Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,092
- 165,249
Mazoezi mjomba....operation tokomeza kitambiMwanaume kubinuka hivyo na kuacha Bluetooth on haijakaa sawa
Mazoezi mjomba....operation tokomeza kitambiMwanaume kubinuka hivyo na kuacha Bluetooth on haijakaa sawa
Nahisi huyo mwanamke anajutiaga sana kuzaa na le baharia
Ha ha ha yani maza atakua yupo proud na watoto wake ila anawish baba angekua ni mtu mwingine not le bahariaila nigezaliwa na le mutuz ningefaidi sana kuwa na baba kama huyu, ukirudi nyumbani saa 6 usiku anakwambia: "we mburulazz! mamen mzima unarudi saa hizi? unamuachia nani mabebezz bin mtindizz huko club? hebu rudi huko gademu, nikuone hapa asubuhi!"
ila nigezaliwa na le mutuz ningefaidi sana kuwa na baba kama huyu, ukirudi nyumbani saa 6 usiku anakwambia: "we mburulazz! mamen mzima unarudi saa hizi? unamuachia nani mabebezz bin mtindizz huko club? hebu rudi huko gademu, nikuone hapa asubuhi!"
Ha ha ha yani maza atakua yupo proud na watoto wake ila anawish baba angekua ni mtu mwingine not le baharia
Kwamba le mutuz na ex wife wake ni ndege wafananao....inawezekana kweliMi naona kwa vile alimkubalia basi na yeye atakuwa yuko hivyo hivyo sema kwa vile hana blogi hatujawahi kumsikia.
Kwamba le mutuz na ex wife wake ni ndege wafananao....inawezekana kweli
Kumbe ni babu wa BADILI TABIA af anamsingizia Kim nanaTeh Teh...Babu na bibi yake BADILI TABIA ni birds of a feather..
kindergatenNadhani anatamani hata angekua form two sahivi
Kumbe ni babu wa BADILI TABIA af anamsingizia Kim nana
BT msalimie yo gran papa me love him you know, na picha yake nnayoipendaga sana ni ile anajojoa kwenye mnazi
Sasa le mutuz inabidi utulie uwaandalie watoto wako urithi,si unajua huwezi kuwaachia urithi wa blogu yenye visitors 200 kwa mwezi ,ofisi downtown au urithi wa le bebezz super mtindizz,miaka 58 kaka kama na wewe ungekuwa kwenye kuchukua form ya urais bsi wa ungekuwa mgombea mzee kuliko wote hao 41