Happy Birthday Husninyo!

Hahahaahaaa DJ Khaled....hizo ndo swagga zake. Ila jamaa ana energy bana. And he is a good salesman too. Anajua sana ku promote album zake.
Halafu Rick Ross naye inabidi afanye mazoezi maana ile habari kupata seizures dah nikajua jamaa ndio karibia anaondoka jamaa alivyombishi nasikia kasema yuko fresh anaenda ku-perfom North Carolina
 
jamani mi nilichomoka nikaenda zangu club... hivi mnanikuta huku au ndio mmesha lala?
 
where is the after party? lol

At 7000 Brookside Parkway.

I got some cocktail shrimp, Tropical fantasy premium juice cocktail, there is plenty of apple martinis, a variety of wine coolers, there is a whole bucket of buffalo chicken wings....I mean...you name it....and I got it.

You coming over?
 
Sure, I am just starting to have fun...
 
Huku Bangladeshi sasa hivi ndo inaingia tarehe 15 ya oktoba.
Hepi besdei today na mpaka uzeeke.

Nazani sasa tayari umefikia kaumri ka kuharibiwa maisha. Nitafute halaka.

Halaf pia Ujauzito bila husband wala boyfriend ni fashion siku hizi hapa mjini, wee zembea zembea tu.
 
Halaf kuna njemba imeiba aftershave yangu kwenye hii party, naomba ilejeshwe wakuu kabla hatujashushana busha usawa huu. ilikuwa kwenye mfuko wa nylon blue.
 
Halaf kuna njemba imeiba aftershave yangu kwenye hii party, naomba ilejeshwe wakuu kabla hatujashushana busha usawa huu. ilikuwa kwenye mfuko wa nylon blue.

Cheki kwenye mkoba wa King'asti maana kashevu kwapa leo
 

...mie hata sijui nilifikaje Home, nimejikuta asubuhi nipo kitandani.
Finest ntakurudishia Crate lako baadae. ngoja nkanywe Supu kwanza
 
...mie hata sijui nilifikaje Home, nimejikuta asubuhi nipo kitandani.
Finest ntakurudishia Crate lako baadae. ngoja nkanywe Supu kwanza


Sijui jana ilikuwaje... Kila ninae mpigia simu hajitambui.....lol
 

Duh! hii Kali.. salute!
 
aiseee, nimepigiwa simu kuna intake ya pili ilikuja kuniwish happy birthday. thank youuu sana. hamiss kishindindo popote ulipo nakutafuta. the boss uliulizia my age, mmmmmmmmh, mtoto aliyezaliwa jana hadi leo atakuwa na umri gani?( natumai hukukimbia hesabu za chekechea)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…