Teh Teh huo urithi wa blogu ni urithi wa BADILI TABIA na Kim nana walishaandikwa kabisa kwa hiyo labda watoto na Mama yao watapewa vitu vingine....
Kumbuka bado kuna
Urithi mabebiz,marafiki mabillionaire..kuna Noah,Ofisi na vitu vingi visivyo hamishika
Hii comment imenichekesha sana...!
Teh Teh
live ...long lemutuz
Mjinga sana huyu babu yani anasema watoto zake walienda kulia shida kwa babu yao. Hajui wanakula nini wanavaa nini wanalala wapi wanasomajesomaje bado analeta kashfa zake.
Kama ana miaka 51 we una miaka mingapi
Hahaha
Noah yenyewe unaambiwa kanunuliwa na mwanaume mwenzie...David Mosha. ...
Nina mashaka na hata huo urithi was blogu......
Haki y mamaaa chukua hiyo noah ntakuekua shockup mpya zote 4.....mana kwa uzito wke plus mabebezzz anaowapakiza lazma limeisha😁😁😁
hahaaa, atakuwa kaunganisha siti mbili za mbele akae peke yake..huo unene ni kama volkswagen beetle,siti ya dereva hatoshi
Mkuu usemalo n kweli ukimjibu ukweli anakimbilia kukutuhumu.......umri huo c haba ila jamaa ni mdananda anapenda sifa n kuabudiwa.hilo jina lake angetumia vizuri angekua mbali sana sio kumiliki kiblog n pagala kinyerezi,
Kila siku sifa mara naingiza laki 4 kwa saa ila maisha yke yaleyale hata kumalizia nyumba kashindwa
Hahaaa au spring z seat y dreva zimeshakatika huu uzito alitakiwa aendeshe hardtop
huyu jamaa hovyo kweli,katelekeza mke na watoto,ile sheria ya obama ingemkuta marekani leo tungeongea mengine