Jamani leo nimekutana na huyu mtu wa Harrier si kuwa nime crash nae ni kuwa ameniletea msala barabarani. Ilikuwa hivi niko mandela road alfajiri leo kuna mahali nilikuwa nawahi sasa kufika eneo la mwananchi pale kwenye kiungio cha reli kuna mashimo na leo nilikuwa na ka baby walker so nikapinda kulia kukwepa mashimo kisha nikarudi main road ili niendelee maana kuna siku nilipota hapo kwa speed nikayavaa mashimo tairi ikatoka kwenye rim. Sasa nyuma yangu ndo kulikuwa na hii harrier ilikuwa inakuja ikataka kunipita wakati mie nakwepa shimo ile narudi barabarani akawa kama kaniblock kwa mbele. Tukatupiana maneno hapo kisha nikamwambia nenda basi muda unaisha maana ningekuwa nakata kona ningewasha hand cater.
Aliniboa baada ya kuondoka akakaa site ya kulia mie nikapita ya kushoto akawa anaendesha kawaida, kwa vile nilikuwa na haraka nikakanyaga mafuta baby walker yangu nimpite nae akakanyaga wese baada ya kuona nampita nusura amgonge mtu wa bodaboda yaani aliniboa mnoo na ndo ilikuwa alfajiri.
Yaaani wewe harrier T...BXL popote ulipo ulichonifanyia leo sijakipenda hata.
hahahaaaaaaaaa
Ole wako unitaje na kigari cha watu nlichoazima nisafishe nyota.
Mchepuko dili
mimi nilikuwa na phonex bila shaka siwezi kugongana nae njiani coz njia zetu ni mbili tofautiAngesema noah ningejishtukia, sio mimi uyo labda Mndengereko au kabanga
We nawe kweli kilaza Madela Road na Makongo Juu wapi na wapi?
Kwa huku Visiwani ni sawa na kusema Paje na Michenzani
Jamani leo nimekutana na huyu mtu wa Harrier si kuwa nime crash nae ni kuwa ameniletea msala barabarani.
Ilikuwa hivi niko mandela road alfajiri leo kuna mahali nilikuwa nawahi sasa kufika eneo la mwananchi pale kwenye kiungio cha reli kuna mashimo na leo nilikuwa na ka baby walker so nikapinda kulia kukwepa mashimo kisha nikarudi main road ili niendelee maana kuna siku nilipota hapo kwa speed nikayavaa mashimo tairi ikatoka kwenye rim.
Sasa nyuma yangu ndo kulikuwa na hii harrier ilikuwa inakuja ikataka kunipita wakati mie nakwepa shimo ile narudi barabarani akawa kama kaniblock kwa mbele.
Tukatupiana maneno hapo kisha nikamwambia nenda basi muda unaisha maana ningekuwa nakata kona ningewasha indicator.
Aliniboa baada ya kuondoka akakaa site ya kulia mie nikapita ya kushoto akawa anaendesha kawaida, kwa vile nilikuwa na haraka nikakanyaga mafuta baby walker yangu nimpite nae akakanyaga wese baada ya kuona nampita nusura amgonge mtu wa bodaboda yaani aliniboa mnoo na ndo ilikuwa alfajiri.
Yaaani wewe harrier T...BXL popote ulipo ulichonifanyia leo sijakipenda hata.
Angesema noah ningejishtukia, sio mimi uyo labda Mndengereko au kabanga
hahahahahaha itakuwa ni wewe tu huyo maana hupendagi kupitwa
Me huwa nawapita wanaoendesha speed maana sipendi mwendo kasi naona bora niwapite
Ustaadhat, mie nipo kiembe samaki kuelekea uwanja wa ndege, vipi naweza kukuona...twende foro, lol..