Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,158
- 18,119
Kakamue maziwa ya ngamia unyweHii ni noma sana 😂
Kakamue maziwa ya ngamia unyweHii ni noma sana 😂
Ila unaweza kuwa kama huyo,, itabidi siku mtuambie mlikutana wapi na mpka mkawa Jf,Hapana sio mimi
Sasa broh chumvi eve niliona anatafuta danga kipindi hiko zaidi ya miaka 12 iliyopita nilishutka kusikia ni buroo😹😹😹 Kweli humu tupo wanaume tu..!!
Hapana hata sifananii nahuyo kabisa mie kizee kimoja chakuja tu kibayaaaIla unaweza kuwa kama huyo,, itabidi siku mtuambie mlikutana wapi na mpka mkawa Jf,
Mimi mgeni aseehHapana hata sifananii nahuyo kabisa mie kizee kimoja chakuja tu kibayaaa
Waeza kutana na mpenzi popote!
Na Smart nishaelezea sana humu labda kama wee ni mgeni jf
unaogopa kushea paipuHa ha haaaaaa, what is this sasa? Sijawahi kuona a lady akimtoa his man like this!!!!
Kwa hali hii wacha nibaki njia kuu nisije nikatelekeza familia Zenji nikahamia Kianga

Mimi mtu mzima mahondawKizazi cha jf cha efu 2 sio! Ndiomana vurugu nyingi 😁
Nataka nije nitest mitambo hapo kwako, vaibu ipoo?Sharing is caring ikwesheni!! Wacha atest mitambo ya miongozo akichoka anirudishie zimwi langu😁😁😁

Weee kwangu hapanaaaa! Nahuu uzee sitaki hekaheka kabisa !
Heka heka ndio nzuri, zinakurudisha kwenye ujana na kukolea utamu; angalau tuzae ata katoto katakacho tusaidia kuchunga mbuzi huko uzeeni.
Mie umri huu na utamu tena mbona makubwa!
Nishastaafu hizo mamboo longiii Tafuta kabinti kamoko hottt ujilie utamu sio sie mizee
Mchi sio pipeunaogopa kushea paipu![]()
Hapo unafeli sasa ! kwaumri huo vibinti vijana ndio saizii yako damu changa inachemka wanakupa vitu motomotoNa uzee wangu huu wa miaka 73 nikiangaika na vibinti wanaweza kuniua kwa spidi, bora nitulie na wewe mzee mwenzangu kwa spidi ya taratiiibu
Maisha ni haya haya, tupeane vinavyowezekana 😀Mchi sio pipe