GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,468
- 10,926
Hupendwi ana mke huyo.
Ndo ukweli mtupu kama mtu ataki upajue kwake anataka apige asepe na achunge mimba.Kwa maelezo ulio yatoa uzoefu wangu unaonyesha kwamba.....
Wewe unampenda sana huyo mwanaume, na unatumia moyo badala ya kutumia akili kufanya maamuzi.
Mwisho niseme tu kwamba.....
Huyo mwanaume hana upendo wa dhati kwako, na hana mpango wa kukuoa wala hatokuja kufanya maisha na wewe.
Itoshe kusema kwamba.... wewe sio mwanamke wa ndoto yake.
Mtu kujua anakaa wap dini inazuia nn?Ana mke au ana mchumba ambaye huwa anaenda kwake.
Possibility ndogo inaweza kuwa kwa sababu ya imani ya kidini hawezi kukosogeza kwake kabla ya ndoa
Ni suala la muda kila kitu kitajulikana mtoa mada asiwe na haraka
Si haba mkuu 26Una umri gani?
InshallahKwa maelezo ulio yatoa uzoefu wangu unaonyesha kwamba.....
Wewe unampenda sana huyo mwanaume, na unatumia moyo badala ya kutumia akili kufanya maamuzi.
Mwisho niseme tu kwamba.....
Huyo mwanaume hana upendo wa dhati kwako, na hana mpango wa kukuoa wala hatokuja kufanya maisha na wewe.
Itoshe kusema kwamba.... wewe sio mwanamke wa ndoto yake.
Ni miezi 6Mna muda gan kwenye mahusiano?
Sina hiyo mkuu walikula nyenyereBikra
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻Mkuu unatumia akili mnemba nini si ameandika kabisa miezi 6...😂
Inaweza kuwaWewe utakuwa ni mchepuko ana familia huyo mchunguze vizuri labda upo tayari kuwa mke wa pili
Nje ya mada: natafuta mchepuko wa kudumu kama wewe alieko serious aje pm
Nimechoka kuita mma nataka kuyaita waterTulia mpaka maji utaita mma!
😂😂😂 tatizo sitokupenda sasa hivi vitu ni automaticallyNjoo kwangu tufanye malengo ya maishaa maana huyo ameshakuonyesha rangi nyekundu Bado sijapata mwanamke mwenye malengo ya maisha
Asante SanaaNikiwa kama mwanaume nataka kukushauli hvii... Mtoe kwenye nafasi uliyomuweka mludishe chini wakati ukijiandaa kwa lolote itakusaidia bibie, af ww n waifu tilio kabisa yan kwa maelezo yk..
ShangaaMtu kujua anakaa wap dini inazuia nn?
Hebu nifinye mkuuMume wa mtu huyo 🙄 yaan miez 6 na hujui kwake nataman kuuliza swal fulan ila ngoja ninyamaze
Kuna kauli hapo amesema Kwa Sasa hayupo serious 😄😄😄 tukufinye kidogo uweze kuamka
PossibleHupendwi ana mke huyo.