Harakati za fao la kujitoa

Harakati za fao la kujitoa

Vipi kuhusu wale ambao siyo wa hiyo miradi, walioamua kuacha kazi wenyewe?

Ulimsikia anawazungumzia?
Sasa ulitaka aongelee kila kitu A to Z? Kama binadamu mwenye akili unauwezo wa kung'amua mtazamo au makudio ya rais, sio mpaka kila kitu akiseme. Kwani hata hapo nyumbani kwako ukielekeza hupendi kitu flani au unataka kitu flani familia yako itashindwa kujiongeza kwa ujumla wake vitu usivyovipenda? Au itasubiri utaje kimoja kimoja mpaka vyote viishe? Acha hizo bhana.
 
Tuelezane tulivyosikia, then tunaweza kuanzia hapo.

Mimi nilimsikia vizuri, kuhusu kazi za mikataba, kuhusu kazi za muda mfupi alisema watu kwa nini wasipewe tu hela yao wakaenda kufia mbele? Akatoa ushauri kwamba iangaliwe namna ya kuweka categories ili wakupewa wapewe. Iangaliwe namna.

Ila kuhusu kikokotoo alikuwa very bold, akasema anatoa order watu walipwe kwa utaratibu wa zamani.

Hivyo hakukuwa na conclusive remarks kuhusu Fao la Kujitoa (kwa jinsi nilivyoelewa).
Na mimi nimebezi huko katika fao la kukosa ajira ambalo naona kabisa tamko lake lilikua ni la udanganyifu na kwa maana hiyo kama tu hilo la kukosa ajira pesa tunapangiwa je itakuaje kwa wale wa fao kujitoa?
 
Hata mimi nimeona mleta mada anahitaji aina flani ya wachangiaji. In fact anaogopa kufunguka alicho nacho moyoni. Nadhani anaogopa wasiojulikana hivyo anaongea kwa kung'ata na kupuliza. Eti anasema rais hajui swala hili, mara aseme rais hakufikia hitimisho la hili swala, mmh! Rais alitoa hadi mifano kuhusu wafanyakazi kwenye hii miradi ya miaka mitatu! Halafu jamaa anajifanya eti rais hajui.
Anataka kuwa upande wakati anataka ufumbuzi
 
Anataka kuwa upande wakati anataka ufumbuzi

Shida moja ni kwamba watu wako frustrated, Msukuma Original anasema dawa ni kuwapiga risasi, unaungana naye?

Is this serious discussion? Kwamba ukiwapiga risasi ndo utaambiwa basi chukua fedha yako hii hapa.

Don't make decisions based on emotions.
 
Shida moja ni kwamba watu wako frustrated, Msukuma Original anasema dawa ni kuwapiga risasi, unaungana naye?

Is this serious discussion? Kwamba ukiwapiga risasi ndo utaambiwa basi chukua fedha yako hii hapa.

Don't make decisions based on emotions.
Hautaambiwa chukua fedha yako ila utakuwa umetoa somo na ujinga huu utakufa. Wewe unadhani mtu ajitoe muhanga atapanye ubongo wa hao watumishi mambo yatabaki the same? Wee! Itakuwa the talk of the town, nationally na internationally, sheria itabadilishwa in no time.
 
Nyuma ya keyboard watu mnajifanyaga watabe sana, toka umeanza kulalamika kuhusu fao la kujitoa si ungeshawapiga hizo risasi? Unasubiri nini mpaka saa hii?
Wewe haupo serious na hii mada, nilichogundua umekuja kupima upepo tu. Nasikitika nimepoteza muda wangu kujadili issue ambayo imeletwa kama porojo.
 
Wewe haupo serious na hii mada, nilichogundua umekuja kupima upepo tu. Nasikitika nimepoteza muda wangu kujadili issue ambayo imeletwa kama porojo.

Mpaka dakika hii unasubiri nani ajitoe muhanga kwa ajili yako?

Unasubiri nini kama kweli uko serious na hiyo ndo umeona njia sahihi?

Tutupe muda gani ili ufanikishe hili swala?
 
Hakuna jipya hapa

Ndo maana CCM itaendelea kututawala, mijitu haitumii akili hata kidogo za kuzaliwa nazo, mtu unaropoka eti tuwapige risasi.

BTW: Kwenye vikao vyenye watu wengi lazima kuna kupingana mpaka mwisho kabisa mnapata jibu moja la kukubaliana nalo.
 
Hatuwezi kupata jibu immediately, lakini kupitia hii thread ndani ya siku kadhaa tutakuwa tumefanya kitu.
 
Au tukaanzisha hashtag kuhakikisha Rais taarifa anazipata.

Pia tunaweza kuona ni jinsi gani tunaweza kutengeneza kundi linaloweza kuomba kuonana na waziri mkuu na kumwomba atifikishie ujumbe wetu kwa Rais.

Muhimu ni kupata takwimu simple kuhakikisha influence yetu inaleta impact.
Raisi anazo taarifa za uwepo wa watu hao. Wekeni msukumo uwe mkubwa jambo lipate kurindima sana
 
Fao la kujitoa ni nini ?
Rais aliposema mtu anafanya kaz miaka 3,4 unamwambia asubiri miaka 60 ili nini ali

maanisha nn ? mafao yanatoka kama tu umemaliza mkataba , lkn cio kama umeacha kazi (resigned) ...... iko hivyo mijadala hii mingine ni upotoshaji . pesa yako kachukuwe kama umepata barua ya kumaliza mkataba au umefukuzwa , lkn kama umeacha mwenye basi bilashaka unacho unachokifanya na sidhani kama utazuiliwa pesa yako nawewe hujachangia michango 180 kama mikataba ya mwanachama na mifuko hii inavyosema ili uwe pensionable . ili uwe penssionable ni lazima uchangie michango 180 , hapo nafikiri hiyo 60 yao utakuwa unainusa pia na haitoumiza . lkn cio mtu anamiaka 25-45 unamtaka asubiri afike 60 ndio umlipe unavyotaka ww na pesa ni yake.
 
Back
Top Bottom