Harrier T...BXL hii sio crash ni karashi!

Harrier T...BXL hii sio crash ni karashi!

asantee ila jamaa alinikera sana yaani ngethubutu tuu kushuka kwenye gari yake kunifata maana aliniblock kwa mbele ningefungua kioo nikampiga kwenzi kisha nikafunga vioo na kujilockia milango.

halafu angekuwa anakuangalia tu ukimpiga kwenzi au na yeye angekukiss? LOL
 
Ukishindwa kutafuta basi weka hata bandiko hapa kule lavu konekti

wala sibandiki popote, am a single lady will be single for good just mingle with the crashes ila no string attached.... looh mambo ya malove yalinishinda nimebakia na crash tuu
 
wala sibandiki popote, am a single lady will be single for good just mingle with the crashes ila no string attached.... looh mambo ya malove yalinishinda nimebakia na crash tuu

Hii ni zaidi ya "krashi"...ya hormones are speaking out loud

Narudia tena hebu tafuta wa kuzipunguza kama kweli hizi stori zako ni za ukweli...
 
Sitafuti ng'oo labda kama kuna dawa hospitali au kama kuna daktari anatibu ivo ntaenda ila sindano hanichomi ng'oo
Hii ni zaidi ya "krashi"...ya hormones are speaking out loud

Narudia tena hebu tafuta wa kuzipunguza kama kweli hizi stori zako ni za ukweli...
 
Huyu Dada ana matatizo ya kisaikolojia yanayotokana na love affairs. Kuna mahali malovee yalimshinda alichobaki nacho ni kutamani wanaume wanaoendesha barabarani. Jitahidi kujichanganya mdada utakutana tu na wa kukupunguzia stress za dunia hii.!! Ukishindwa kabisa nenda hata hospitali jifanye unaumwa sehemu nyeti, kuna wakora atakuhudumia na kuchukua contact yako.
 
Huyu Dada ana matatizo ya kisaikolojia yanayotokana na love affairs. Kuna mahali malovee yalimshinda alichobaki nacho ni kutamani wanaume wanaoendesha barabarani. Jitahidi kujichanganya mdada utakutana tu na wa kukupunguzia stress za dunia hii.!! Ukishindwa kabisa nenda hata hospitali jifanye unaumwa sehemu nyeti, kuna wakora atakuhudumia na kuchukua contact yako.

hahahahaahahaha looh hapo nilipo bold umenifanya nicheke kwa nguvu looh hahahahaha niende hospitali niamwambie daktari naumka K mweeehh!!! haya bana sasa itanoga daktari akiwa wa jinsia ya me akiwa jinsia ya ke sijui itakuweje.....
Ila niko oa bana nmatukio tuu ndo yamefululizana kunitokea yakujirudia rudia
 
Njoo hospitali kwa uchunguzi zaidi...

Khaaa!! Hivi kumbe wewe ni daktari loohlikuwa nshasahau, nije hospitali unayofanya kazi mmmhhh nnawaswas utanchoma sindano ya usingizi ndo uanze kunitibu na mie nina aleji na sindano ya aina yoyote ile. Mmmhhh ngoja ntafute nnaemuamini ambae hatarubunika wa kunileta huko hospitali vinginevyo hunioni ng'oo
 
Huyu Dada ana matatizo ya kisaikolojia yanayotokana na love affairs. Kuna mahali malovee yalimshinda alichobaki nacho ni kutamani wanaume wanaoendesha barabarani. Jitahidi kujichanganya mdada utakutana tu na wa kukupunguzia stress za dunia hii.!! Ukishindwa kabisa nenda hata hospitali jifanye unaumwa sehemu nyeti, kuna wakora atakuhudumia na kuchukua contact yako.

Alaa unataka kuniambia anaugoniwa wa kunyegeka?
 
Haya mama basi endelea uguza hiyo gonjwa yako...:tape:

Khaaa!! Hivi kumbe wewe ni daktari loohlikuwa nshasahau, nije hospitali unayofanya kazi mmmhhh nnawaswas utanchoma sindano ya usingizi ndo uanze kunitibu na mie nina aleji na sindano ya aina yoyote ile. Mmmhhh ngoja ntafute nnaemuamini ambae hatarubunika wa kunileta huko hospitali vinginevyo hunioni ng'oo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom