Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Inaitwa double punch 😂😂😂Ile Michano sio poaah.. Imesambaratishajeeee😊
Udugu zawadi anatoa cantry ndio namsikilizia hapa tukujaze 😂😂😂Uduguu
Kwann lakiniiii? Hebu niletee zawadii.
kumbe anajuaga mie ndo coca, mwehu kweli
Afu asichojua coca ni pisi kali, wakati mie ni mshangaziii, wapi na wapiiiiii![]()



wizooo kwann lakiniii?Imemkimbiza babu mpk leo haonekani 😂😂😂Noumaaa nanusuuuu ðŸ¤
Enjoy to the fullest shosss 😘wewe treinaaahhhh! Hunaga baya na mtu best akee!Shouzzz@Antonnia
Ahsantee sana kwa kuni wish ktk siku hii muhimu kwangu, sijutii kukufahamu, nafurahi kuwa na rafiki, shougaa, mkaribuu, uduguu, mwayaa, shostitooo km weweee.
, mie nawee 4reverrrr,
Barikiwa sanaaa,![]()
Ahsanteee sanaa Gran pah!!Angekuwa anaweza shughuli za shambani, Babu yake nina zawadi ya ekari 5 za shamba aje alime
Kwa kuwa ni mpenzi wa Togwa, leo kuna lita 8 kwaajili yako
Heri ya Kuzaliwa Mjukuu wangu Machachali cocastic , Mwenyezi Mungu akupe hitaji la Moyo wako![]()







Ahsantee



Ila coca bana, kwa hiyo ndio umekuja sasa hivi?Ahsanteee!!!![]()
Huyo aliekufungia leo ndio kakuachia saivi mfyuuu![]()



nani anifungie? Kukimbizana na jua tyuuh shouzzzCake tunakata villa park mawasilianoHappy birthday my baby Sis Coca, cake tunakata wapi sasa?



