100 Likes
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 2,416
- 5,171
- Thread starter
- #101
Updates; Baadhi ya matawi mfano Kinondoni-PSSSF kuna utaratibu wamekuja nao unapewa 33% ya michango yako kwa mkupuo, hakuna ambaye ameshalipwa mpaka sasa isipokuwa watu wamejaza form na kuzirudisha.
Vituo vingine wanasema hawana mwongozo zaidi ya ule wa Fao la Kutokuwa na Ajira.
Tuendelee kusubiri.
Vituo vingine wanasema hawana mwongozo zaidi ya ule wa Fao la Kutokuwa na Ajira.
Tuendelee kusubiri.