ujumbe huu mpeni pia sabodo
Kwa sasa kinachoendelea ni makada na wanachama wakiingia katika ukumbi wakibadilishana mawazo.... Saa mbili kamili shughuli rasmi itaanza.
Television ya Star tv inaonyesha live kwa wale ambao hawataweza kufika hapa.
Utambulisho wa makamanda kutoka sehemu mbalimbali. Baada ya hapo Dr. Slaa naibu katibu mkuu CDM alitoa hotuba fupi kama kawaida doctor wa ukweli akaanza na suala la Arumeru mashariki. Hujuma mbalimbali ikiwemo vituo bandia na TUME YA TAIFA KUPEWA AMRI NA KIGOGO WA MAGAMBA ATANGAZE MATOKEO FEKI. LUBUVA WATOFAUTIANA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI, AKASEMA SAFARI HII HAWATAKUBALI CCM MAGAMBA WAO NDIO WATAENDA MAHAKAMANI THIS TIME.
KAMANDA MBOWE AELEZEA KUHUSU MPANGO MZIMA WA {M4C} ''MOVEMENT FOR CHANGE'' MADHUMINI NI KUWAKOMBOA WATANZANIA KUTOKA KATIKA UMASKINI HUU UNAOSABABISHA NA VIONGOZI WACHUMIA MATUMBO MAGAMBA PART. NAKUSEMA MPANGO HUU NI ENDELEVU CHAMA KIJENGWE NA WATU PEOPLES POWERSS CHAMA MIKONONI MWA UMMA. FEDHA HIZO ZITAKAZOPATIKANA ZITATUMIKA KUKIJENGA CHAMA NA KUTOA ELIMU YA URAIA KUHUSU KATIBA KATIKA KILA KATA TANZANIA. ''KAMA MNAOGOPA SISI TUNATANGULIA WENGINE MTATUKUTA'' KAULI YA MHE. MBOWE KWA WALE WANAOGOPA KUCHANGIA KWA SABABU YA SERIKALI NA CHAMA MAGAMBA KUWAFILISI ASEMA WAIGE MFANO YA VIONGOZI WA CDM AMBaO NI WAFANYA BIASHARA WAKUBWA TU. MSIOGOPE M4C NI MUHIMU.
MICHANGO IMEKUSANYA MINGI KUPITIA M-PESA-0757 755 333, 0763 744 334, 0763 766 333, 0758 003 509 TIGO-PESA- 0655 788 333
0718 611 168 NA AIRTEL-MONEY-0684 424 229, 0684 424 144. KIASI CHA FEDHA KILICHOKUSANYA NI ZAIDI 100 MILLIONI
Kuna watu wa kuwaomba michango na siyo kila mtu!
CDM wamezidi..mpaka kwenye mikutano ya kampeni? Hii haijawahi tokea!
mmeanza kujihami , tume ina makosa gani? Na mkapa ametowa wapi haya maagizo? Hamtaacha uchochezi mpaka mtakapopata viongozi wabunifu,, hamuishi kulalama kama wanawake subirini hy tarehe 1-4-2012 mtakavyosambaa mapema
Kwa kile kilichojitokeza wazi na dhahiri kuwa CDM ni moto wa kuotea mbali ni kile kilichorushwa LIVE kupitia StarTV. Na katika kuweka mambo sawa na kuonyesha kuwa haogopi na kusombwa na hisia kuwa Ukiwa mfanyabiashara ni hatari kusaidia CDM na vyama vya Upinzani, Mhe Ndesa ''Pesa'' kama alivyojitambulisha yeye mwenyewe alikichangia Chama chake Millions 20 cash! Kwanza alimuuliza M/k Mbowe kwamba anataka apewe ngapi na ndipo alipojiamulia kuwa '' Natoa 20millions na nitaendelea kutoa kukisaidia chama hadi pale ukombozi wa kweli utakapopatikana na hii M4C ifikie adhima yake''.
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Huyu alikuwa analipa fadhila kwa misamaha ya kodi anayopata kupitia chama hicho.
na wewe ulichangia chama chako sh ngapi?Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?