Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Status
Not open for further replies.
Mwee mleta mada anachuki binafsi huyu jamaa namkubali sana ni mchangamfu na inaonekana sio mbinafsi maana kila anachofanya lazima tushare wote
Hongera kaka ktk siku yako ya kuzaliwa mungu akubaliki hata kama wanaponda kwa upande wangu nakupenda sana
 
Hahahaha leo povu litakutoka na birthday utaiona chungu haha eti ninafungua media company na partner wangu Davis mosha na wakati ur share ni 0.03% hahaha babu jonga jamani
 
Hahahaha leo povu litakutoka na birthday utaiona chungu haha eti ninafungua media company na partner wangu Davis mosha na wakati ur share ni 0.03% hahaha babu jonga jamani

- hahahahahaha namailizia kazi zangu naelekea Hilton Hotel kula kuku kumbe unakumbuka mpaka birthday yangu wewe ndio utauona uchungu wa ujinga si unauona sasa hivi mama mtumzima miaka 51 unahangaika, wewe uliachia ngazi sasa wapo wengine si umeona picha huku maisha yana endelea najua huko uliko huna life pole sana hahahahahah

Le Mutuz
 
Una uthibitisho upi kama huyu ni Ex wako?

Sidhani pamoja na tofauti zenu kama ni busara kumuingiza kwenye kila bifu la mtandaoni kwamba yeye anahusika.

Bond ya watoto mliyonayo ni kubwa sana she will never be out of ur life nakuhakikishia malizeni mambo yenu kiutu uzima huo ndio uanaume.

- Kijana mdogo haya mambo huyajui unajua mambo ya ali kiba na wema sepetu kaa pembeni ngoja nimpe darasa huyu kimama mzeee miaka 51 hahahahahaha anahangaika anadhani JF inaweza kumrudishia ndoa aliyoichezea mwenyewe hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Mr Gentleman huyu babu lemutuz watoto wake wanasomeshwa na mama yao pamoja na msaada kutoka serikali ya USA sababu wanaonekana ni watu masikini au wasio na uwezo ndio maana serikali inawasaidia na kuwasomesha, yeye huyu babu alikimbia majukumu yake na hapo amerika yeye ni wanted akiingia tu ndani ndio maana haendi tena sababu kisheria ukikimbia kulipa child support ni jela miaka mingi hadi utakapolipa na hapo bado ana deni wanasuniri kumkata kwenye pension port yake, mtoto wake wa kwanza Agapeo yuko college na yule mdogo Leona anaanza college next year, walikuja hapa bongo juzi juzi lakini hawakuwa hata na mpango na huyu babu hadi machozi yakamtoka aliishia kuwaona kwa nje tu, yule Leona aliishia kumwambia get off me ur not my dad haha watoto walikataa hata kumuona babu yao sea view.
 
- Mkuu jina langu ni WILLIAM JOHN SAMWEL MALECELA NAMBA YANGU YA SIMU NI 0717 618 997 EMAIL YANGU NI willymalec@gmail.com

- Now kama wewe upo hapa kama mimi weka ya kwako tuone hapa, kama huwezi nyamaza wewe mjinga!1

Le Mutuz

matusi ya nini sasa babu, twende mdogo mdogo, jina langu hilo hapo kwenye ID, na kuhusu email ukiona mtu ni member humu ujue anayo yake, so sio kitu kigeni, omba lingine babu
 
matusi ya nini sasa babu, twende mdogo mdogo, jina langu hilo hapo kwenye ID, na kuhusu email ukiona mtu ni member humu ujue anayo yake, so sio kitu kigeni, omba lingine babu

- Mkuu weka jina lako na namba yako kama mimi huwezi tulia hahahahaha wewe unafikiri mimi nina akili ndogo kama zako hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Mr Gentleman huyu babu lemutuz watoto wake wanasomeshwa na mama yao pamoja na msaada kutoka serikali ya USA sababu wanaonekana ni watu masikini au wasio na uwezo ndio maana serikali inawasaidia na kuwasomesha, yeye huyu babu alikimbia majukumu yake na hapo amerika yeye ni wanted akiingia tu ndani ndio maana haendi tena sababu kisheria ukikimbia kulipa child support ni jela miaka mingi hadi utakapolipa na hapo bado ana deni wanasuniri kumkata kwenye pension port yake, mtoto wake wa kwanza Agapeo yuko college na yule mdogo Leona anaanza college next year, walikuja hapa bongo juzi juzi lakini hawakuwa hata na mpango na huyu babu hadi machozi yakamtoka aliishia kuwaona kwa nje tu, yule Leona aliishia kumwambia get off me ur not my dad haha watoto walikataa hata kumuona babu yao sea view.

- Watoto wanasoma kwa pesa nilizokuwa ninakatwa kwenye mshahara wangu kwa miaka 25 niliyokuwa ninaifanyia kazi kampuni moja tu, Sheria ya US inasema hivyo. Makaratasi ya divorce uliyopeleka Ubalozi ya USA tulikubaliana malipo ya nkila mwezi nikayasaiini yakarudishwa Serikali ndio maana watoto wangu wanapewa hela zangu na Serikali ya USA au uantaka nielete copy hapa uaibike zaidi hahahahaha

- Wewe mwenyewe na mwanasheria wako mlikubaliana kwamba huku bongo hamna pesa so ninatakiwa kulipa hela ndogo kutokana na mazingira ya bongo bila hivyo Serikali isingetoa pesa zangu walizokuwa wanazikata kwenye mashara wangu, kuja USA nikitaka nakuja anytime sina sababu ya kuja huko nipo busy hapa bongo natengeneza pesa, pole sana ila unalo ndio mkome kuchezea wanaume sio kila mwanaume ni muoga hahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Mr Gentleman huyu babu lemutuz watoto wake wanasomeshwa na mama yao pamoja na msaada kutoka serikali ya USA sababu wanaonekana ni watu masikini au wasio na uwezo ndio maana serikali inawasaidia na kuwasomesha, yeye huyu babu alikimbia majukumu yake na hapo amerika yeye ni wanted akiingia tu ndani ndio maana haendi tena sababu kisheria ukikimbia kulipa child support ni jela miaka mingi hadi utakapolipa na hapo bado ana deni wanasuniri kumkata kwenye pension port yake, mtoto wake wa kwanza Agapeo yuko college na yule mdogo Leona anaanza college next year, walikuja hapa bongo juzi juzi lakini hawakuwa hata na mpango na huyu babu hadi machozi yakamtoka aliishia kuwaona kwa nje tu, yule Leona aliishia kumwambia get off me ur not my dad haha watoto walikataa hata kumuona babu yao sea view.


- hahahahaha ok walikataa kumuona bongo halafu majuzi alipokuwa huko wakamfuata kulia shida na wewe una pesa sana vipi wewe mama unajiabisha hapa

Le Mutuz
 
- Mkuu weka jina lako na namba yako kama mimi huwezi tulia hahahahaha wewe unafikiri mimi nina akili ndogo kama zako hahahahahahahaha

Le Mutuz

sasa ni-expose namba zangu kwa ajili yako? Umetaka jina nimekwambia hilo hapo juu, omba lingine lakini sio contact zangu, mimi sina akili kama zako babu
 
- Watoto wanasoma kwa pesa nilizokuwa ninakatwa kwenye mshahara wangu kwa miaka 25 niliyokuwa ninaifanyia kazi kampuni moja tu, Sheria ya US inasema hivyo. Makaratasi ya divorce uliyopeleka Ubalozi ya USA tulikubaliana malipo ya nkila mwezi nikayasaiini yakarudishwa Serikali ndio maana watoto wangu wanapewa hela zangu na Serikali ya USA au uantaka nielete copy hapa uaibike zaidi hahahahaha

- Wewe mwenyewe na mwanasheria wako mlikubaliana kwamba huku bongo hamna pesa so ninatakiwa kulipa hela ndogo kutokana na mazingira ya bongo bila hivyo Serikali isingetoa pesa zangu walizokuwa wanazikata kwenye mashara wangu, kuja USA nikitaka nakuja anytime sina sababu ya kuja huko nipo busy hapa bongo natengeneza pesa, pole sana ila unalo ndio mkome kuchezea wanaume sio kila mwanaume ni muoga hahahahahahahaha

Le Mutuz

Wacha porojo zako haya toa hizo karatasi tuzione kama hutajichekesha kama unatekenywa na Davis, wewe ulilipa kodi kuliko Bill Gates na mbona watoto wake hawasomeshwi na serikali, huoni aibu na kuwacheka watoto kuwa na njaa hadi kufikia kuenda kumsumbua baba yako awape pesa kidogo na wewe unajisifu tu instagram kwa vijukuu vyako, aibu sana babu lemutuz utakuea kama yule rafiki yako rupia shauri yako.
 
- hahahahaha ok walikataa kumuona bongo halafu majuzi alipokuwa huko wakamfuata kulia shida na wewe una pesa sana vipi wewe mama unajiabisha hapa

Le Mutuz

Umeona jinsi ulivyokuea na akili fupi hadi umethibitisha maneno yangu kama watoto walikugomea dar hawakuja hata kumuona banu yao sea view ila babu yao alivyokwenda marekani walikwenda kumuona na wewe unadai ni njaa zao jamani watoto wako mwenyewe kweli wewe hamnazo pole lakini uzee umekuingia vibaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom