Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Me watcghing you closely ujue....
BTT: Happy Birthday my dear sister Preta........ Yaani dah! Ako miaka ngapi sasa?
Hivi hawa baba zetu inaelekea walikuwa wanapenda sana kuwalala mama zetu mwezi May.... Lakini yaelekea baba yangu alikuwa mjanja kuliko baba za wengine kwamba aliwahi kumlala mama yangu wakati baba za wengine wakiwa wako shamba wanalima...... Uthibitisho uko wazi, mie ndo wa kwanza kutakiwa happy birthday mwaka huu..... (Source: Ashadii, January 21st)
Baada ya kusema hayo. ADI hebu come this way tufanye mpango wa mnuso,
Asprin huna adabu, haki ya mama vile. Maneno gani machafu haya ya kusema mambo ya chumbani kwa wazazi?