ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,462
Mwadila
Wakati unakwenda na majira yanakwenda, wiki na siku zimeptta na sasa ni masaa amabayo tunakumbuka
siku muhimu ya mpendwa mwenzetu valentine kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake leo.
Bila ajizi namtakia maisha marefu na afya njema kwa miaka mingi ijayo yaani afikishe kimo kikubwa sana
na awe juu kwa kila jambo, lolote atakalofanya baraka zishuke juu yake.
Sitamsahau mama yake kipenzi huko aliko naye apokee baraka kwa kutufyatulia katoto kachanga haaka
kavaleentine ambacho leo kanatimiza malongo kadhaa
Wapendwa wenzangu maraifiki zangu ni vyema tumtakie afya njema mpendwa mwenzetu huyu na tuwe pamoja naye leo kwa kusherekea pamoja nae sijui mama yake ametuandalia keki wapi tuje tukate keki kwa pamoja? ngoja niulize ratiba ikoje kwani yeye mwenyewe valee ni mchanga hajui ataishia kulia ngaaaaawa.
Kwa moyo wangu wa upendo nampa keki hii hapa ale kwa picha ahahahahahahahhaaaaa!
Wakati unakwenda na majira yanakwenda, wiki na siku zimeptta na sasa ni masaa amabayo tunakumbuka
siku muhimu ya mpendwa mwenzetu valentine kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake leo.
Bila ajizi namtakia maisha marefu na afya njema kwa miaka mingi ijayo yaani afikishe kimo kikubwa sana
na awe juu kwa kila jambo, lolote atakalofanya baraka zishuke juu yake.
Sitamsahau mama yake kipenzi huko aliko naye apokee baraka kwa kutufyatulia katoto kachanga haaka
kavaleentine ambacho leo kanatimiza malongo kadhaa
Wapendwa wenzangu maraifiki zangu ni vyema tumtakie afya njema mpendwa mwenzetu huyu na tuwe pamoja naye leo kwa kusherekea pamoja nae sijui mama yake ametuandalia keki wapi tuje tukate keki kwa pamoja? ngoja niulize ratiba ikoje kwani yeye mwenyewe valee ni mchanga hajui ataishia kulia ngaaaaawa.
Kwa moyo wangu wa upendo nampa keki hii hapa ale kwa picha ahahahahahahahhaaaaa!