Happy Birthday MWITA MARANYA

Happy Birthday MWITA MARANYA

msg060253296755.0609401730272.jpg


Mura omweito Mwita Maranya
Khaaaaaaaaaaa!!!!

Huvumi kumbe umo?
 
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako
hapo kwenye red Kaizer naomba ufafanuzi, nipo gizani! bak to topic Mwita Maranya happy birthday! uzidishiwe miaka mingiiiiiiii ya kutosha! unashare birthday na mum wangu!
 
Last edited by a moderator:
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako

Zion Daughter ndo wa kumoyo nawadays? aisee!
ndugu yangu Mwita hepi besdei!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wanaJF kwanza kabisa niwaombe radhi kwa kuwa mbali nanyi wakati wote mlipokuwa mnafungua champaigne, majukumu yalikuwa yamenitinga sana kwa siku ya leo.

Pili napenda kuwashukuru wote mlionitakie kheri leo hii katika kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa ninawashukuru sana. Huu uzee umenijia vibaya hadi nikawa nimesahau jambo la msingi kama hili, nadhani ni kwakuwa shughuli hii imegongana na mambo yetu yale ya tohara!! lol

BTW, nimezipokea kwa mikono miwili na moyo mkunjufu kabisa dua zenu, sala zenu na zawadi zenu. Kwa hakika kabisa kila mmoja hapa JF amekuwa na mchango mkubwa sana katika maisha yangu tangu nijiunge hapa JF, tarehe 1 July 2008. Pamoja na misukosuko yote ninayokumbana nayo nimeweza kuhimili vishindo kwani sijawahi kupata ban wala warning.

Natambua mimi ni mwanadamu dhaifu, inawezekana kuna mahali niliwakwaza baadhi yenu, naomba nitumie fursa hii kuwataka radhi na tuangalie mbele kwakuwa hakuna aliye mkamilifu. Nitumie pia fursa hii kuwaomba tuendelee kushirikiana kadri tunavyoweza kila mmoja kwa nafasi yake. JF itufanye tuwe familia moja na yenye upendo zaidi. So far najivunia marafiki niliowapata hapa, mabinti(watoto) niliojipatia hapa-ni dhahiri kwamba mimi ni baba wa ukweli. Wengine nimefanikiwa kuonana nao 'LIVE", wengine ninawasiliana nao kwa njia za simu, emails, skype, facebook na twitter.

Niwatakie wote heri na fanaka katika maisha yenu na kazi zenu mnapokaribia mwisho wa mwaka huu wa 2012 na kutarajia kuanza mwaka mwingine wa mafanikio makubwa wa 2013.
 
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako

Mkuu Bujibuji itabidi nikutafute unitabirie tarehe yangu ya kuwa mbunge, kwani nimeshindwa kuunganisha dots umeifahamuje tarehe yangu ya kuzaliwa. Au wewe umewezeshwa ku-access privacy yangu!!?

Nakushukuru kwa kuniongezea binti mwingine gfsonwin, huyu sasa anakuwa mdogo wake na binti yangu kipenzi Zion Daughter ambaye nashangaa huna hata aibu kumtambulisha eti ni mpendwa wako wa moyo!!?
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya ngoja hapo hapo, unataka kusema hiyo hotuba yako hapo juu ndio umefunga mjadala? Thubuutu! Thread hii inaendelea mpaka kirisimasi. Mamako keshafua nepi uzokojolea leo? watoto bhana!
 
Last edited by a moderator:
Hbd Mwita.

Thanks Mkuu

epi besdei

Pamoja sana
Thanks sana kwa hii botolo, imenifaa sana kwa siku ya leo
happy birthday bro..

Tuko pamoja mkuu
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa potiii!!!

Ahsante sana poti, tuko pamoja

Kheri ya kuzaliwa kiongozi
Aisee shukrani sana kamanda, long time no see you!

Leo kimenuka..hata hii sherehe iishie hapahapa..Kumbe my dady ana mtoto wa nje? gfsonwin??? dady come zis wey plzzz nahitaji maelezo..au gfsonwin ndo mtoto wa mwaJ ??
Zion Daughter punguza munkari we mtoto, baba hachungwi na mwanae, we wa wapi bana? Kuanzia leo namtambulisha rasmi gfsonwin kama ndugu yako wa damu kabisa. Sitaki kusikia maneno maneno tena.


Thanks Ndetty,
Happy birthday Mwita Maranya aka Kamanda letu.

Mungu akupe maisha marefu yenye furaha, amani na upendo!

Ujumbe: Hakuna kulala mpaka kieleweke.

Ahsante sana lady kamanda tuko pamoja hadi kitaeleweka tu.

Hongeza zako Kamanda wetu Mwita Maranya; MUNGU akutangulie daima!

Ahsante sana mkuu YNWA

Thanks much bro Nicas for your well wishes

Happy birthday Mkuu!

Pamoja sana mkandarasi.

khaaa! jamani hii kali hivi kumbe nachumbiwa pasi kujua??

wewe baba yangu Mwita Maranya umekula mahari sio?? BTW happy birthday swt dad na mungu akupe maisha marefu yanye neema tele.

Thanks gfsonwin, nilishachukua ng'ombe 30 bado 10 tu. Nilikuwa nasubiri akamilishe hao waliobaki ndo nikueleze lakini maadam ameamua kutoboa siri ,basi nisitiri mie dady nisije kuumbuka hapa mjini, kubali kuolewa tu hata kama kwa kujilazimisha.
Dear Shem........... mwita Maranya

bth_flowers-1.jpg


bth_happy_birthday_Purple_Flowers_Drago.gif


Ahsante sana shemeji wangu wa ukwee, missing you badly.

Taata Mura! Happy Birthday man! Make sure unaniandikia urisi kabisa kwa kuwa ndoto aliyokuota leo yule muotaji maarufu wa CC, una miaka 90 tu iliyobaki uishi then utakufa hakyamungu!! So please kindly niandikie urithi. HBD KAMANDA!! Hadi kieleweke!

Mkuu Arushaone mbona sasa wewe unachafua hali ya hewa leo siku ya furaha? huo utabiri wako uweke akiba hadi sherehe zitakapoisha ndo uniletee, kwa leo siupokei kabisa. Pamoja sana kamanda.



Okorre bhuya musubhati omweito.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wanaJF kwanza kabisa niwaombe radhi kwa kuwa mbali nanyi wakati wote mlipokuwa mnafungua champaigne, majukumu yalikuwa yamenitinga sana kwa siku ya leo.

Pili napenda kuwashukuru wote mlionitakie kheri leo hii katika kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa ninawashukuru sana. Huu uzee umenijia vibaya hadi nikawa nimesahau jambo la msingi kama hili, nadhani ni kwakuwa shughuli hii imegongana na mambo yetu yale ya tohara!! lol

BTW, nimezipokea kwa mikono miwili na moyo mkunjufu kabisa dua zenu, sala zenu na zawadi zenu. Kwa hakika kabisa kila mmoja hapa JF amekuwa na mchango mkubwa sana katika maisha yangu tangu nijiunge hapa JF, tarehe 1 July 2008. Pamoja na misukosuko yote ninayokumbana nayo nimeweza kuhimili vishindo kwani sijawahi kupata ban wala warning.

Natambua mimi ni mwanadamu dhaifu, inawezekana kuna mahali niliwakwaza baadhi yenu, naomba nitumie fursa hii kuwataka radhi na tuangalie mbele kwakuwa hakuna aliye mkamilifu. Nitumie pia fursa hii kuwaomba tuendelee kushirikiana kadri tunavyoweza kila mmoja kwa nafasi yake. JF itufanye tuwe familia moja na yenye upendo zaidi. So far najivunia marafiki niliowapata hapa, mabinti(watoto) niliojipatia hapa-ni dhahiri kwamba mimi ni baba wa ukweli. Wengine nimefanikiwa kuonana nao 'LIVE", wengine ninawasiliana nao kwa njia za simu, emails, skype, facebook na twitter.

Niwatakie wote heri na fanaka katika maisha yenu na kazi zenu mnapokaribia mwisho wa mwaka huu wa 2012 na kutarajia kuanza mwaka mwingine wa mafanikio makubwa wa 2013.


Watu wa HKL, HGK, EGM, NK UTAWAJUA TUNWANAJUA KUJIELEZA HAO BALAA SHEM NI MMOJAWAO
 
Hepi besdei koleji meti Mwita Maranya.

Mungu akuache hai mpaka ushuhudie CHADEMA inaingia madarakani.
Kiongozi acha fitna bana, yani kutoka classmate hadi college mate? sitoshangaa kesho ukinikana kwamba hunitambui!!
Chadema tunaingia madarakani 2015 sasa huoni wewe unanifanyia uchuro mkuu ili nisifaidi?

hapo kwenye red Kaizer naomba ufafanuzi, nipo gizani! bak to topic Mwita Maranya happy birthday! uzidishiwe miaka mingiiiiiiii ya kutosha! unashare birthday na mum wangu!

Thanks much cacico for the well wishes, nami namtakia mum wako hepi besidei.


Thanks Paloma

Happy birthday Mwita Maranya Mungu akupe maisha marefu, yenye amani, upendo na afya njema, Inshaallah

Amina, amina, Amina ndugu yangu Mpalu.

Zion Daughter ndo wa kumoyo nawadays? aisee!
ndugu yangu Mwita hepi besdei!

Thanks mtani Bishanga. Hivi umeshajitambulisha nyumbani kwao ZD hadi utambe nae hapa upenuni?

Karibu mpuuzi mmoja atakuita babu.

Huyo atakuwa ananiombea heri bila kujua. Kwa maisha haya ukifikia umri wa babu unamshukuru sana Mungu.

Happy birthday mtani Mwita Maranya

Thanks mtani, tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Leo kimenuka..hata hii sherehe iishie hapahapa..Kumbe my dady ana mtoto wa nje? gfsonwin??? dady come zis wey plzzz nahitaji maelezo..au gfsonwin ndo mtoto wa mwaJ ??

He hee! We mtoto wewe! Unajua mie sikuwepo hata huu uzi sijausoma nimeangukia hapa moja kwa moja kwenye tuhuma zako! Zion Daughter hebu subiri kwanza niusome uzi ndio tuongee vizuri. Leo ntahakikisha tunaongea kwa pamoja, hivyo mtafute huyo dady yako Mwita Maranya na huyo mwenzio gfsonwin tukae kikao.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom