Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,398
Hepi besdei koleji meti Mwita Maranya.
Mungu akuache hai mpaka ushuhudie CHADEMA inaingia madarakani.
Mungu akuache hai mpaka ushuhudie CHADEMA inaingia madarakani.
Last edited by a moderator:
Khaaaaaaaaaaa!!!!
hapo kwenye red Kaizer naomba ufafanuzi, nipo gizani! bak to topic Mwita Maranya happy birthday! uzidishiwe miaka mingiiiiiiii ya kutosha! unashare birthday na mum wangu!Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako
Khaaaaaaaaaaa!!!!
Huvumi kumbe umo?
Yesu wangu..... Mbona me sijapost hiki kitu???? Hakyambuzu kuna mtu kaiba password yangu!!!!!!
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter.
Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza Mungu na wanadamu pia.
Ukawe na hekima zaidi ya ulizo nazo, ili hekima na busara zako zitumike kama gongo kwenye maporomoko, na tochi kwenye giza totoro.
Uishi miaka mingi mpaka ukitema mate yawe yanadunda kama kitenesi, na ukifunga macho kope zilie kama mtu kapiga makofi kwa ukubwa wa umri na ukomavu wako
Hbd Mwita.
epi besdei
Thanks sana kwa hii botolo, imenifaa sana kwa siku ya leo
happy birthday bro..
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa potiii!!!
Aisee shukrani sana kamanda, long time no see you!Kheri ya kuzaliwa kiongozi
Zion Daughter punguza munkari we mtoto, baba hachungwi na mwanae, we wa wapi bana? Kuanzia leo namtambulisha rasmi gfsonwin kama ndugu yako wa damu kabisa. Sitaki kusikia maneno maneno tena.
Happy Birthday Mwita Maranya
Happy birthday Mwita Maranya aka Kamanda letu.
Mungu akupe maisha marefu yenye furaha, amani na upendo!
Ujumbe: Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Hongeza zako Kamanda wetu Mwita Maranya; MUNGU akutangulie daima!
Thanks much bro Nicas for your well wishes
Happy birthday Mkuu!
khaaa! jamani hii kali hivi kumbe nachumbiwa pasi kujua??
wewe baba yangu Mwita Maranya umekula mahari sio?? BTW happy birthday swt dad na mungu akupe maisha marefu yanye neema tele.
Dear Shem........... mwita Maranya
![]()
![]()
Taata Mura! Happy Birthday man! Make sure unaniandikia urisi kabisa kwa kuwa ndoto aliyokuota leo yule muotaji maarufu wa CC, una miaka 90 tu iliyobaki uishi then utakufa hakyamungu!! So please kindly niandikie urithi. HBD KAMANDA!! Hadi kieleweke!
Ndugu zangu wanaJF kwanza kabisa niwaombe radhi kwa kuwa mbali nanyi wakati wote mlipokuwa mnafungua champaigne, majukumu yalikuwa yamenitinga sana kwa siku ya leo.
Pili napenda kuwashukuru wote mlionitakie kheri leo hii katika kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa ninawashukuru sana. Huu uzee umenijia vibaya hadi nikawa nimesahau jambo la msingi kama hili, nadhani ni kwakuwa shughuli hii imegongana na mambo yetu yale ya tohara!! lol
BTW, nimezipokea kwa mikono miwili na moyo mkunjufu kabisa dua zenu, sala zenu na zawadi zenu. Kwa hakika kabisa kila mmoja hapa JF amekuwa na mchango mkubwa sana katika maisha yangu tangu nijiunge hapa JF, tarehe 1 July 2008. Pamoja na misukosuko yote ninayokumbana nayo nimeweza kuhimili vishindo kwani sijawahi kupata ban wala warning.
Natambua mimi ni mwanadamu dhaifu, inawezekana kuna mahali niliwakwaza baadhi yenu, naomba nitumie fursa hii kuwataka radhi na tuangalie mbele kwakuwa hakuna aliye mkamilifu. Nitumie pia fursa hii kuwaomba tuendelee kushirikiana kadri tunavyoweza kila mmoja kwa nafasi yake. JF itufanye tuwe familia moja na yenye upendo zaidi. So far najivunia marafiki niliowapata hapa, mabinti(watoto) niliojipatia hapa-ni dhahiri kwamba mimi ni baba wa ukweli. Wengine nimefanikiwa kuonana nao 'LIVE", wengine ninawasiliana nao kwa njia za simu, emails, skype, facebook na twitter.
Niwatakie wote heri na fanaka katika maisha yenu na kazi zenu mnapokaribia mwisho wa mwaka huu wa 2012 na kutarajia kuanza mwaka mwingine wa mafanikio makubwa wa 2013.
Kiongozi acha fitna bana, yani kutoka classmate hadi college mate? sitoshangaa kesho ukinikana kwamba hunitambui!!Hepi besdei koleji meti Mwita Maranya.
Mungu akuache hai mpaka ushuhudie CHADEMA inaingia madarakani.
hapo kwenye red Kaizer naomba ufafanuzi, nipo gizani! bak to topic Mwita Maranya happy birthday! uzidishiwe miaka mingiiiiiiii ya kutosha! unashare birthday na mum wangu!
Happy birthday Mwita Maranya
Happy birthday Mwita Maranya Mungu akupe maisha marefu, yenye amani, upendo na afya njema, Inshaallah
Zion Daughter ndo wa kumoyo nawadays? aisee!
ndugu yangu Mwita hepi besdei!
Karibu mpuuzi mmoja atakuita babu.
Happy birthday mtani Mwita Maranya
Wewe Mwita Maranya ndio nini utuimbishe toka asubuhi jamani? Khaaa. Na huli keki leo.