Michenzani
Mishemishe mjini ni mingi mkuu, labda alianza na kumpeleka ndugu yake Stand ya Mkoa then akaendelea na mishemishe yake, kwahiyo mkuu @Tusker Bariiidi alitaka kumjua kama ni jirani yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom