eeh! Wanawake luba, kweli ndoa ni ajira. Hebu ngoja tuone sebene linaendaje. Babako keshakula mahari kanunulia tuxedo ya besdei. Una chako hapo bidada?
Mwita Maranya na wewe! Kila siku nakuambia usipige kelele husikii! Mie namuogopa binti yako ni mnoko sana! Ona sasa ushamwaga kuku wengi kwenye mtama kidogo!
Naja ila mwambie mwanao akalale usiku sasa.
Nilidhani ni hotuba kama ya ccm baada ya kusomewa risala! Si unajua hotuba ya mgeni rasmi ikipita NO KWES-SHEN? Nilidhani ndio zako mkuu MWITA!Mkuu hiyo speech ni kibwagizo tu, najua muziki ndio kwanza umeanza.
Kwani zamani alikuwa nani?
Basi mama mdogo nimekubali matokeo....Naona baba mwenyewe kafa kaoza.....Afu mtu mwenyewe anapenda kudumisha mila...Lakn usijisahau iam watching you!!He hee! We mtoto wewe! Unajua mie sikuwepo hata huu uzi sijausoma nimeangukia hapa moja kwa moja kwenye tuhuma zako! Zion Daughter hebu subiri kwanza niusome uzi ndio tuongee vizuri. Leo ntahakikisha tunaongea kwa pamoja, hivyo mtafute huyo dady yako Mwita Maranya na huyo mwenzio gfsonwin tukae kikao.
Mkuu Bujibuji itabidi nikutafute unitabirie tarehe yangu ya kuwa mbunge, kwani nimeshindwa kuunganisha dots umeifahamuje tarehe yangu ya kuzaliwa. Au wewe umewezeshwa ku-access privacy yangu!!?
Nakushukuru kwa kuniongezea binti mwingine gfsonwin, huyu sasa anakuwa mdogo wake na binti yangu kipenzi Zion Daughter ambaye nashangaa huna hata aibu kumtambulisha eti ni mpendwa wako wa moyo!!?
charminglady nakusalimia best mamaa ya Mwanza! C6 yuko wapi?
Hahahaha,,, shem mbona unaniangalia kwa wasiwasi hivyo? hayo makombinesheni uliyoyaorodhesha nimeyasoma kama extra kalikula.
Mimi nimekuwa mhandisi tangu nikiwa kidato cha kwanza!!! karibu kichuri obhusara.
Kwani zamani alikuwa nani?
Kweli eehh?? basi ngoja niache kuulizauliza..Zion Daughter mmmh, ukimchunguza kuku haki ya nani hautamla, nenda kimya kimya tu.
Basi mama mdogo nimekubali matokeo....Naona baba mwenyewe kafa kaoza.....Afu mtu mwenyewe anapenda kudumisha mila...Lakn usijisahau iam watching you!!
Mhhh!!Makubwa..Pepo mchafu toooooka katika jina la Yesu.
Kweli eehh?? basi ngoja niache kuulizauliza..
btw hiyo avatar yako nimeipenda..
Basi mama mdogo nimekubali matokeo....Naona baba mwenyewe kafa kaoza.....Afu mtu mwenyewe anapenda kudumisha mila...Lakn usijisahau iam watching you!!
Heeeee! Jamani pacha nani kaamua kunichafulia jina? Wewe mwenyewe wanijua pacha wako nilivyotulia!Pacha halafu nna skendo zako zinajaa Gazeti zima hata nafasi ya matangazo haibaki.... Hivi ni kwa nini lakini?