Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Status
Not open for further replies.
Nilishaingia hapa. A cozy place. Jamaa anacheza na akili zenu tu kisha anapiga hela bia jasho. Shauri yenu

Cozy?! Hivi hapo uliingia peke yako? Niliwahi kuwa na project flani hapo na nishaingia zaidi ya mara 10. Sio kwa huyo Mutuz, bali jirani yake kwa yule mzee wa kipindi cha.................. (anamjua).

Sitataja jengo, lakini kwa hints tu hilo jengo lipo mkabala na 'Maendekesho Kibubu' pale mjini. Tena ni jengo chafu kishenzi. You cant come forward and brag eti ni jengo classy kwa sababu liko town. The building is totally shabby!

Hana lolote huyu jamaa. Anachonikera, hatambui fursa zinazomzunguka na kuzitumia vema! Akili yake inawaza ujinga wa rika la akina Lulu na Lina! Kazi kuja kudanganya watu mitandaoni tu! Sijui hata inamsaidia nini eti?

Ndugu zangu, Huyu jamaa haigizi. Ana maisha magumu sana. Na ugumu wake unakuja zaidi kwa sababu anaishi CHINI YA UMRI WAKE!

Nitoboee...?!
 
Interest;

yaani kupiga picha ndo ameona deal, bongo movie si ndo zao hizo wana shoot katika mijengo mikali lakini maisha yao hayaeleweki, ishi maisha yako babu umri ushakuacha
 
Last edited by a moderator:
Eh,eh,ehhh...Kumbe Mtuz anamajanga makubwa hivi kwenye familia yake.Mbona kila muda hujifanya anakula good time?
Aisee kumbe anajikazaga huyu ni tatizo kwa stail hii,Mtu yeyote asiyejali familia yake hata vitabu vitakatifu vimemkataa..Ni mtu ovyo kabisa,blaza Le mutuz badilika kwa speed unaelekea pabaya bro!
 
Mr Gentleman huyu babu lemutuz watoto wake wanasomeshwa na mama yao pamoja na msaada kutoka serikali ya USA sababu wanaonekana ni watu masikini au wasio na uwezo ndio maana serikali inawasaidia na kuwasomesha, yeye huyu babu alikimbia majukumu yake na hapo amerika yeye ni wanted akiingia tu ndani ndio maana haendi tena sababu kisheria ukikimbia kulipa child support ni jela miaka mingi hadi utakapolipa na hapo bado ana deni wanasuniri kumkata kwenye pension port yake, mtoto wake wa kwanza Agapeo yuko college na yule mdogo Leona anaanza college next year, walikuja hapa bongo juzi juzi lakini hawakuwa hata na mpango na huyu babu hadi machozi yakamtoka aliishia kuwaona kwa nje tu, yule Leona aliishia kumwambia get off me ur not my dad haha watoto walikataa hata kumuona babu yao sea view.
Unaona ni sifa huyo ni upunguani kuwakataza watoto kumsalimia babu au baba yao, ugomvi wa wazazi sio busara kuwaunganisha watoto. Hiyo itabaki kuwa damu yake. Unavyoongea utakuwa ni ex wake au mtu wa karibu sana na ex wake. Nakushauri ukiachana na mtu usimfatilie maana utazidi kuumia roho na hasa kama ulikuwa unampenda kwa dhati. Ukikaa kushindana na mwanaume utakufa kwa presha dada.
 
Eh,eh,ehhh...Kumbe Mtuz anamajanga makubwa hivi kwenye familia yake.Mbona kila muda hujifanya anakula good time?
Aisee kumbe anajikazaga huyu ni tatizo kwa stail hii,Mtu yeyote asiyejali familia yake hata vitabu vitakatifu vimemkataa..Ni mtu ovyo kabisa,blaza Le mutuz badilika kwa speed unaelekea pabaya bro!

babe muache mbebez...au una kisas nae tokea nimepiga naye pichaaa...bwahahaa...le mbebez le mutuz tunakupenda u knw...happy birthday
 
- Watoto wanasoma kwa pesa nilizokuwa ninakatwa kwenye mshahara wangu kwa miaka 25 niliyokuwa ninaifanyia kazi kampuni moja tu, Sheria ya US inasema hivyo. Makaratasi ya divorce uliyopeleka Ubalozi ya USA tulikubaliana malipo ya nkila mwezi nikayasaiini yakarudishwa Serikali ndio maana watoto wangu wanapewa hela zangu na Serikali ya USA au uantaka nielete copy hapa uaibike zaidi hahahahaha

- Wewe mwenyewe na mwanasheria wako mlikubaliana kwamba huku bongo hamna pesa so ninatakiwa kulipa hela ndogo kutokana na mazingira ya bongo bila hivyo Serikali isingetoa pesa zangu walizokuwa wanazikata kwenye mashara wangu, kuja USA nikitaka nakuja anytime sina sababu ya kuja huko nipo busy hapa bongo natengeneza pesa, pole sana ila unalo ndio mkome kuchezea wanaume sio kila mwanaume ni muoga hahahahahahahaha

Le Mutuz

Ingekuwa njema sana kama hayo maswala yenu ya familia mkamalizia hukoo kuja peperusha mchele kwenye njiwa wengi humu haitasaidia nyie vijana hamkuchezwa unyago? Mbona wapana hivi
sii sawaa.
 
- hahahahahahhahahahahaah halafu ukijua itakusaidia nini kwamba nitakufa au nitapungukiwa nini watoto wanasoma kwa hela nilikuwa ninakatwa kwenye mshahara wangu hiyo ni sheria ya kule, pole sana mmejaaa majungu na umbeya hahahahahaha

Le Mutuz

Nilitaka kujua maana wewe ni mtu uliyefanikiwa sana kutokana na kutumia vizuri fursa kama unavyosema. Naweza kuwa inspired u never know.

Ebu nieleweshe huo mshahara uliokuwa unakatwa miaka zaidi ya 8 iliyopita inasomesha vipi watoto sasa hivi? Fees, pocket money etc
 
Mr Gentleman huyu babu lemutuz watoto wake wanasomeshwa na mama yao pamoja na msaada kutoka serikali ya USA sababu wanaonekana ni watu masikini au wasio na uwezo ndio maana serikali inawasaidia na kuwasomesha, yeye huyu babu alikimbia majukumu yake na hapo amerika yeye ni wanted akiingia tu ndani ndio maana haendi tena sababu kisheria ukikimbia kulipa child support ni jela miaka mingi hadi utakapolipa na hapo bado ana deni wanasuniri kumkata kwenye pension port yake, mtoto wake wa kwanza Agapeo yuko college na yule mdogo Leona anaanza college next year, walikuja hapa bongo juzi juzi lakini hawakuwa hata na mpango na huyu babu hadi machozi yakamtoka aliishia kuwaona kwa nje tu, yule Leona aliishia kumwambia get off me ur not my dad haha watoto walikataa hata kumuona babu yao sea view.

Aisee huruma sana, hafai kuitwa baba wala kuheshimiwa na watoto kama baba yao. Mtu anayekashifu watu kumbe ana maisha mabovu ata watoto wake kulea ameshindws amebaki kudandia ofa.
 
- Kijana mdogo haya mambo huyajui unajua mambo ya ali kiba na wema sepetu kaa pembeni ngoja nimpe darasa huyu kimama mzeee miaka 51 hahahahahaha anahangaika anadhani JF inaweza kumrudishia ndoa aliyoichezea mwenyewe hahahahahahaha

Le Mutuz

Hahahahahahahaha mkuu umempa kavu zenye ukweli ndani yake ...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom