Happy Birthday MWITA MARANYA

Happy Birthday MWITA MARANYA

Watu wa HKL, HGK, EGM, NK UTAWAJUA TUNWANAJUA KUJIELEZA HAO BALAA SHEM NI MMOJAWAO

Hahahaha,,, shem mbona unaniangalia kwa wasiwasi hivyo? hayo makombinesheni uliyoyaorodhesha nimeyasoma kama extra kalikula.
Mimi nimekuwa mhandisi tangu nikiwa kidato cha kwanza!!! karibu kichuri na obhusara.
 
HBD tataa, Mungu akujaalie afya njema na akuepushe na njama za mafisadi mura!
 
Nadhani sijachelewa, maana nilikuwa nahangaika na maneno ya binti yako. Happy Birthday Mwita Maranya. Mwenyezi Mungu akupe afya njema na miaka mingi yenye baraka na furaha tele!
 
Last edited by a moderator:
He hee! We mtoto wewe! Unajua mie sikuwepo hata huu uzi sijausoma nimeangukia hapa moja kwa moja kwenye tuhuma zako! Zion Daughter hebu subiri kwanza niusome uzi ndio tuongee vizuri. Leo ntahakikisha tunaongea kwa pamoja, hivyo mtafute huyo dady yako Mwita Maranya na huyo mwenzio gfsonwin tukae kikao.

Mai switi hati mwaJ achana na hao watoto wanapenda usukununu tu hasa huyu Zion Daughter. Na leo ametambulishwa ndugu yake gfsonwin basi anajifanya kuwaka. Huyo ntamaliza nae mimi mwenyewe, wala usitishike na mikwara mbuzi. Anasahau kwamba sikio haliwezi kuzidi kichwa!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha,,, shem mbona unaniangalia kwa wasiwasi hivyo? hayo makombinesheni uliyoyaorodhesha nimeyasoma kama extra kalikula.
Mimi nimekuwa mhandisi tangu nikiwa kidato cha kwanza!!! karibu kichuri na obhusara.


Hiyo kitu haifanywi na watu PCB, PGM, ECA NDO KABISA WAO HUJUA NAMBA TU MENGINE MMMMMM
 
Nadhani sijachelewa, maana nilikuwa nahangaika na maneno ya binti yako. Happy Birthday Mwita Maranya. Mwenyezi Mungu akupe afya njema na miaka mingi yenye baraka na furaha tele!

Ahsante sana mupenzi, huwezi kuchelewa bana, wewe tena!?. We njoo tugonge mvinyo laini na nyama choma kutoka india. Huyo mtoto atakukodoleaje mimacho leo!!?
 
Hiyo kitu haifanywi na watu PCB, PGM, ECA NDO KABISA WAO HUJUA NAMBA TU MENGINE MMMMMM

Mimi sikuwahi kusoma hiyo makitu ya combination hata siku moja. Ni mwendo wa engineering technology tangu form one hadi university!
 
Mai switi hati mwaJ achana na hao watoto wanapenda usukununu tu hasa huyu Zion Daughter. Na leo ametambulishwa ndugu yake gfsonwin basi anajifanya kuwaka. Huyo ntamaliza nae mimi mwenyewe, wala usitishike na mikwara mbuzi. Anasahau kwamba sikio haliwezi kuzidi kichwa!!
Mwita Maranya na wewe! Kila siku nakuambia usipige kelele husikii! Mie namuogopa binti yako ni mnoko sana! Ona sasa ushamwaga kuku wengi kwenye mtama kidogo!
 
Last edited by a moderator:
khaaa! jamani hii kali hivi kumbe nachumbiwa pasi kujua??

wewe baba yangu Mwita Maranya umekula mahari sio?? BTW happy birthday swt dad na mungu akupe maisha marefu yanye neema tele.
inaitwa juu-kwa-ju! Samahani ililazimu tutumie CIA tricks ili umuache kakangu Kaizer arudi kwa mkewe AshaDii. Chezeiya mjini?
 
Last edited by a moderator:
inaitwa juu-kwa-ju! Samahani ililazimu tutumie CIA tricks ili umuache kakangu Kaizer arudi kwa mkewe AshaDii. Chezeiya mjini?

hivi hujawah kusikia bw harusi kapigwa chini mbele ya kasisi??
basi hilo ndo analotafuta Bujibuji. mm na Kaizer wangu ni wa for better for worse.
 
Last edited by a moderator:
hivi hujawah kusikia bw harusi kapigwa chini mbele ya kasisi??
basi hilo ndo analotafuta Bujibuji. mm na Kaizer wangu ni wa for better for worse.
eeh! Wanawake luba, kweli ndoa ni ajira. Hebu ngoja tuone sebene linaendaje. Babako keshakula mahari kanunulia tuxedo ya besdei. Una chako hapo bidada?
 
Last edited by a moderator:
eeh! Wanawake luba, kweli ndoa ni ajira. Hebu ngoja tuone sebene linaendaje. Babako keshakula mahari kanunulia tuxedo ya besdei. Una chako hapo bidada?

hilo wala halinitishi manake mm ndo mwolewaji sasa kama anakula atamtafuta mdogo wangu amtoe ili kufidia.
wafikiri niliingia ka bahati mbaya kwa Kaizer? hata ije winch sitoki nimesema sitoki..............
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom