Happy birthday bestito Ntuzu

ladyfurahia

JF-Expert Member
May 10, 2011
14,699
9,462
Habarini mabestitooooo



Kila kitu kina majira yake
kuna majira ya kupanda na majira ya kuvuna
yako majira ya kujipendeza na yako majira ya kutojipendezesha
kuna majra ya kuwa nacho na kuna majira ya kutokuwa nacho
vilevile kuna majira ya k ufurahia na kuna majira ya huzuni
YOTE HAYO NI MAJIRA NA NYAKATI TOFAUTI KWA MWANADAMU
HATUNA BUDI KUWA KATIKA HALI ZOTE ZA MAJIRA YOTE


Hivyo bestito ungana nami kufurahia majira na nyakati nzuri kwetu
leo kwani mwenzetu kipenzi chetu na rafiki yetu Ntuzu leo ni majira yake
Ni siku special kwake kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
Tuwe pamoja naye best wetu kumtakia heri na afya njema kwa siku hii muhimu!



pokea kazawadi haka kadogo ka kumbukumbu ya kuzaliwa kwako

oo.jpg


To your my luv Ntuzu

HAPPY BIRTHDAY BESTITO NTUZU

I





 

Attachments

  • EENTUZU.jpg
    EENTUZU.jpg
    19 KB · Views: 147
Last edited by a moderator:
Habarini mabestitooooo



Kila kitu kina majira yake
kuna majira ya kupanda na majira ya kuvuna
yako majira ya kujipendeza na yako majira ya kutojipendezesha
kuna majra ya kuwa nacho na kuna majira ya kutokuwa nacho
vilevile kuna majira ya k ufurahia na kuna majira ya huzuni
YOTE HAYO NI MAJIRA NA NYAKATI TOFAUTI KWA MWANADAMU
HATUNA BUDI KUWA KATIKA HALI ZOTE ZA MAJIRA YOTE


Hivyo bestito ungana nami kufurahia majira na nyakati nzuri kwetu
leo kwani mwenzetu kipenzi chetu na rafiki yetu Ntuzu leo ni majira yake
Ni siku special kwake kwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
Tuwe pamoja naye best wetu kumtakia heri na afya njema kwa siku hii muhimu!



pokea kazawadi haka kadogo ka kumbukumbu ya kuzaliwa kwako

View attachment 166819


To your my luv Ntuzu

HAPPY BIRTHDAY BESTITO NTUZU

I







Thx so much Ma lv ladyfurahia

Binamu Yako Mr Rocky ajinyonge tu sasa!
 
Last edited by a moderator:
Nkwela Ntuzu kumbe ndo upo na bestito wangu ladyfurahia!??


Basi hapo najua hakuna litakaloharibika kwa siku ya leo..nikutakie heri na fanaka, siku hii na nyingi zijazo.

ENJOY BRODA!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom