Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,778
- 58,351
Haupo seriously mkuu..Pesa inatafutwa, mbaya zaidi ukute malipo yalikuwa hayana risiti.
Hapa lazima haki ipatikane..
Naungana na jamaa lazima twende polisi 😂😂🙌
Haupo seriously mkuu..Pesa inatafutwa, mbaya zaidi ukute malipo yalikuwa hayana risiti.
katika kutafuta hiyo haki awe tayari kupoteza muda na gharama zingineHaupo seriously mkuu..
Hapa lazima haki ipatikane..
Naungana na jamaa lazima twende polisi 😂😂🙌
Maaamae sukuma mtu ndani hatutaki matapeliMimi ni kijana wa miaka 29, baada ya kumaliza chuo nilipata intern ya kilimo ulaya mwaka 2023_2024
Baada ya kukamilisha nilirudi Tanzania kuendelea na maisha
Sasa katika kupambana ninaye jamaa yangu tuliokuwa naye abroad wote akanishirikisha kuna fursa zingine za kwenda nchini canada yakuwa ni very agency na muajiri anahitaji recent intern wenye experience nikaona kama ina make sense hiyo ilikuwa feb2025, nikaaply wenye hilo kampuni la agency ambao ni watanzania walitutaka tulipie usd 2500 na sio tshs kulingana na uhitaji na wakati huo dolla ilikuwa juu nikaingia gharama nikalipia nikujua safari ni jun2025
Ilipofika April wakadai tujiandae na issue za embasy nikaona safari hii hapa. Ulipofika mwezi wa tano bila kufanikisha issue ya embassy wakaanza sababu kuwa canada sasa wanasera mpya za immigrant hivyo tusubiri ulipofika mwezi wa sita hakukuwa na safari.
Tulipoanza kuhoji wakatuambia hata sisi hatuelewi tuvumiliane siku 45 siku hizo zilipoisha wakaja na story ya kuwa tumepata kazi spain atakayetaka tumfanyie transfer nikaona kama nimevumilia 6month hii ya spain nayo wamesema ni urgent only 3 month mnaondoka nikaona ngoja tuone.
Mwezi wa 11 tukapewa contract ambapo walituahidi feb mnaondoka ilipofika jan wakatuambia majina yetu employer kayapeleka embassy tujiandae ilipofika february hakukuwa na safari story ni vile vile tusubiri tena sasa wanasema wao hawajui safari itakuwa lini maana employer naye hajui kuhusu sisi
Tulipoomba hela yetu kwa kuwa tunaona hamna issue hapo wanatuambia mwajiri wa ulaya kasema hawezi rudisha hela hadi wapate watu wengine watakao replace kuondoka kwako ndio urudishiwe hela yako
Nimeleta huo uzi
Je nimetapeliwa
Niende polisi
Au hapo unanishaurije mwa JF na mimi ndio tegemeo nyumbani
Asante
Hao ni matapeli kama @immigration TanzaniaMimi ni kijana wa miaka 29, baada ya kumaliza chuo nilipata intern ya kilimo ulaya mwaka 2023_2024
Baada ya kukamilisha nilirudi Tanzania kuendelea na maisha
Sasa katika kupambana ninaye jamaa yangu tuliokuwa naye abroad wote akanishirikisha kuna fursa zingine za kwenda nchini canada yakuwa ni very agency na muajiri anahitaji recent intern wenye experience nikaona kama ina make sense hiyo ilikuwa feb2025, nikaaply wenye hilo kampuni la agency ambao ni watanzania walitutaka tulipie usd 2500 na sio tshs kulingana na uhitaji na wakati huo dolla ilikuwa juu nikaingia gharama nikalipia nikujua safari ni jun2025
Ilipofika April wakadai tujiandae na issue za embasy nikaona safari hii hapa. Ulipofika mwezi wa tano bila kufanikisha issue ya embassy wakaanza sababu kuwa canada sasa wanasera mpya za immigrant hivyo tusubiri ulipofika mwezi wa sita hakukuwa na safari.
Tulipoanza kuhoji wakatuambia hata sisi hatuelewi tuvumiliane siku 45 siku hizo zilipoisha wakaja na story ya kuwa tumepata kazi spain atakayetaka tumfanyie transfer nikaona kama nimevumilia 6month hii ya spain nayo wamesema ni urgent only 3 month mnaondoka nikaona ngoja tuone.
Mwezi wa 11 tukapewa contract ambapo walituahidi feb mnaondoka ilipofika jan wakatuambia majina yetu employer kayapeleka embassy tujiandae ilipofika february hakukuwa na safari story ni vile vile tusubiri tena sasa wanasema wao hawajui safari itakuwa lini maana employer naye hajui kuhusu sisi
Tulipoomba hela yetu kwa kuwa tunaona hamna issue hapo wanatuambia mwajiri wa ulaya kasema hawezi rudisha hela hadi wapate watu wengine watakao replace kuondoka kwako ndio urudishiwe hela yako
Nimeleta huo uzi
Je nimetapeliwa
Niende polisi
Au hapo unanishaurije mwa JF na mimi ndio tegemeo nyumbani
Asante
Ndio tuko zaidi ya 7 kwenye huo mchakatoUna uhakika na jamaa yako naye alilipia hizo gharama
Ila pesa itarudi si ndio, kama nimepoteza 1year for nothing siwezi acha kupambania pesa yangukatika kutafuta hiyo haki awe tayari kupoteza muda na gharama zingine
Mkuu umetapeliwa.. wewe na mwenzio wote 9.. iko hivi nchi za Ulaya kama vile Canada swedeni, Finland, uholazi, span,Denmark na nchi moja nimeisahau Jina.. kazi katika hizo nchi hazina agents wa kutafuta watu wa kwenda kwao kufanya kazi..Hapana tulienda hadi ofisini kwao hapo daressalaam
Kingine ni kuwa mkataba walikuwa wanaficha jina la kampuni na namba ya muajiri
Tukiuliza kwa nini wanasema tunaweza wazunguka
Jumla tuko 9
Mkuu hii umepigwa amini usiamini.Hapana tulienda hadi ofisini kwao hapo daressalaam
Kingine ni kuwa mkataba walikuwa wanaficha jina la kampuni na namba ya muajiri
Tukiuliza kwa nini wanasema tunaweza wazunguka
Jumla tuko 9
Inauma kinomaMkuu hii umepigwa amini usiamini.
Karibu kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.
Kwa jinsi wanavyo chezea dola za watu mfano wako hamtawashinda kesi kirahisi.
Kwanza like kitendo cha kutowapeleka CANADA na kuwabadilishia destination ilikuwa BREACH OF CONTRACT.
Ungedai pesa yako wakati huo huo.
Nakufumbua akili uone wapi ilikuwa inalia alert alarm hukuzingatia.
Kukuficha jina na contacts za kampuni lengo usijaribu kutafuta taarifa za uthibitisho kwenye hiyo Kampuni utajua unatapeliwa.
Ila niki komaa pesa si inarudiMkuu hii umepigwa amini usiamini.
Karibu kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria.
Kwa jinsi wanavyo chezea dola za watu mfano wako hamtawashinda kesi kirahisi.
Kwanza like kitendo cha kutowapeleka CANADA na kuwabadilishia destination ilikuwa BREACH OF CONTRACT.
Ungedai pesa yako wakati huo huo.
Nakufumbua akili uone wapi ilikuwa inalia alert alarm hukuzingatia.
Kukuficha jina na contacts za kampuni lengo usijaribu kutafuta taarifa za uthibitisho kwenye hiyo Kampuni utajua unatapeliwa.
$2,500 pesa kubwa.