>*<>*<> Happy Birthday Sweet Lady <>*<>*<

>*<>*<> Happy Birthday Sweet Lady <>*<>*<

Duuh! Hata siamini! Ujue Kaizer na AD wamejitahidi sana kunifanya mwenye furaha siku ya leo ila sasa, furaha ilikuwa bado kukamilika vema manake kila nikitupa jicho kwa wageni waalikwa na wasioalikwa wanaongia hapa ukumbini sikuoni my lovely shemeji uporoto, bt hatimaye nimekuona na roho yangu imepata faraja...kaa hapo, hapo utaletewa kinywaji na ODM.. Karibu sana shemu!

Hahahaha. Nimeipenda hiyo ya maji ni sehemu ya chakula...lol... Leo kazi yangu kubwa ni kumwomba mwenyezi mungu azidi kukushushia mibaraka ya ukweli....ODM simwoni hapa ukumbini, kaenda kuvaa tai au? Manake kuna mda nilimwona kavaa suti bila tai, nkastaajabu..

jamani party inaendelea ODM anawajibika ipasavyo, Muziki ndo umekolea ila mlangoni naona kama kuna magate crashers........

Mpenzi asante kwa kuniwakilisha ipasavo... maana hadi nilihisi SL anaweza kua mpweke for nilimuacha hapa siku nzima.... BUT Thankfully watu kibao wamempa Co. Nawashukuru woote pamoja na you my speacial Man.... No wonder pande za usafiri na Vinywaji vimeenda vizuri... You know i was so busy with the buffet to notice hasa what you were doing... Thanks hon' For standing up beside me on this special day to Sweet lady... I am so proud of you.... (ndio maana kumbe Apollo karudia saana my fav song ya "nwar baby".... kumbe you requested...Thanks hon' you are a God sent1) Nimeona ODM leo alikua na nidhamu kwenye kinywaji... kumbe akipewa responsibilities anatulia...lol

hahaha tena Apollo nadhani ndo anaanza anza ivo

ivi apa jasho linanitoka manake nimebeba makreti ya soda, bia, kuna valuer, wine za Dodoma, kuna JD mbili, konyagi za kumwaga, Grants zipo kubwa mbili, Amarula kama kawaida, kisha kuna Savanna Dry za kumwaga, na ViREDDS vya kumwaga,,,,,,za kienyeji kuna dengelua, mbege na ulanzi

Idara ya msosi sweetie ndo anashughulikia ila nimeona Pick up inashusha nyama , kuku, samaki fresha na mazaga zaga kibao hata siyajui!

King'asti namwona na mapambo yake ameshaanza kazi yake apa....DJ Apollo nadhani ako kwen muziki so kama una favourites zako umwambie kabisa SL

Mimi na ODM ndo tunaendelea kukagua vinywaji hapa...
Hahahahaa......... Guys! Talking behind ODM's back? Hell NO..........This is LOVE............ And know what? ODM loves you too guys!
 
Jamani mbona mmemtenga Pdidy kwenye Birthday yake toka jana kapata watu 10 wa kumpongeza.
Huu ni ubaguzi wa kijinsia
 
Duuh! Hata siamini! Ujue Kaizer na AD wamejitahidi sana kunifanya mwenye furaha siku ya leo ila sasa, furaha ilikuwa bado kukamilika vema manake kila nikitupa jicho kwa wageni waalikwa na wasioalikwa wanaongia hapa ukumbini sikuoni my lovely shemeji uporoto, bt hatimaye nimekuona na roho yangu imepata faraja...kaa hapo, hapo utaletewa kinywaji na ODM.. Karibu sana shemu!
:canada:

Hahahaha. Nimeipenda hiyo ya maji ni sehemu ya chakula...lol... Leo kazi yangu kubwa ni kumwomba mwenyezi mungu azidi kukushushia mibaraka ya ukweli....ODM simwoni hapa ukumbini, kaenda kuvaa tai au? Manake kuna mda nilimwona kavaa suti bila tai, nkastaajabu..
😛hoto:

jamani party inaendelea ODM anawajibika ipasavyo, Muziki ndo umekolea ila mlangoni naona kama kuna magate crashers........
:smash:

Mpenzi asante kwa kuniwakilisha ipasavo... maana hadi nilihisi SL anaweza kua mpweke for nilimuacha hapa siku nzima.... BUT Thankfully watu kibao wamempa Co. Nawashukuru woote pamoja na you my speacial Man.... No wonder pande za usafiri na Vinywaji vimeenda vizuri... You know i was so busy with the buffet to notice hasa what you were doing... Thanks hon' For standing up beside me on this special day to Sweet lady... I am so proud of you.... (ndio maana kumbe Apollo karudia saana my fav song ya "nwar baby".... kumbe you requested...Thanks hon' you are a God sent1) Nimeona ODM leo alikua na nidhamu kwenye kinywaji... kumbe akipewa responsibilities anatulia...lol
:eyebrows:

Waooo! Everything was OK mpendwa. Kwa upande wa msosi kweli umejitahidi sana wifi yangu. King'asti nae hakubaki nyuma upande wa mapambo. ODM namshukuru sana alihakikisha upande wa vinywaji unaenda vizuri. Inshort mlijipanga na Mungu awabariki sana!
😛oa

ndo uzuri wa jungu kuu,halikosi ukoko. hope umeridhika. naona mambo yameisha salama kaka kaizari,nami ndo natoka ukumbini. kuna glasi odm aliondoka nazo?naona kuna shoti...
:hatari:

oh! Jamani wifi yangu sooo appreciative dearest.... hata hivo anything for you... ila Wifi hio kazi yako ya u-bodyguard kwa ODM... Si bora tafuta nyingine... are you happy na ile kazi?? Shem wangu mwenyewe yule sometimes msumbufu...lol
:A S embarassed:

hahahaha!! Umenimalia!! hata hivo aliondoka na Mama Matesha... unafikiri angemuachia?? Thubutu....lol
:ballchain:

anything for u sweetpie. ila nanilii ana wivu sana banaa,muambie apunguze. ndo adha ya kuwa na mrembo,lol! usisahau kunipromote kwenye vikao vya harusi basi manake nna kakampuni uchwara ka mapambo na keki. did u love the dancing cake?
:focus:

Hahahahaha! King'asti umeamua kumchekesha mtoto asubuhi, asubuhi...ujue ODM alilewa mno, akiamka pombe zitakuwa zimeisha and hope atazirudisha glass za watu...lol
:shock:

wifi unacheza na odm eh? hakawii kuwa aliiweka kwenye tuxedo yake. jana (hivi 2 hrs ago ni jana?) mama matesha alikua na kazi ya kushikilia mkono,sijui kama high heels zake zilifika home salama.
:hatari:

Kweli mawifi ninao..... Khaaa!!! ........lol..
😛oa

afu alipania glasi za watu toka jana! odm ana makusudi sana,wala hatorudisha. na jeuri ya pesa, hakawii kuwalipa dozen! ngoja afufuke umuone! weeh,usicheke sana,kunguru atachukua fizi zako meno yataota kwenye ulimi!
:lol:

King mie niseme hayo masaa machache yalopita maana kweli two hours ago sio jana tena.... Tuombe Mungu jana ODM awe alikua na Mzuka wa Kutenda mambo ya kiutu uzima ili ziwe zilionekana wakati wa kutoa hizo nguo....lol
:washing:

Well at least I now know.... when I die I will keep on living for ODM is inside.....deep inside his friends' hearts!

ODM loves you all.
 
hahahaha THANK YOU GALS yaani nimecheka....hapa it looks more like gals talk mi nawatch tu hapa...

This tell kwamba party ya jana was a bam.....ngoja nimsubiri hommie wangu ODM asome katikati ya misatari apo...
Hommie, hamna haja ya kusoma katikati ya mistari hapo...ni straight forward!

BTW tathmini inaonesha King'asti anahitaji kupewa kadi ya uanachama. Si umeona uzushi anaonifanyia? Niwasiliane na katibu au utafanya kazi mwenyewe?
 
Jamani mbona mmemtenga Pdidy kwenye Birthday yake toka jana kapata watu 10 wa kumpongeza.
Huu ni ubaguzi wa kijinsia


Namsubiri Pdidy kwa hamu!! Nishaingia pale sababu kasema mpangilio mzima ni yeye ndo namsubiri ili nimnyang'anye majukumu mengine... tatizo Ritz wee hua unatoa salamu lakini hutaki ku party.... Hivo tafadhali tukutane pale kwake mara atapoingia....
 
me lv u too odm hata kama u wanna kill me. muambie mama matesha nasubiria ule mzigo,lol (afu vile vimiminika vya jana vilichakachuliwa?mbona mlikua hamlewi?au uzoefu?)
 
Hommie, hamna haja ya kusoma katikati ya mistari hapo...ni straight forward!

BTW tathmini inaonesha King'asti anahitaji kupewa kadi ya uanachama. Si umeona uzushi anaonifanyia? Niwasiliane na katibu au utafanya kazi mwenyewe?

hahaha hommie file lake huyo lipo tayari kwa RR....
 
me lv u too odm hata kama u wanna kill me. muambie mama matesha nasubiria ule mzigo,lol (afu vile vimiminika vya jana vilichakachuliwa?mbona mlikua hamlewi?au uzoefu?)
Leo ameamka akifanya mazoezi ya kung fu........... sijajua mpaka sasa lengo lake ni nini............. Vimiminika? well kwa nilivyoona jana, muda wa kunywa ulikuwa haujaanza vinywaji vikakatika...... that means jana tulikuwa tunasukutua tu.
 
Sante love kuniwakilisha, ujue nilichoka mbaya... Jitahidi tumtafutie your lovely dada AD na my lovely shem Kaizer zawadi ya kuwashukuru.. Umeona mwenyewe walivyohakikisha nafurahia siku yangu ya kuzaliwa bila bugudha eeh? Nawapenda sana AD na Kaizer..

Tutawatafutia pamoja hiyo zawadi kipenzi...from our family to theirs
 
kama ile ya jana ilikua kusukutua,basi naomba poo! inabidi kubadilisha definition ya 'ulevi', manake wapo wanyao vilevi na hawalewi. kama hujaelewa mazoezi ya kung fu moves yanaashiria nini,bora leo uage unaenda kwa bibi yao matesha afu urudi kesho na ka-stout. wafwaaa!
Leo ameamka akifanya mazoezi ya kung fu........... sijajua mpaka sasa lengo lake ni nini............. Vimiminika? well kwa nilivyoona jana, muda wa kunywa ulikuwa haujaanza vinywaji vikakatika...... that means jana tulikuwa tunasukutua tu.
 
yaaallah! uanachama wa nini tena? ashadii njoo kwanza unitetee manake nahisi hapa nachafuliwa cv!
Hommie, hamna haja ya kusoma katikati ya mistari hapo...ni straight forward!

BTW tathmini inaonesha King'asti anahitaji kupewa kadi ya uanachama. Si umeona uzushi anaonifanyia? Niwasiliane na katibu au utafanya kazi mwenyewe?
 
kama ile ya jana ilikua kusukutua,basi naomba poo! inabidi kubadilisha definition ya 'ulevi', manake wapo wanyao vilevi na hawalewi. kama hujaelewa mazoezi ya kung fu moves yanaashiria nini,bora leo uage unaenda kwa bibi yao matesha afu urudi kesho na ka-stout. wafwaaa!

😛hoto: Kadi ya uanachama namba 32.
 
Hommie, hamna haja ya kusoma katikati ya mistari hapo...ni straight forward!

BTW tathmini inaonesha King'asti anahitaji kupewa kadi ya uanachama. Si umeona uzushi anaonifanyia? Niwasiliane na katibu au utafanya kazi mwenyewe?

😛hoto: Kadi ya uanachama namba 32.

Hivi ndio kutingisha kiberiti AMA!!!??? (Sweetie nilisema mpaka nione Muongozo wa katiba ambao unadai umebadilishwa... sitaki empty words...)

yaaallah! uanachama wa nini tena? ashadii njoo kwanza unitetee manake nahisi hapa nachafuliwa cv!


Wifi King.... Mie hapa hata wee wanitia wasi... nivigezo gani wametumia kukuchagua??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom