Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Happy birthday preta
Hahaha... Nakuona hapo unavyokazana kufuta majasho kila dk, angalia mapowder yasijeisha wakati bado hatujapiga picha ya kuuzia sura na new baby gal, sasa umekuja unakimbia hivyo ulidhani tutakusahau au?..hicho kigaloni umetubebea na sisi kitochi..lol? Waletewa ukate kiu sasahivi.nilikwenda kiboriloni kutafuta kitochi unajua sherehe kama hii haitaki kukosekana...nimekuja ninahema nisikute umemaliza kidari cha naniino hebu mwambie aje fasta na ya baridi nikate kiu
PJ mambo yake siku hizi....si mwenzio ujue.....
nimeweka chozi za kutosha.......unapendelea za baridi au za moto......?
Hahaha... Nakuona hapo unavyokazana kufuta majasho kila dk, angalia mapowder yasijeisha wakati bado hatujapiga picha ya kuuzia sura na new baby gal, sasa umekuja unakimbia hivyo ulidhani tutakusahau au?..hicho kigaloni umetubebea na sisi kitochi..lol? Waletewa ukate kiu sasahivi.
Heri ya Kuzaliwa Preta. MUNGU akuzidishie maisha marefu yenye amani na mafanikio
Okay naharibu kwanza hapa makuyuni lol!habari zako nimezipata kuwa upo Makuyuni kuelekea Yaeda kwenye basdei.....
fasta fasta kuna kamguu kako ka nyanyi hapa nimekuhifadhia.....
Hahaha! Afu umemwona TF alivyolewa??? Kweli ungechelewa usingeambulia kitu dear,acha tu yaliyonikuta nipo kwenye costa na dumu langu la mbege ikachemka acha ichafue watu kifuniko hata sijui kilipodondokea nimekuja moja kwa moja....hata sijui picha itakuwaje itabidi nijiweke pembeni nisiharibu photo za baby P ....nilijua kusahaulika muhimu funguo za store ya biya kapewa TF sasa ningekuta kitu kweli hapa yenyewe sijaambua kitu mpaka dk hii....
Hahaha! Afu umemwona TF alivyolewa??? Kweli ungechelewa usingeambulia kitu dear,
yaan wewe umenichekesha sana na hilo dumu lako la mbege lol.
Dear Preta
It's your birthday and we can't be there
But we send you a special birthday wish and a little prayer
"We wish that all of your birthday wishes come true,
May you have a great time today and find happiness in everything you do".
View attachment 46247
ulikuwa wapi !!!! muda wote mnatengeneza pancha we na PJ keki imekwisha mjiandae kuja kufanya usafi ukumbini na kuokata vyupa vyote
ulikuwa wapi !!!! muda wote mnatengeneza pancha we na PJ keki imekwisha mjiandae kuja kufanya usafi ukumbini na kuokata vyupa vyote