>*<>*<> Happy Birthday Sweet Lady <>*<>*<

>*<>*<> Happy Birthday Sweet Lady <>*<>*<

Kama wewe unavyoolewa na kuachika, unaolewa na kuachika unaolewa na kuachika unaolewa na kuachika........... Kwahiyo unafikiri wanawake wenzio nao hawana kizazi kama wewe. Mke wangu anajua kuzaa baaaaaaaaaaaabbbbbbb.
ANAJUA KUZAA TENA SANA ILA ANAZAA NA WANAUME SIO MWANAUME SURUALI NI VIGUMU MWANAMKE KUMPA MIMBA MWANAMKE MWENZIE BIOLOGICALY SIJUI SASA ULIMPAJE MIMBA
 
Probably you have shown gratitude to a very wrong person. Does a dunce of theology deserve to call himself the priest? Beats me!
Okey take it back mwita25...that was just a christian example to show how great our God Is..so don't take it personal,and 4 ur info mayb i dont have scriptures to defend my point,but my name has nothing to do with this matter..stay out of my way
 
Sante Apollo though umeandika kijapani nimekuelewa. Barikiwa.

hahaha tena Apollo nadhani ndo anaanza anza ivo

ivi apa jasho linanitoka manake nimebeba makreti ya soda, bia, kuna valuer, wine za Dodoma, kuna JD mbili, konyagi za kumwaga, Grants zipo kubwa mbili, Amarula kama kawaida, kisha kuna Savanna Dry za kumwaga, na ViREDDS vya kumwaga,,,,,,za kienyeji kuna dengelua, mbege na ulanzi

Idara ya msosi sweetie ndo anashughulikia ila nimeona Pick up inashusha nyama , kuku, samaki fresha na mazaga zaga kibao hata siyajui!

King'asti namwona na mapambo yake ameshaanza kazi yake apa....DJ Apollo nadhani ako kwen muziki so kama una favourites zako umwambie kabisa SL

Mimi na ODM ndo tunaendelea kukagua vinywaji hapa...
 
Nakupendea kitu kimoja tu Kaizer, 'unanijali sana' hope you know what i mean...sio lazima nifafanue...
Hivi Kaizer kwa kiswahili ni Kaisari au Kaizari?..............Mi nna aleji na kizungu bana!
 
hahaha tena Apollo nadhani ndo anaanza anza ivo

ivi apa jasho linanitoka manake nimebeba makreti ya soda, bia, kuna valuer, wine za Dodoma, kuna JD mbili, konyagi za kumwaga, Grants zipo kubwa mbili, Amarula kama kawaida, kisha kuna Savanna Dry za kumwaga, na ViREDDS vya kumwaga,,,,,,za kienyeji kuna dengelua, mbege na ulanzi

Idara ya msosi sweetie ndo anashughulikia ila nimeona Pick up inashusha nyama , kuku, samaki fresha na mazaga zaga kibao hata siyajui!

King'asti namwona na mapambo yake ameshaanza kazi yake apa....DJ Apollo nadhani ako kwen muziki so kama una favourites zako umwambie kabisa SL

Mimi na ODM ndo tunaendelea kukagua vinywaji hapa...
Hommie sijaona sehemu uliozungumzia uzingatiwaji wa itifaki............
 
hahaha tena Apollo nadhani ndo anaanza anza ivo

ivi apa jasho linanitoka manake nimebeba makreti ya soda, bia, kuna valuer, wine za Dodoma, kuna JD mbili, konyagi za kumwaga, Grants zipo kubwa mbili, Amarula kama kawaida, kisha kuna Savanna Dry za kumwaga, na ViREDDS vya kumwaga,,,,,,za kienyeji kuna dengelua, mbege na ulanzi

Idara ya msosi sweetie ndo anashughulikia ila nimeona Pick up inashusha nyama , kuku, samaki fresha na mazaga zaga kibao hata siyajui!

King'asti namwona na mapambo yake ameshaanza kazi yake apa....DJ Apollo nadhani ako kwen muziki so kama una favourites zako umwambie kabisa SL

Mimi na ODM ndo tunaendelea kukagua vinywaji hapa...

heheheeee! Kaizer umenifurahisha sana. Hayo makreti ni nomaaa. Hongera kwa kujitolea.
Naona sekta ya vinywaji unaiweza saaaana. Sasa mbona hata maji hamna? Hehehehee.

Mimi kwanza nampa dedctn ya 'if today was ur last day' ulioimbwa ni Nickelback. Nathani unamfaa.
 
HAPPY BIRTHDAY SWEETLADY

images
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom