Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
Hahahah Kim nana aliamua kufuta ubabu ikabidi niokoe jahazi......
Halafu mabilionea mbona hawakuwepo kwenye pati??? Wamejaa wajukuu zake wa bongo movies tu au Babu siku hizi anaakti???
Babu nimemshindwaa, namgawa bureee mtu gani hataki kuzeekaa...Yani 58 yote hiyo halafu bado ana kadi ya UVCCM....
Last edited by a moderator: