Harakati za fao la kujitoa

Harakati za fao la kujitoa

Let's reason together, there is a solution to every problem.

Karata yetu ya ushindi ni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.
Ni kweli ila inaonekana kajipanga maana kama alitoa maagizo kila mfuko uendelee na utaratibu wake wa zamani lakin wao wamekomaa na huu mpya si kudanganya wananchi huku
 
Naamini hii issue ina watu wengi wameathirika, na siyo wote wako JF.

Tunatakiwa kudiscuss tufanyaje ili swala lifike kwa Magu? Maana ndiyo karata yetu.
Wewe bhana, unaongea kwa uoga sana. Kwani unadhani Magu hajui? Ina maana umehadithiwa kile alichokisema tarehe 28 Dec alipokutana na hao viongozi? Mbona aliongelea kabisa na akatoa hadi mifano. Sasa sijui kwa nini unaongea kwa kujifichaficha hivyo?
 
Kwa kuanzia ifanyike kampeni kwenye mitandao yote ya kijamii ili kucreate awareness ya uwepo wa hyo petition, then legal procedures zifuate

Sent using Jamii Forums mobile app

Yeah, na kwa sababu ya tension za kuelekea uchaguzi, utashangaa hata hizo legal procedures hazifikiwi, watakuwa wametujibu.
 
Nimejaribu kupitia posts zako za nyuma, ninachoweza kusema ni kwamba hili swala limekufika kooni.

Maana kuna posts kadhaa umepropose kitu hiki pia, you are frustrated.
Kwani mkuu hukumsikiliza rais siku ile? Kama ulimsikiliza mbona unajenga picha kana kwamba rais hajui kuhusu hili swala? Ongea kwa kujiamini bhana, acha kuongea kwa kujipendekeza.
 
Ni kweli ila inaonekana kajipanga maana kama alitoa maagizo kila mfuko uendelee na utaratibu wake wa zamani lakin wao wamekomaa na huu mpya si kudanganya wananchi huku

Tatizo tunapishana uelewa, ile speech hakuna mahali Rais alilifanyia hitimisho swala la Fao la Kujitoa, isipokuwa yalikuwa mapendekezo kwamba waangalie namna ya kufanya.

Swala lililotolewa hitimisho ni kuhusu kikokotoo.
 
Tatizo tunapishana uelewa, ile speech hakuna mahali Rais alilifanyia hitimisho swala la Fao la Kujitoa, isipokuwa yalikuwa mapendekezo kwamba waangalie namna ya kufanya.

Swala lililotolewa hitimisho ni kuhusu kikokotoo.
Alisema kwa sasa kila mfuko uendelee na utaratibu wake wa zamani hadi 2023
 
Alisema kwa sasa kila mfuko uendelee na utaratibu wake wa zamani hadi 2023

Ndo maana nasema jambo moja kila mmoja anaweza kulielewa vingine, uliisikia speech yake?
 
Tatizo tunapishana uelewa, ile speech hakuna mahali Rais alilifanyia hitimisho swala la Fao la Kujitoa, isipokuwa yalikuwa mapendekezo kwamba waangalie namna ya kufanya.

Swala lililotolewa hitimisho ni kuhusu kikokotoo.
Mkuu umeleta uzi lakini unajing'atang'ata kinoma. Nimesoma jinsi unavyongea kwa tahadhari na uoga mpaka unapindisha kile alichokisema rais siku ile. Sasa sijui lengo lako ni nini? Anyway nafikiri lengo lako ni kupata ufumbuzi wa hili fao la kujitoa ila unaogopa kuongea badala yake unataka watu wengine waongee kwa niaba yako.
 
Suala la kikokotoo lilikuwa ni la kikanuni zinazotokana na sheria ndiyo maana ilikuwa rahisi kwa Rais Magufuli kulistisha maana kanani zinaweza kutenguliwa muda wowote endapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Lakini suala la fao la kujitoa ni sheria mojawapo ya mifuko ya hifadhi ya jamii na hivyo ili itenguliwe lazima ifuate utaratibu wa kutunga na kufuta sheria amabao unahusisha serikali pamoja na Bunge, Aliye leta janga ni haka kajamaa ka msoga ndiyo kalikoruhusu huu ujambazi nadhani baada ya mambo ya fedha kuwa magumu wakati wa urais wake.
 
