Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Finally imetimia, wananchi watambua kwamba ukombozi wa kweli hauletwi na viongozi peke yao bila wao wananchi kushiriki kwa hali na mali, big up kwa somo Chadema.
 
Wote walio na moyo wa kupenda mabadiliko Mungu atakuwa upande wetu.
Mimi nampongeza mzee aliyevumilia mpaka saa nne akiwa kwenye harambee hiyo anaitwa NdesaPesa amesema iko mingi siyo ya hapa tu hata nje ipo, na siyo ya kifisadi. Maneno hayo yametugusa nasi tunajiandaa kuchangia M4C.
 
ujumbe huu mpeni pia sabodo

si kazi yako na hela za sabodo kiumacho nini?sabodo zile hela zake atatumia atakavyo yeye ,wivu wa nini na fedha yake sabodo!mkwewe hajalalamika popote weye kiwasira kinjaa njaa tu huna jipya jirembe upya utapendwa tu acha woga
 
Mimi ningependa bunge liwe na 50% by 50% ili nchi iwe na sustainable issues, hili la sasa ni tabu tupu. Nasapoti sana CDM kwa ajili ya muelekeo huo.
 
Kwa sasa kinachoendelea ni makada na wanachama wakiingia katika ukumbi wakibadilishana mawazo.... Saa mbili kamili shughuli rasmi itaanza.

Television ya Star tv inaonyesha live kwa wale ambao hawataweza kufika hapa.
Utambulisho wa makamanda kutoka sehemu mbalimbali. Baada ya hapo Dr. Slaa naibu katibu mkuu CDM alitoa hotuba fupi kama kawaida doctor wa ukweli akaanza na suala la Arumeru mashariki. Hujuma mbalimbali ikiwemo vituo bandia na TUME YA TAIFA KUPEWA AMRI NA KIGOGO WA MAGAMBA ATANGAZE MATOKEO FEKI. LUBUVA WATOFAUTIANA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI, AKASEMA SAFARI HII HAWATAKUBALI CCM MAGAMBA WAO NDIO WATAENDA MAHAKAMANI THIS TIME.
KAMANDA MBOWE AELEZEA KUHUSU MPANGO MZIMA WA {M4C} ''MOVEMENT FOR CHANGE'' MADHUMINI NI KUWAKOMBOA WATANZANIA KUTOKA KATIKA UMASKINI HUU UNAOSABABISHA NA VIONGOZI WACHUMIA MATUMBO MAGAMBA PART. NAKUSEMA MPANGO HUU NI ENDELEVU CHAMA KIJENGWE NA WATU PEOPLES POWERSS CHAMA MIKONONI MWA UMMA. FEDHA HIZO ZITAKAZOPATIKANA ZITATUMIKA KUKIJENGA CHAMA NA KUTOA ELIMU YA URAIA KUHUSU KATIBA KATIKA KILA KATA TANZANIA. ''KAMA MNAOGOPA SISI TUNATANGULIA WENGINE MTATUKUTA'' KAULI YA MHE. MBOWE KWA WALE WANAOGOPA KUCHANGIA KWA SABABU YA SERIKALI NA CHAMA MAGAMBA KUWAFILISI ASEMA WAIGE MFANO YA VIONGOZI WA CDM AMBaO NI WAFANYA BIASHARA WAKUBWA TU. MSIOGOPE M4C NI MUHIMU.
MICHANGO IMEKUSANYA MINGI KUPITIA M-PESA-0757 755 333, 0763 744 334, 0763 766 333, 0758 003 509 TIGO-PESA- 0655 788 333
0718 611 168 NA AIRTEL-MONEY-0684 424 229, 0684 424 144. KIASI CHA FEDHA KILICHOKUSANYA NI ZAIDI 100 MILLIONI

Du, kama ina maana hii kweli basi ni nzuri!
 
Kwa kile kilichojitokeza wazi na dhahiri kuwa CDM ni moto wa kuotea mbali ni kile kilichorushwa LIVE kupitia StarTV. Na katika kuweka mambo sawa na kuonyesha kuwa haogopi na kusombwa na hisia kuwa Ukiwa mfanyabiashara ni hatari kusaidia CDM na vyama vya Upinzani, Mhe Ndesa ''Pesa'' kama alivyojitambulisha yeye mwenyewe alikichangia Chama chake Millions 20 cash! Kwanza alimuuliza M/k Mbowe kwamba anataka apewe ngapi na ndipo alipojiamulia kuwa '' Natoa 20millions na nitaendelea kutoa kukisaidia chama hadi pale ukombozi wa kweli utakapopatikana na hii M4C ifikie adhima yake''.
 
Sipati picha iiwapo mtaiba itatokea nini
mmeanza kujihami , tume ina makosa gani? Na mkapa ametowa wapi haya maagizo? Hamtaacha uchochezi mpaka mtakapopata viongozi wabunifu,, hamuishi kulalama kama wanawake subirini hy tarehe 1-4-2012 mtakavyosambaa mapema
 
Harambee ianzishwe kwa ajili ya radio na tv chadema ili kuleta wepesi wa kuangalia matukio mbalimbali ya chama na pia itasaidia kupeana habari mbalimbali
 
Kwa kile kilichojitokeza wazi na dhahiri kuwa CDM ni moto wa kuotea mbali ni kile kilichorushwa LIVE kupitia StarTV. Na katika kuweka mambo sawa na kuonyesha kuwa haogopi na kusombwa na hisia kuwa Ukiwa mfanyabiashara ni hatari kusaidia CDM na vyama vya Upinzani, Mhe Ndesa ''Pesa'' kama alivyojitambulisha yeye mwenyewe alikichangia Chama chake Millions 20 cash! Kwanza alimuuliza M/k Mbowe kwamba anataka apewe ngapi na ndipo alipojiamulia kuwa '' Natoa 20millions na nitaendelea kutoa kukisaidia chama hadi pale ukombozi wa kweli utakapopatikana na hii M4C ifikie adhima yake''.

Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
 
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?

Hata yule aliyetoa shilingi moja kanisani bwana Yesu alisema ndiyo ametoa kuliko wote.

Inawezekana Ndessa hana pesa kuliko Dewji na kwa kutoa huko akawa katoa kikubwa kuliko wa 560ml.
 
Ndesamburo ndiye mfanyabiashara Tanzania aliyetoa kiasi kikubwa cha fedha hadi sasa kusaidia upinzani na bado anaendelea.

Mwaweza sema Sabodo katoa nyingi zaidi. VEMA. Lakini jiulize Ndesapesa kakichangia CHADEMA toka lini, na je kiasi alichokichangia Chama kimepita kima cha milioni 100/= ama la?

Hao wengine wanachangia CCM kwasababu ya woga kufirisiwa na SERIKALI ya CCM. Wengine wanaoneka wanachangia kiasi kikubwa lakini ya pazia walichangia haifiki hata 1 ya 8 ya kile wanachowaibia watanzania kwa msaada wa Serikali ya CCM.
 
Back
Top Bottom