Harakati za fao la kujitoa

Harakati za fao la kujitoa

wanasema kuna fao la kukosa ajira
Fao la kukosa ajira is a joke. Eti upatiwe 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa miezi sita halafu baada ya hapo is total confusion... Mheshimiwa Raisi tunakuomba ingilia suala hili. Ni afadhali wangesema hata mtu apewe 50% ya michango yake kisha asuburu miaka mitatu akitafuta ajira
 
Au tukaanzisha hashtag kuhakikisha Rais taarifa anazipata.

Pia tunaweza kuona ni jinsi gani tunaweza kutengeneza kundi linaloweza kuomba kuonana na waziri mkuu na kumwomba atifikishie ujumbe wetu kwa Rais.

Muhimu ni kupata takwimu simple kuhakikisha influence yetu inaleta impact.
mmmmmmmh! labda waziri mkuu lakini Jenista nae mkandamizaji tu! na hawezi lifikisha kwa mkuu
 
mmmmmmmh! labda waziri mkuu lakini Jenista nae mkandamizaji tu! na hawezi lifikisha kwa mkuu

Hata mimi niliwaza, kama kuna uwezekano wa kutengeneza kikundi na then tukaomba mwaliko wa kukutana na Waziri Mkuu tunaweza kulifikisha hili.

Tunaweza kufanya kama tunaandana kusifu tukifika tunatoa ya moyoni.

Ni kitu inawezekana kama kuna nia.
 
Fao la Kukosa ajira mwanachama analipwa asilimia 33.3% ya michango yake na atalipwa kila mwezi kwa miezi sita.kila mwez analipwa mpk ipite miez 6 kias kinachobak either apate kaz Tena aendelee kulipwa,au a subiri mpaka miaka 55 au 60 ya kustaafu hii ni kwa NSSF, unaona ugumu ulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela hakuna kwenye mifuko, wauze ile mijengo yao wawalipe watu.

Uchaguzi ukiisha watadunduliza upya.
 
We bhana, acha kujitia hujui kitu. Kwani ukitapanya ubongo wa hao majambazi ndio watakufa na hela zetu? Hiyo ni njia ya kuwaonyesha tu kuwa uvumilivu umefikia kikomo, dharau na kutuchezea na kutothamini utu wetu umefikia kikomo. Kutufanya sisi are less human being imefikia kikomo. Sisi kufa njaa wakati wao wanalipwa mishahara kwa fedha zetu imefikia kikomo. So, unatandika risasi kufikisha huo ujumbe. Siraha ukitaka kuipata unaipata tu, mbona majambazi wanazipata.
hata hao wa NSSF ni wa hanga wa hi michango kwani nao wanachangia kama wewe sema wao kwa kuwa wanajuana siajabu wanalipana tu
 
Ukiacha mwenyewe imekula kwako hupati pesa yoyote.
Nahukuru kwa muongozo lakini lengo langu lilikua nikuacha kazi au nisiendelee na mkataba ili nipate kuchukua mafao yangu sasa kama nihivyo nikiamu maamuzi hayo inamaana itakula kwangu ..?
Sasa nauliza nitumie njia gani ili nipate mafao yangu yote katika hiki kipindi cha mpito alicho kitamka Mh Rais
Nikijiangalia bado ni kijana mdogo nanina zaidi ya miaka kumi na nne ndani ya ajira nanina malengo na mafao yangu...,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo zuri upatikane muafaka wa FAO la kujitoa,Shida wanazungusha huyuhuyu Jiwe ndio kakomba pesa zote za mifuko ya hifadhi ya jamii.Anyway mkaa bure siyo sawa na mtembea bure.

Taasisi za nchi hii sijui zinafanya kazi gani. Watu wanahangaika miaka na wengine wanakufa wakidai mafao, si NSSF wala SSRA wanaotoa kauli authoritative kuhusu jambo hili. Hivi wananchi wanyonge ambao ni waathirika wa inefficiency hii wafanye nini? Juzi Raisi ametuhumu wizara moja kwa kusema watu hawafanyi maamuzi na hii ni sawa kabisa na NSSF na SSRA. Shida ni nini mnaachie kila mtu atoe tafriri yake. Jamani ... hebu amkeni
 
Taasisi za nchi hii sijui zinafanya kazi gani. Watu wanahangaika miaka na wengine wanakufa wakidai mafao, si NSSF wala SSRA wanaotoa kauli authoritative kuhusu jambo hili. Hivi wananchi wanyonge ambao ni waathirika wa inefficiency hii wafanye nini? Juzi Raisi ametuhumu wizara moja kwa kusema watu hawafanyi maamuzi na hii ni sawa kabisa na NSSF na SSRA. Shida ni nini mnaachie kila mtu atoe tafriri yake. Jamani ... hebu amkeni

Wataamkaje?

Hii ni chain ambayo mfumo wake ni Top Down, kwa hiyo walioko chini wanafanya kazi kwa maagizo ya walioko juu.
 
Lengo ni kukusanya mawazo tuone tutafanyaje, hivyo basi kama wazo lako ni hilo la kupiga risasi, tupe mkakati, tutapaje silaha, tutamvamia nani nani, na ni mission ya siku ngapi.

Na tukishavamia tukawapiga risasi hela tutapataje.

Leta mawazo mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom