Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,252
- 10,497
Umeacha nafasi ya mapishi yangu?? ohooo!! lol
yaani shangazi nimefata maagizo yako yote. lol. si unajua mi mtoto mtiifu. mjomba nae aje bana.
Umeacha nafasi ya mapishi yangu?? ohooo!! lol
Happy birthday Husninyo.........I'm just here for cake lol!
yaani shangazi nimefata maagizo yako yote. lol. si unajua mi mtoto mtiifu. mjomba nae aje bana.
hahahahah, lol. mikunjo haikwepeki kweli? ila ndio vizuri maana inasemekana kadri umri unavyoongezeka na busara nazo zinazidi. lolmi sijawahi basdei kabsaaa...Husninyo nakutakia heri uelekeapo katika mikunjo ya pembe za macho!
Hapo ndio nakupendea..... hata mie nashangaa kachelewa... ngoja nimpigie simu....
happy bday
hahahaha.... Usijali kabisa!!
Sante wifi. Mke mwe' King nimemwacha anamalizia kuweka mapulzo ile sehemu cake ya mtoto husni itakapowekwa....walisahau wakaweka ya blue wakati ukumbi wote tumeremba kwa green apple, atakuja mda si mrefu wifi yangu...nashukuru kwa kunielewesha kinyumbani kuwa Kaizer ni my kaka...ujue vile niliona my love Vin Diesel akimwita shemu basi na mimi nikaunga kumbe kinyumbani ni vibaya, hope umenipitishia msamaha wa dhati... Love you wifi...Poleni na kazi Wifi.... poleni saana.... King umemuacha wapi??
antii naona kama mtu anataka kuniharibia furaha hapo chini halafu bodigadi swtlady simuoni
Happy birthday Husninyo,Mungu akupe mwaka mwingine wa baraka tele,akupe hekima ili uwe na msaada hasa kule MMU..enjoy the day
by Jf priest
huyu mlinzi Tf ndio kamruhusu kupita eeh, nishamwona bodigadi anamshughulikia.Dear hii ni sherehe... naona tusibague... BUT Ole wake ambae atakugusa... ndio watapo elewa kwa nini sweetie anatembea na 9mm....lol (thou sipend)
We! Nipo hapa mpendwa! Nani analeta shida hapa?..huyu TF naona kazi ishaanza kumshinda, ameruhusuje wazamiaji? Hajui kazi ya wazamiaji ni kuharibu shughuli za watu?..antii naona kama mtu anataka kuniharibia furaha hapo chini halafu bodigadi swtlady simuoni
Sante wifi. Mke mwe' King nimemwacha anamalizia kuweka mapulzo ile sehemu cake ya mtoto husni itakapowekwa....walisahau wakaweka ya blue wakati ukumbi wote tumeremba kwa green apple, atakuja mda si mrefu wifi yangu...nashukuru kwa kunielewesha kinyumbani kuwa Kaizer ni my kaka...ujue vile niliona my love Vin Diesel akimwita shemu basi na mimi nikaunga kumbe kinyumbani ni vibaya, hope umenipitishia msamaha wa dhati... Love you wifi...
Hii party yenu mbona mimi amjanialika...lol.. Mpaka nimevamia