Happy birthday Jakaya Mrisho Kikwete

Hakika JK alifanya, tena mambo tangible sana. Sema nini, alitukanwa mno, tena sana. Kumbe haijalishi watu umewafanyia nini, mwisho hawaridhiki tu kama asili ya binadamu ilivyo.

Alifanya yote hayo then wafipa wa ufipani wakaishia kusema wanataka dikteta, woooooi! You got what you wanted and now, everyone is crying, wanasema "be careful what you wish for". So, ngoja tuburuzwe coz it was our wish.
Ngumu sana kumridhisha kila mtu kwa nchi yenye watu wanafki kama Tanzania
 
kikwete.jpg
life is gudoooooo, be happy Kikwete!
 
Alituaidi maisha bora kwa kila mtanzania watu tukawa tunamdis ooooh ooooh katoka ndio tunakumbuka kumbe yale ndio yalikuwa maisha bora kwa kila mtanzania tulikula bata🍾🍷 sana kwa huyu mjuba

Popote alipo cheers daddy 🍻we miss that bata alot 😳
 
Hakika JK alifanya, tena mambo tangible sana. Sema nini, alitukanwa mno, tena sana. Kumbe haijalishi watu umewafanyia nini, mwisho hawaridhiki tu kama asili ya binadamu ilivyo.

Alifanya yote hayo then wafipa wa ufipani wakaishia kusema wanataka dikteta, woooooi! You got what you wanted and now, everyone is crying, wanasema "be careful what you wish for". So, ngoja tuburuzwe coz it was our wish.
Kipindi nipo mafinga jkt (841 kj) mwaka fulani (between 2011-2016) Kuna mwanajeshi mmoja alikuwa daktar katika zahanati ya pale kikosini alisema "HII NCHI INAHITAJI DIKTETA"

Kudadadek ona hali ilivyo Sasa
 
Leo Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anatimiza miaka 70. Mimi binafsi namkumbuka kwa mambo machache aliyoyafanya:
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. Julius Nyerere International Airport terminal III.
8. Dar es salaam Rapid Transport-DART (Mwendo kasi).
9. Sekondari za Kata nchi nzima, kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria.
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha.
17. Dangote Cement industry
18. Bomba la gesi Mtwara to Dar
19. Hospitali ya Moyo
20. Hakuna watu wasiojulikana.
21. Hakuna mfanyabiashara kufilisiwa.
22. MOI
23. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami, zaidi ya km 14000 zilijengwa nchi nzima.
24. Ujenzi wa Mkondo wa taifa wa mawasiliano, leo tunajimwambafai na internet.
25.Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai.
26. Ajira kila mwaka.
27. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
28. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu.
29. Demokrasia iliyopevuka, na alisema kuwa, hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, siyo kwa kipigo cha Polisi.
30. Atleast tulikula-kula bata, yaani enzi hizo laki si pesa!!
Halafu hakuwahi kujigamba. Mungu ambariki sana sana
 
Leo Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anatimiza miaka 70. Mimi binafsi namkumbuka kwa mambo machache aliyoyafanya:
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. Julius Nyerere International Airport terminal III.
8. Dar es salaam Rapid Transport-DART (Mwendo kasi).
9. Sekondari za Kata nchi nzima, kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria.
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha.
17. Dangote Cement industry
18. Bomba la gesi Mtwara to Dar
19. Hospitali ya Moyo
20. Hakuna watu wasiojulikana.
21. Hakuna mfanyabiashara kufilisiwa.
22. MOI
23. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami, zaidi ya km 14000 zilijengwa nchi nzima.
24. Ujenzi wa Mkondo wa taifa wa mawasiliano, leo tunajimwambafai na internet.
25.Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai.
26. Ajira kila mwaka.
27. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
28. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu.
29. Demokrasia iliyopevuka, na alisema kuwa, hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, siyo kwa kipigo cha Polisi.
30. Atleast tulikula-kula bata, yaani enzi hizo laki si pesa!!
Bar mwisho saa 6 sikuizi hatukeshi kabisa
 
Leo Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anatimiza miaka 70. Mimi binafsi namkumbuka kwa mambo machache aliyoyafanya:
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. Julius Nyerere International Airport terminal III.
8. Dar es salaam Rapid Transport-DART (Mwendo kasi).
9. Sekondari za Kata nchi nzima, kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria.
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha.
17. Dangote Cement industry
18. Bomba la gesi Mtwara to Dar
19. Hospitali ya Moyo
20. Hakuna watu wasiojulikana.
21. Hakuna mfanyabiashara kufilisiwa.
22. MOI
23. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami, zaidi ya km 14000 zilijengwa nchi nzima.
24. Ujenzi wa Mkondo wa taifa wa mawasiliano, leo tunajimwambafai na internet.
25.Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai.
26. Ajira kila mwaka.
27. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
28. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu.
29. Demokrasia iliyopevuka, na alisema kuwa, hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, siyo kwa kipigo cha Polisi.
30. Atleast tulikula-kula bata, yaani enzi hizo laki si pesa!!
Umesahau


Misamaha kwa wafungwa


Gerezani tulikula mlo mzuri
 
Leo Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anatimiza miaka 70. Mimi binafsi namkumbuka kwa mambo machache aliyoyafanya:
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. Julius Nyerere International Airport terminal III.
8. Dar es salaam Rapid Transport-DART (Mwendo kasi).
9. Sekondari za Kata nchi nzima, kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria.
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha.
17. Dangote Cement industry
18. Bomba la gesi Mtwara to Dar
19. Hospitali ya Moyo
20. Hakuna watu wasiojulikana.
21. Hakuna mfanyabiashara kufilisiwa.
22. MOI
23. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami, zaidi ya km 14000 zilijengwa nchi nzima.
24. Ujenzi wa Mkondo wa taifa wa mawasiliano, leo tunajimwambafai na internet.
25.Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai.
26. Ajira kila mwaka.
27. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
28. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu.
29. Demokrasia iliyopevuka, na alisema kuwa, hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, siyo kwa kipigo cha Polisi.
30. Atleast tulikula-kula bata, yaani enzi hizo laki si pesa!!
Safi kumbe hakuwa dhaif eee
Wala na alisimamia rasilimali zetu mungu zaid kumpa maisha marefu, na awasamehe waliomdhania dhaifu ..
 
Tusubirie Praise & Worship, ije ikuambie madaraja na barabara zote kajenga mtu fudenge! :D wanajua kujitoa ufahamu wale!


Everyday is Saturday..............................:cool:
Yaani mpaka wanaboa unakuta jitu baba zima linajitoa ufahamu mishipa inalisimama kama limebanwa na homa kali kusifia2
 
Hakika JK alifanya, tena mambo tangible sana. Sema nini, alitukanwa mno, tena sana. Kumbe haijalishi watu umewafanyia nini, mwisho hawaridhiki tu kama asili ya binadamu ilivyo.

Alifanya yote hayo then wafipa wa ufipani wakaishia kusema wanataka dikteta, woooooi! You got what you wanted and now, everyone is crying, wanasema "be careful what you wish for". So, ngoja tuburuzwe coz it was our wish.
Daah, nimemkumbuka Jamaa yangu mmoja alisema hivi"Tanzania tulipofikia tunahitaji rais dikteta "
 
JK alikuwa anajua nini maana ya maisha. Kwenye suala la ajira (kwa walimu & madaktari) alikuwa siyo mchoyo kabisa.

Nitamkumbuka mpaka keshokutwa.
Ila jamani tuseme yote kwa idadi ya wahitimu wa vyuo vikuu kwa sasa kusema wataajiliwa wote na serikali ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom