Aprin
Nili[pitiwa na nikasahau kupitia kwenye huu uzi kukutakia Happy Birthday ya siku ya kuzaliwa kwako
Ila hata kama ni kuchelewa bado naamini utazipokea tuu
Japo Cake ile ya mihogo uliyotengenezewa na AshaDii ishamalizika ila siwezi kukosa hata juice ya Azam
Ila kwa uweli Happy Birthday Babu
Mungu akujalie maisha marefu yenye furaha na amani
Upate kubarikiwa katika yale yote uyafanyayo
Uendelee kuwa na afya katika kila siku ambayo Mwenyezi Mungu anakujalia kuiona hapa duniani
Mwenyezi Mungu akupe kuishi kuwaona wana wa wana wa Wajukuu zako
Happy Birthday Babu
Am afraid wa kwako nitahitaji wiki mbili.....hebu njoo huku martenity ward....Basi na mie nataka wa ivo babu!!!
big sisy vujamambo tu yan, nataka kuja apologize kwa hii familia kwa kweli kwa ili yan.Kid sis ulikua wap siku zoote hizi mpaka sherehe imeisha.... Tayari una case.... This family is there pamoja wakati wa shida na raha! Umeonana na shem wako karibuni?
Karibu sana sana MkuuI think am too old kukumbuka, lakini waweza kumkabidhi tena. And why WARNING (in capital letters)
Mkono mtupu haulambwi, bado napokea zawadi na pledges..
BTT: Thanks Mkuu, huwezi jua jinsi hizi wishes zinavyoniongezea nguvu na pumzi. Especially zinapotokea kwa watu naowaheshimu na kuwathamini kama wewe.
Rocky unatafutwa na Sweetie..... Umetega kazi mpka baaaas! How is PA?
Am afraid wa kwako nitahitaji wiki mbili.....hebu njoo huku martenity ward....
big sisy vujamambo tu yan, nataka kuja apologize kwa hii familia kwa kweli kwa ili yan.
ila babu kanisamehe dada nawe nisamehe plzzz!!!!!!!!! nina zawadi zenu kibao espcialy you, babu n shem.
shemeji yangu sijamuona iv karibun big sisy!!!!!!!!! hope hajambo lkn???
lol..... haya big sisy!!!!!!!!Obsesd naona uko busy na babu.... ndio nimekukabidhisha rasmi..... Akikunyanyasa tu nifuate mimi ama Shemejio....
Shem check mgogo wangu kaomba msamaha kukosa sherehe.... naona asamehewe au sio?
Usijali this family very understanding na Loving and Loving and Loving kwenda mbele! lol Shem wako mzima wa afya namshukuru mungu.[/QUOTE
exactly sisy sijaona waelewa kama familia hii aisee!!!!!!!!!!
i love this family wit all my heart.
watanielewa tu, kama babu kishanielewa tayarii.
PA yuko salama dear
Yaani nakumiss mbaya aise
Tumepotezana sana sana ila naamini uu salama
Babu asije kutuchapa bure tunachakachua siredi yake
Khaaaaa,hahahaha.... Hizo sifa zikivuka tu mpaka unanyang'anywa mkoba aiseee! lol
Orayt...close your eyes.... afu hebu nishikie mkongojo wangu kwanza ndo nianze kukukagua.loh.... kweli mjukuu kwa babu hakui aisee.
nataka nikae hapo kifuan milele babu, niwe kitukuu wa vitukuu lol.
Shem yangu kapunguza ukali baada ya kuumwa... wala huchakachui... Ukizingaita I did miss you too.... PA did a Great job kwenye msiba I gues ndio anapumzika uchovu... He was so busy....
lol.... babu nawe ukague nn ss??? owky ngoja nikuruhusu babu bt niruhusu nisifumbe ma cho babu!Orayt...close your eyes.... afu hebu nishikie mkongojo wangu kwanza ndo nianze kukukagua.
Shem naomba ufafanuzi hapo kwa red.... kwamba bifoo marazi mi nlikuwaga mnoko eh?Shem yangu kapunguza ukali baada ya kuumwa... wala huchakachui... Ukizingaita I did miss you too.... PA did a Great job kwenye msiba I gues ndio anapumzika uchovu... He was so busy....
lol..... haya big sisy!!!!!!!!
ila kwa ninavyomuona manyanyaso hayata kuwa na nafasi hapa.
nakutakia maisha marefu babu.
exactly sisy sijaona waelewa kama familia hii aisee!!!!!!!!!!
i love this family wit all my heart.
watanielewa tu, kama babu kishanielewa tayarii.
Haahahahaha,Am afraid wa kwako nitahitaji wiki mbili.....hebu njoo huku martenity ward....
Khaaaaa,
Sisy huoni utakuwa unaionea!!!!
Mambo umenifundisha mwenyewe nami nimekuwa na utayari wa kuelewa iweje nikikuzidi unipokonye??
Ila haina neno najua mwamuzi atakuwa shem ktk hili,
Akichagua mapishi yangu iatabidi unisamehe coz sio kosa langu mie atiii!