Harakati za fao la kujitoa

Harakati za fao la kujitoa

100 Likes

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2018
Posts
2,416
Reaction score
5,171
Amani iwe kwenu wapendwa.

Background: Mifuko ya hii ya NSSF na PPF (siku hizi PSSSF) ilikuwa na utaratibu kwamba unapoacha kazi kwa hiari, kufukuzwa, mkataba kuisha unachukua hela yako maisha yanaendelea.

Around 2014/2015 huo utaratibu ulisitishwa, ukiuliza unaambiwa sheria hairuhusu, ingawa kuna baadhi walikuwa wanapata kwa mikakati maalum.

Mifuko ikaunganishwa, likaja swala la vikokotoo na Fao la Kukosa Ajira.

Tar 28 Dec 2018, Mh Rais alitengua swala la vikokotoo vipya na kusema mambo yawe kama zamani, ni baada ya kufanya kikao na wadau husika SSRA, wawakilishi wa wafanyakazi, wahusika wa taasisi hizo nk. Na tumeona maandamano ya kumpongeza Rais kwa tukio hili.

Bahati mbaya, kinachoonekana ni kwamba swala la Fao la Kujitoa limewekwa kando, tukifatilia tunaambiwa hakuna mwongozo.

Kuna watu kibao wako mtaani na kazi zimekuwa ngumu kupata, kuna walio maofisini wangetamani kuacha wachukue mitaji wafanye mambo yao, kuna walio maofisini muda wowote watakuwa vijiweni nao wanatamani kuwa na uhakika wa hii fedha.

Kama hili swala lisipopatiwa ufumbuzi kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, tusahau kulipatia ufumbuzi.

Nini cha kufanya:-
Wahanga, na wote ambao ni wazalendo tunatakiwa kwa pamoja tutoe mapendekezo kuhusu hili swala, kama ni kutengeneza petition, kama ni kufanya maandamano kuonana na waziri husika, waziri mkuu au kuelekea SSRA, kama pia ni kufanya utaratibu wa kuonana na Rais, etc.

Kupitia hii thread, tunaweza ku-brainstorm ni njia ipi tunaweza kuitumia kuhakikisha taarifa zinamfikia Rais kwamba kuna watu wanakufa njaa wakati hela zao zipo, haki yao ipo.

Tukumbuke kwamba jinsi tutakavyoonesha wingi wetu, influence yetu ndivyo hivyo hivyo swala letu litachukuliwa serious.

Naomba kuwasilisha.
 
Amani iwe kwenu wapendwa.

Background: Mifuko ya hii ya NSSF na PPF (siku hizi PSSSF) ilikuwa na utaratibu kwamba unapoacha kazi kwa hiari, kufukuzwa, mkataba kuisha unachukua hela yako maisha yanaendelea.

Around 2014/2015 huo utaratibu ulisitishwa, ukiuliza unaambiwa sheria hairuhusu, ingawa kuna baadhi walikuwa wanapata kwa mikakati maalum.

Mifuko ikaunganishwa, likaja swala la vikokotoo na Fao la Kukosa Ajira.

Tar 28 Dec 2018, Mh Rais alitengua swala la vikokotoo vipya na kusema mambo yawe kama zamani, ni baada ya kufanya kikao na wadau husika SSRA, wawakilishi wa wafanyakazi, wahusika wa taasisi hizo nk. Na tumeona maandamano ya kumpongeza Rais kwa tukio hili.

Bahati mbaya, kinachoonekana ni kwamba swala la Fao la Kujitoa limewekwa kando, tukifatilia tunaambiwa hakuna mwongozo.

Kuna watu kibao wako mtaani na kazi zimekuwa ngumu kupata, kuna walio maofisini wangetamani kuacha wachukue mitaji wafanye mambo yao, kuna walio maofisini muda wowote watakuwa vijiweni nao wanatamani kuwa na uhakika wa hii fedha.

Kama hili swala lisipopatiwa ufumbuzi kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, tusahau kulipatia ufumbuzi.

