Happy birthday bestito miss chagga

Happy birthday bestito miss chagga

miss chagga hawa mamods wana nini jamani mm nimeweka thread yangu kule wao wanamuvuzisha na kuleta huku
hivi kwanini wanakuwa hivi hebu nawe waambie warudishe hii uzi kule kwani tunataka kuleta hot hot za parrty yetu na muda wenyewe ndo huu wa kuwaalika watu sasa wana
 
Last edited by a moderator:
miss chagga hawa mamods wana nini jamani mm nimeweka thread yangu kule wao wanamuvuzisha na kuleta huku
hivi kwanini wanakuwa hivi hebu nawe waambie warudishe hii uzi kule kwani tunataka kuleta hot hot za parrty yetu na muda wenyewe ndo huu wa kuwaalika watu sasa wana

kwa nini mods jamani rudisheni kule kwenye ukumbi wangu mweee
 
Waooooo happy birthday mamito Mungu akupe maisha marefu na yenye Baraka tele.
Wapendwa mabebstito wangu habarini zenu

Leo ni siku ya furaha sana tunayokumbuka
ambayo kamwe haiwezi sahaurika kwa mwenzetu
bestito miss chagga ambaye tarehe hii 2,dec, 2014
anakumbuka siku yake muhimu duniani yenye kicheko kisichokoma.
Pale ambapo mama yake alivyomfyatua hewani naye akachomoka
kwa kilio cha furaha kuiona mbingu ingine yenye shida na raha zake.

Hatutasahau kumshukuru mama yake miss kutuletea kiumbe kizuri duniani
nasi kwa pamoja tunamtakia heri na fanaka ktk siku take hii njema
Ungana nami kumtakia heri na fanaka njema na maisha marefu
mpendwa wetu rafiki yetu wa moyoni miss chagga


Nakutakia kila jema kwako na Mungu akupe afya njema na akukuze
ktik kicho chake uje utangaze fadhili za BWana Mungu maishaini mwako.


POKEA KAZAWADI HAKA KADOGO KA KEKI BESTITO WANGU


View attachment 207292


View attachment 207293

MREMBO MISS CHAGGA AKIFURAHIA SIKU YAKE
WAOOO CONGRATULATE BABY GIRL

KARIBUNI KUM-WISH MWENZETU MISS CHAGGA


JAMANI MTOTO ANAPENDA ROSE FLOWER HIVYO MKKIJA LEO JIONI KWENYE FUNCTION
YETU ITAKAYOFANYIKA UKUMBI WA
J EMPOWERMENT CLUB MTULETEE


View attachment 207377

yafurike mengi yamzunguke kichanga magh/mash/kask na kusini pia
PLS MSISAHAU KUWAONA LIVE MA-DJ. WAKALI WA MAJI Kipaji Halisi pamoja na Mphamvu
wao watatoa show kali za kumwaga mpaka msahau kurudi makwenu.

Mshereheshaji wa MISIMAMO ni sister wa mapozi, akiambatana na sis Paloma (Akimsaidia)

Atakayebeba keki atakuwa baba yake mdogo KakaKiiza, akifuatiwa na Ben Mugashe,
Baba yake mwingine ambaye alikuwa akimuogesha ni MANI yeye atakuwa nyuma yao

Bila kumsahau Babu yake Mtambuzi kwa sasa hayuko mars yeye yuko jupiter anaosha....
Bila kumsahau tena mama zake wa ukweeeeee vivian, KOKUTONA na Fistlady 1 watakuwepo jioni ya leo; yule aliyepewa INVITATION CARD ndo anaruhusiwa kuwepo
pls pale getini atakuwepo guard wetu wa mipasho mshanaJr na mwenzake Elly79
KARIBUNI

View attachment 207372




 
Samahani kama nitakua 'radiko', lakini mimi si mfuasi wa ibada za siku ya kuzaliwa. Ni dhana za kubumba za nje na ambazo hazina maana kwetu.
 
happy born dei mae uishi miaka mingi zaidi ya kobe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom