Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafunga safari kukufata uliko nina zawadi zako za siku ya kuzaliwa
Hivi hii sherehe iko wapi aisee tuzamie...
Tumejitahidi sana Preta, ujue kuna mda kidogo tususe kupamba manake tulimtuma kabakabana mapambo afu akachelewa kutuletea! Nafurahi vile umependa tulivyopamba!Asanteni wote mlionitakia heri katika siku yangu hii maalum.......
nafurahi kwamba nimekuta ukumbi umeshapambwa (huyu ni sweetlady na King') na wageni wote wapo ukumbini....
tafrija inaendelea na karibuni sana.....
leo kuna mpaka machozi ya simba kwa wale wanaootumia......
Tumejitahidi sana Preta, ujue kuna mda kidogo tususe kupamba manake tulimtuma kabakabana mapambo afu akachelewa kutuletea! Nafurahi vile umependa tulivyopamba!
Mwambie TF ahakikishe hatoki hapo mlangoni manake wazamiaji ni wengi, wasijetuletea hasara za chupa!
Sie twaenda vaa then tutarudi kuparty mpaka asubuhi.
Lol, kumbe siku ile nilipendeza eeh, nilikuwa na mpango wa kuvaa gauni sasa naghairi... Sante kwa st Anna!usijali....ulinzi wote mpaka shirikishi.....umeimarishwa.....
vaa ile pedo ya siku ile....halafu ukija....hapo hapo mlangoni mwambie TF akupe St Anna yako.....
Asanteni wote mlionitakia heri katika siku yangu hii maalum.......
nafurahi kwamba nimekuta ukumbi umeshapambwa (huyu ni sweetlady na King') na wageni wote wapo ukumbini....
tafrija inaendelea na karibuni sana.....
leo kuna mpaka machozi ya simba kwa wale wanaootumia......
Nafunga safari kukufata uliko Nina zawadi zako za siku ya kuzaliwa
Afu wewe ulijificha wapi? Tulikutafuta sana ukatununulie vinywaji...ila tunashukuru PJ alifanikisha, mbona umekaa hapo huna kinywaji? Mwite huyo mhudumu hapo kushoto kwako umwagize upendacho...heri ya siku ya kuzaliwa mpendwa Preta
M/Mungu akujali afya tele na miaka mingi
hebu weka chupa 2 za machozi naja sasa naamini PJ hajaona hii
happy b day mamito may Allah give ya another 100 yrs............
thx.....misi wewe....
Afu wewe ulijificha wapi? Tulikutafuta sana ukatununulie vinywaji...ila tunashukuru PJ alifanikisha, mbona umekaa hapo huna kinywaji? Mwite huyo mhudumu hapo kushoto kwako umwagize upendacho...