Lol...umeifanya siku yangu kuwa nzuri kupita maelezo. Sante sana na ubarikiwe mno..hahaha tena Apollo nadhani ndo anaanza anza ivo
ivi apa jasho linanitoka manake nimebeba makreti ya soda, bia, kuna valuer, wine za Dodoma, kuna JD mbili, konyagi za kumwaga, Grants zipo kubwa mbili, Amarula kama kawaida, kisha kuna Savanna Dry za kumwaga, na ViREDDS vya kumwaga,,,,,,za kienyeji kuna dengelua, mbege na ulanzi
Idara ya msosi sweetie ndo anashughulikia ila nimeona Pick up inashusha nyama , kuku, samaki fresha na mazaga zaga kibao hata siyajui!
King'asti namwona na mapambo yake ameshaanza kazi yake apa....DJ Apollo nadhani ako kwen muziki so kama una favourites zako umwambie kabisa SL
Mimi na ODM ndo tunaendelea kukagua vinywaji hapa...
Kaizari ndo nzuri zaidi...Hivi Kaizer kwa kiswahili ni Kaisari au Kaizari?..............Mi nna aleji na kizungu bana!
Thanks dear.happy birthday
Dah! nimechelewa kuingia hapa leo,nakutakia afya njema na furaha tele maishani lishemeji langu.Lol...umeifanya siku yangu kuwa nzuri kupita maelezo. Sante sana na ubarikiwe mno..
Thanx vry much lily F. Karibu sana mpendwa...HAPPY BIRTHDAY SWEETLADY
Sante kulwadoto. Mishumaa ni zaidi ya ishirini. Nitazima mpaka nikome leo....Happy birthday SL but leo tunazima mishumaa mingapi?
Kuna majina nitayapiga ban kutumika kwa watu wengine!Thanks dear.
Duuh! Hata siamini! Ujue Kaizer na AD wamejitahidi sana kunifanya mwenye furaha siku ya leo ila sasa, furaha ilikuwa bado kukamilika vema manake kila nikitupa jicho kwa wageni waalikwa na wasioalikwa wanaongia hapa ukumbini sikuoni my lovely shemeji uporoto, bt hatimaye nimekuona na roho yangu imepata faraja...kaa hapo, hapo utaletewa kinywaji na ODM.. Karibu sana shemu!Dah! nimechelewa kuingia hapa leo,nakutakia afya njema na furaha tele maishani lishemeji langu.
Ahsante sana PAW. Karibu tusherehekee pamoja mkuu!Muumba akuongezee maisha, furaha na amani.
Heri ya kuzaliwa
heheheeee! Kaizer umenifurahisha sana. Hayo makreti ni nomaaa. Hongera kwa kujitolea.
Naona sekta ya vinywaji unaiweza saaaana. Sasa mbona hata maji hamna? Hehehehee.
Mimi kwanza nampa dedctn ya 'if today was ur last day' ulioimbwa ni Nickelback. Nathani unamfaa.
Lol...leo niko kifuraha zaidi. Ndio mana waona wageni nawakaribisha kwa majina yote mazuri... Sirudii tena, nisamehe mwaya..Kuna majina nitayapiga ban kutumika kwa watu wengine!
List inaandaliwa.
Kuna majina nitayapiga ban kutumika kwa watu wengine!
List inaandaliwa.
kaizer, sweetie wako aliniahidi kuniletea mchuchumio wa besdei. mi niko ukumbini huku,mambo yote teyari. nawangojea nyie..(njaa,sijui nionje kuku?)
Lol...leo niko kifuraha zaidi. Ndio mana waona wageni nawakaribisha kwa majina yote mazuri... Sirudii tena, nisamehe mwaya..
hahahahaa.,,easy man....
Thank you very much Chauro... Mbona umekaa huna kinywaji?.. Muone The Finest tafadhali...jisikie upo nyumbani.happy birthday sweet lady!
Hahahaha. Nimeipenda hiyo ya maji ni sehemu ya chakula...lol... Leo kazi yangu kubwa ni kumwomba mwenyezi mungu azidi kukushushia mibaraka ya ukweli....ODM simwoni hapa ukumbini, kaenda kuvaa tai au? Manake kuna mda nilimwona kavaa suti bila tai, nkastaajabu..Mkuu kwa mila za kwetu maji hayapo kwenye 'vinywaji' inachukuliwa kuwa ni sehemu ya chakula, lakini kwa faida ya wengine maji safi ya Kilimanjaro yapo ya kumwaga! lol
Tafadhali hii isikose "nwa baby" ya Mr Flavour remix....pompom.....polokoto....