Maoni yako ni nini mkuu?
Suala la kikokotoo lilikuwa ni la kikanuni zinazotokana na sheria ndiyo maana ilikuwa rahisi kwa Rais Magufuli kulistisha maana kanani zinaweza kutenguliwa muda wowote endapo kutakuwa na haja ya kufanya hivyo. Lakini suala la fao la kujitoa ni sheria mojawapo ya mifuko ya hifadhi ya jamii na hivyo ili itenguliwe lazima ifuate utaratibu wa kutunga na kufuta sheria amabao unahusisha serikali pamoja na Bunge, Aliye leta janga ni haka kajamaa ka msoga ndiyo kalikoruhusu huu ujambazi nadhani baada ya mambo ya fedha kuwa magumu wakati wa urais wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana nasema jambo moja kila mmoja anaweza kulielewa vingine, uliisikia speech yake?
Ningeandikaje kama sikusikia mkuu embu karejee kusikiliza vizuri kisha urudi hapa au umemsikiliza lakini unahitaji aina fulani tu ya wachangiaji
 
Bro juz nilikuwepo hayo maeneo ya ofisi zao mbona niliona watu wanapewa cheki au macho yangu na msikio yangu yananidaganya angalizo kwenye jambo la muhimu usirete siasa bro
 
Ningeandikaje kama sikusikia mkuu embu karejee kusikiliza vizuri kisha urudi hapa au umemsikiliza lakini unahitaji aina fulani tu ya wachangiaji
Hata mimi nimeona mleta mada anahitaji aina flani ya wachangiaji. In fact anaogopa kufunguka alicho nacho moyoni. Nadhani anaogopa wasiojulikana hivyo anaongea kwa kung'ata na kupuliza. Eti anasema rais hajui swala hili, mara aseme rais hakufikia hitimisho la hili swala, mmh! Rais alitoa hadi mifano kuhusu wafanyakazi kwenye hii miradi ya miaka mitatu! Halafu jamaa anajifanya eti rais hajui.
 
Ningeandikaje kama sikusikia mkuu embu karejee kusikiliza vizuri kisha urudi hapa au umemsikiliza lakini unahitaji aina fulani tu ya wachangiaji

Tuelezane tulivyosikia, then tunaweza kuanzia hapo.

Mimi nilimsikia vizuri, kuhusu kazi za mikataba, kuhusu kazi za muda mfupi alisema watu kwa nini wasipewe tu hela yao wakaenda kufia mbele? Akatoa ushauri kwamba iangaliwe namna ya kuweka categories ili wakupewa wapewe. Iangaliwe namna.

Ila kuhusu kikokotoo alikuwa very bold, akasema anatoa order watu walipwe kwa utaratibu wa zamani.

Hivyo hakukuwa na conclusive remarks kuhusu Fao la Kujitoa (kwa jinsi nilivyoelewa).
 
Hata mimi nimeona mleta mada anahitaji aina flani ya wachangiaji. In fact anaogopa kufunguka alicho nacho moyoni. Nadhani anaogopa wasiojulikana hivyo anaongea kwa kung'ata na kupuliza. Eti anasema rais hajui swala hili, mara aseme rais hakufikia hitimisho la hili swala, mmh! Rais alitoa hadi mifano kuhusu wafanyakazi kwenye hii miradi ya miaka mitatu! Halafu jamaa anajifanya eti rais hajui.

Vipi kuhusu wale ambao siyo wa hiyo miradi, walioamua kuacha kazi wenyewe?

Ulimsikia anawazungumzia?
 
Wewe bhana, unaongea kwa uoga sana. Kwani unadhani Magu hajui? Ina maana umehadithiwa kile alichokisema tarehe 28 Dec alipokutana na hao viongozi? Mbona aliongelea kabisa na akatoa hadi mifano. Sasa sijui kwa nini unaongea kwa kujifichaficha hivyo?
Kwa wale wanaofanya kwenye migodi ama ujenzi wa madaraja anakuwa na mkataba wa miaka 4 alafu asubiri mpaka miaka 60 alisema hakuna mantinki na pengine hata ile kampuni iliyomwajiri inakuwa haipo (moja wa mfano)...nilichoelewa Rais ana taarifa lakini pia hata fao la kujitoa lipo miongoni mwa issue zitakazojadiliwa katika kipindi cha mpito mpaka 2023 ukiachilia mbali VIKOKOTOO
 
Back
Top Bottom