Nini cha kufanya:-
Wahanga, na wote ambao ni wazalendo tunatakiwa kwa pamoja tutoe mapendekezo kuhusu hili swala, kama ni kutengeneza petition, kama ni kufanya maandamano kuonana na waziri husika, waziri mkuu au kuelekea SSRA, kama pia ni kufanya utaratibu wa kuonana na Rais, etc.

Kupitia hii thread, tunaweza ku-brainstorm ni njia ipi tunaweza kuitumia kuhakikisha taarifa zinamfikia Rais kwamba kuna watu wanakufa njaa wakati hela zao zipo, haki yao ipo.

Tukumbuke kwamba jinsi tutakavyoonesha wingi wetu, influence yetu ndivyo hivyo hivyo swala letu litachukuliwa serious.

Naomba kuwasilisha.
Dawa yao ni kuwatandika risasi tu. Unaingia unawamiminia risasi wafanyakazi wote wa huo mfuko. Haya mambo ya kubembeleza kupata haki yako yanatakiwa kukoma.
 
wanasema kuna fao la kukosa ajira

Hilo lipo, limekuja latest kama nilivyosema hapo juu.

Tunahitaji Fao la Kujitoa, tuwe na uhakika wa maisha baada ya kukaa mtaani.
 
Uzuri sasa hivi ni rahisi kufanya mawasiliano yote ukiwa sehemu yoyote ya nchi.

Tunaweza kutengeneza petition, kila makao makuu ya mkoa watu ambao ni wahanga wakajiorodhesha, au ikatengenezwa makundi tukapanga siku moja tunaandamana kutengeneza awareness.
 
Uzuri sasa hivi ni rahisi kufanya mawasiliano yote ukiwa sehemu yoyote ya nchi.

Tunaweza kutengeneza petition, kila makao makuu ya mkoa watu ambao ni wahanga wakajiorodhesha, au ikatengenezwa makundi tukapanga siku moja tunaandamana kutengeneza awareness.
Ukiandamana utapigwa kipigo cha mbwa koko. So, tumia njia ya kutandika risasi tu.
 
Au tukaanzisha hashtag kuhakikisha Rais taarifa anazipata.

Pia tunaweza kuona ni jinsi gani tunaweza kutengeneza kundi linaloweza kuomba kuonana na waziri mkuu na kumwomba atifikishie ujumbe wetu kwa Rais.

Muhimu ni kupata takwimu simple kuhakikisha influence yetu inaleta impact.
 
Unaharibu lengo ndugu, ukiambiwa ukawapige risasi utawapiga wangapi?
Ukishawamwaga ubongo hata watu sita utakaowakuta kwenye hizo meza zao utakuwa umetuma clear message kwa serikali na kwa hao majambazi wanaosimamia hiyo mifuko. Na kwa kitendo hicho huo ujinga utakoma na utabaki kuwa historia.
 
Kwani watu wameanza leo kudai hela zao? Wengine mpaka wamekufa na kuziacha hela.

Lengo ni kukusanya mawazo tuone tutafanyaje, hivyo basi kama wazo lako ni hilo la kupiga risasi, tupe mkakati, tutapaje silaha, tutamvamia nani nani, na ni mission ya siku ngapi.

Na tukishavamia tukawapiga risasi hela tutapataje.

Leta mawazo mkuu.
 
Hakuna hata hilo la kukosa ajira maana unapewa 33.3% ya mshara wako wa mwisho sasa fikiri kama mtu alikua anapokea laki moja hii ni kwa NSSF
 
Hakuna hata hilo la kukosa ajira maana unapewa 33.3% ya mshara wako wa mwisho sasa fikiri kama mtu alikua anapokea laki moja hii ni kwa NSSF

Let's reason together, there is a solution to every problem.

Karata yetu ya ushindi ni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi.
 
Lengo ni kukusanya mawazo tuone tutafanyaje, hivyo basi kama wazo lako ni hilo la kupiga risasi, tupe mkakati, tutapaje silaha, tutamvamia nani nani, na ni mission ya siku ngapi.

Na tukishavamia tukawapiga risasi hela tutapataje.

Leta mawazo mkuu.
We bhana, acha kujitia hujui kitu. Kwani ukitapanya ubongo wa hao majambazi ndio watakufa na hela zetu? Hiyo ni njia ya kuwaonyesha tu kuwa uvumilivu umefikia kikomo, dharau na kutuchezea na kutothamini utu wetu umefikia kikomo. Kutufanya sisi are less human being imefikia kikomo. Sisi kufa njaa wakati wao wanalipwa mishahara kwa fedha zetu imefikia kikomo. So, unatandika risasi kufikisha huo ujumbe. Siraha ukitaka kuipata unaipata tu, mbona majambazi wanazipata.
 
We bhana, acha kujitia hujui kitu. Kwani ukitapanya ubongo wa hao majambazi ndio watakufa na hela zetu? Hiyo ni njia ya kuwaonyesha tu kuwa uvumilivu umefikia kikomo, dharau na kutuchezea na kutothamini utu wetu umefikia kikomo. Kutufanya sisi are less human being umefikia kikomo. Sisi kufa njaa wakati wao wanalipwa mishahara kwa fedha zetu imefikia kikomo. So, unatandika risasi kufikisha huo ujumbe. Siraha ukitaka kuipata unaipata tu, mbona majambazi wanazipata.
Hujajibu maswali yangu, lengo ni kujadili nini cha kufanya.

Jibu point kwa point hayo maswali.
 
Amani iwe kwenu wapendwa.

Background: Mifuko ya hii ya NSSF na PPF (siku hizi PSSSF) ilikuwa na utaratibu kwamba unapoacha kazi kwa hiari, kufukuzwa, mkataba kuisha unachukua hela yako maisha yanaendelea.

Around 2014/2015 huo utaratibu ulisitishwa, ukiuliza unaambiwa sheria hairuhusu, ingawa kuna baadhi walikuwa wanapata kwa mikakati maalum.

Mifuko ikaunganishwa, likaja swala la vikokotoo na Fao la Kukosa Ajira.

Tar 28 Dec 2018, Mh Rais alitengua swala la vikokotoo vipya na kusema mambo yawe kama zamani, ni baada ya kufanya kikao na wadau husika SSRA, wawakilishi wa wafanyakazi, wahusika wa taasisi hizo nk. Na tumeona maandamano ya kumpongeza Rais kwa tukio hili.

Bahati mbaya, kinachoonekana ni kwamba swala la Fao la Kujitoa limewekwa kando, tukifatilia tunaambiwa hakuna mwongozo.

Kuna watu kibao wako mtaani na kazi zimekuwa ngumu kupata, kuna walio maofisini wangetamani kuacha wachukue mitaji wafanye mambo yao, kuna walio maofisini muda wowote watakuwa vijiweni nao wanatamani kuwa na uhakika wa hii fedha.

Kama hili swala lisipopatiwa ufumbuzi kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, tusahau kulipatia ufumbuzi.

Nini cha kufanya:-
Wahanga, na wote ambao ni wazalendo tunatakiwa kwa pamoja tutoe mapendekezo kuhusu hili swala, kama ni kutengeneza petition, kama ni kufanya maandamano kuonana na waziri husika, waziri mkuu au kuelekea SSRA, kama pia ni kufanya utaratibu wa kuonana na Rais, etc.

Kupitia hii thread, tunaweza ku-brainstorm ni njia ipi tunaweza kuitumia kuhakikisha taarifa zinamfikia Rais kwamba kuna watu wanakufa njaa wakati hela zao zipo, haki yao ipo.

Tukumbuke kwamba jinsi tutakavyoonesha wingi wetu, influence yetu ndivyo hivyo hivyo swala letu litachukuliwa serious.

Naomba kuwasilisha.
Wazo zuri, nipo tayar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom