Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Status
Not open for further replies.
kila mtu ana issue zake za private na hazituhusu. Kinachotuhusu ni kile tunachokijua. Ukweli ni kuwa Lemutuz ni gadem akili kubwaaz ndio maana tunamuongelea. Sio watu wengi wanaorudi bongo halafu wana bang kama le big show. Uongo mbaya mi mwenyewe ingawa namtania lakini sijawahi kuwaza kukaa mjini downtown you know? tushazoea wanaokaa huko ni wahindi wenye biashara zao. Haki yake mpeni bwana. Happy birthday W. J. Malecela
 
ILA mUTUZ @ kIBAIGWA MPWAPWAA,we bado bonge la MBURUKUKU aisee sasa makorokoro yote hayo ofisini ya nini,huku miwani ya jua,huku una surf,huku kikombe cha chai huku headphone aisee we mkuu vipi?
hayo yote uonyeshe kama na wewe umo tu.ila huo bonge la ushamba.jiamini we ZOBA.:wacko::spy:
 
hahahahahahaa....

U know le mbefelez !

hahahahahahaaa u know
 
Happy birthday le mutuz+le king of all soacial networks in bongo,
 
Katoka baru.
Sa hizi limepakatwa labda linaLISHWA keki kisha wabebeez wanaondoka na mpunga.
HII AKILI KUBWA KWA MAISHA YA BONGO ITASHINDWA MECHI NA AKILI KIDUCHU SANA.
 
Ungempa happy birthday kiroho safi au kuacha kabisa kuwish kuliko kumponda mtu,sasa hapo lengo la kumwish ilikuwa nini hasa!
 
ILA mUTUZ @ kIBAIGWA MPWAPWAA,we bado bonge la MBURUKUKU aisee sasa makorokoro yote hayo ofisini ya nini,huku miwani ya jua,huku una surf,huku kikombe cha chai huku headphone aisee we mkuu vipi?
hayo yote uonyeshe kama na wewe umo tu.ila huo bonge la ushamba.jiamini we ZOBA.:wacko::spy:

Hahahaaa makorokoro kama nyumba za katuni au nyumba za watoto za kuchezea kibaba baba na kimama mama lol! ���������� I like him though
 
Hahahahahahahaha mkuu umempa kavu zenye ukweli ndani yake ...

Ukweli upi? Jinga kabisa wewe, unafurahia kuona mwenzako anaharibikiwa? Hivi Wabongo mtaacha lini unafki na roho za kishirikina?
 
- Kijana mdogo haya mambo huyajui unajua mambo ya ali kiba na wema sepetu kaa pembeni ngoja nimpe darasa huyu kimama mzeee miaka 51 hahahahahaha anahangaika anadhani JF inaweza kumrudishia ndoa aliyoichezea mwenyewe hahahahahahaha

Le Mutuz

hahahahahahaha The King himself naona unampa mtu za uso bila kuvaa gloves teh teh teh

Ati kazi yake ni kukaa na wanawake siku nzima kuongea mambo ya Ali Kiba na Wema Sepetu teh teh
 
hahahaaa makorokoro kama nyumba za katuni au nyumba za watoto za kuchezea kibaba baba na kimama mama lol!  i like him though
akili kubwa lakini haijiamini,ofisini kwako headphone za nini.hapo usikute mburulaz linaangalia porno.
 
HappyBirthday Le Mutuz mzee Wa Le Tamkozzz hahah mtu mzima mwenye addiction ya social network Tz.
 



nani ameharibikiwa ....?

umejuaje kama kaharibikiwa ..?

ukweli kwamba issue unayowez ku discuss wewe ni ya alikiba na wema tu! ....


teh teh teh anakwambia "don't judge book by cover" teh teh teh
 
Napenda kuchukua fursa hii kumu wish baba Agapeo na Leona a very happy birthday, may ur special day be fulfilled with happiness and joy, sadly mama Agapeo yuko busy kuwaekea maisha watoto na kuwatafutia pesa za ada ya college si unajua ma single mother ambao baba watoto wamekimbia responsibility zao na kubaki kucheza na kubishana na vitoto Instagram!

zawadi yako ninayo tayari and hooe daddy and mummy na wao wameshakunulia birthday presents, kina Agapeo na Leona wanasema wako too busy ku deal unresponsible deadbeat dad like u, the say wishing u a happy birthday will be the biggest betral to their mothers efforts of raising and providing them without ur help, hopeful being 2yrs short of 60 itakufanya u grow up na kuact responsible.

View attachment 263395View attachment 263396

Ha ha ha haaaaaa.... Le Hippozzzz
Le Hippopotamuzzzzz
 
Mimi nasikitika sana jina la Malecela kuna wakati lilikuwa namaana fulani kubwa tu, si Tanzania wala Africa bali dunia nzima, leo habari ndiyo hii.

Inanikimbusha Marlon Brando kwenye "On The Waterfront" aliposema "I coulda had ckass, I coulda been a contender...Instead of a bum".

Yaani mtu anaingia maboya kutukanana na ex wife waliyezaa naye watoto JF bila hata uthibitisho kwamba ni kweli ex wife ndiye kaandika?

How stupid and low does one need to get to do that?

https://youtu.be/3QsNXd57Ppw

Nimemuuliza same question na kumshauri vyema lakini ameniita mimi majina aliyopenda kuniita, na badly kuna wale walioumbwa na chuki ambao hata huyo shetani anawaogopa eti wanamsifu Billy, hypocrisy to the maximum
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom