Hapa nifanyaje wakuu

Hapa nifanyaje wakuu

Hapana tulienda hadi ofisini kwao hapo daressalaam
Kingine ni kuwa mkataba walikuwa wanaficha jina la kampuni na namba ya muajiri
Tukiuliza kwa nini wanasema tunaweza wazunguka
Jumla tuko 9
Kama wana ofisi Dar haraka wachangamkieni kisheria wakamatwe wawekwe sero kwa dhamana.
 
nyie wasomi mna shida gan ? .. hivi unatafuta kaz kisha unaambiwa ulipie zaidi ya milion 5 kaz gan hiyo kama si utapeli huo ?. au mm ndo sijui ? unalipiaje kaz ?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom