Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Duuh! Hata siamini! Ujue Kaizer na AD wamejitahidi sana kunifanya mwenye furaha siku ya leo ila sasa, furaha ilikuwa bado kukamilika vema manake kila nikitupa jicho kwa wageni waalikwa na wasioalikwa wanaongia hapa ukumbini sikuoni my lovely shemeji uporoto, bt hatimaye nimekuona na roho yangu imepata faraja...kaa hapo, hapo utaletewa kinywaji na ODM.. Karibu sana shemu!
Hahahaha. Nimeipenda hiyo ya maji ni sehemu ya chakula...lol... Leo kazi yangu kubwa ni kumwomba mwenyezi mungu azidi kukushushia mibaraka ya ukweli....ODM simwoni hapa ukumbini, kaenda kuvaa tai au? Manake kuna mda nilimwona kavaa suti bila tai, nkastaajabu..
jamani party inaendelea ODM anawajibika ipasavyo, Muziki ndo umekolea ila mlangoni naona kama kuna magate crashers........
Mpenzi asante kwa kuniwakilisha ipasavo... maana hadi nilihisi SL anaweza kua mpweke for nilimuacha hapa siku nzima.... BUT Thankfully watu kibao wamempa Co. Nawashukuru woote pamoja na you my speacial Man.... No wonder pande za usafiri na Vinywaji vimeenda vizuri... You know i was so busy with the buffet to notice hasa what you were doing... Thanks hon' For standing up beside me on this special day to Sweet lady... I am so proud of you.... (ndio maana kumbe Apollo karudia saana my fav song ya "nwar baby".... kumbe you requested...Thanks hon' you are a God sent1) Nimeona ODM leo alikua na nidhamu kwenye kinywaji... kumbe akipewa responsibilities anatulia...lol
Hahahahaa......... Guys! Talking behind ODM's back? Hell NO..........This is LOVE............ And know what? ODM loves you too guys!hahaha tena Apollo nadhani ndo anaanza anza ivo
ivi apa jasho linanitoka manake nimebeba makreti ya soda, bia, kuna valuer, wine za Dodoma, kuna JD mbili, konyagi za kumwaga, Grants zipo kubwa mbili, Amarula kama kawaida, kisha kuna Savanna Dry za kumwaga, na ViREDDS vya kumwaga,,,,,,za kienyeji kuna dengelua, mbege na ulanzi
Idara ya msosi sweetie ndo anashughulikia ila nimeona Pick up inashusha nyama , kuku, samaki fresha na mazaga zaga kibao hata siyajui!
King'asti namwona na mapambo yake ameshaanza kazi yake apa....DJ Apollo nadhani ako kwen muziki so kama una favourites zako umwambie kabisa SL
Mimi na ODM ndo tunaendelea kukagua vinywaji hapa...