Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

Write your reply...ukilala, ukiamka unawaza gaza tu na kuwasafisha hamas waonekane malaika ndo mana asbh tu unatupia habar za gaza.hivi nyie mmejitoa kujenga hii nchi mnaijenga gaza et
 
Huyo Mungu mwarabu mnayemuabudu ni hopeless
Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafananishwi na yeyote au na chochote.

Baba'ke Joshua amesema kweli au anadanganya? Mtu anaenda kujifunza kilimo Biullet proof ya nini?

Watanzania wengine aliopelkwa israel wamerudi au bado wapo huko?
 
Sakala la Joshua Molel kuuawa na HAMAS lilileta mfadhahiko na tafrani kwenye jamii.

Binafsi niliona taarifa zake kuna walakini kwani Joshua tulitangaziwa na mwenzie mmoja kua walitekwa na HAMAS mnamo tarehe 7 October ila video ya mauaji ya Molel ilikuja kuachiwa mwezi December baada ya balozi wa Palestine kuanza kuelezea baadhi ya mambo kwenye media (haswa clouds tv)

Serikali ilijitokeza na kusema familia ya Molel itasafirishwa kwenda Israel kwa ajili ya taarifa zaidi,well jambo jema familia kusafirishwa kwa ajili ya briefing ila kwa mtu anaeweza kuwaza mbali inatosha kuleta maswali kua kuna taarifa zaidi za ndani haziko wazi na binafsi ilipelekea kuandika andiko hili, Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Baba mzazi wa Molel amerejea kutoka Israel na kwenye mahojiano na vyombo vya habari ameeleza bayana kua mwanae alikua amevaa bullet proof na aliuawa pamoja na askari watano wa Israel walipokuja sehemu moja. Hizo ni taarifa za mzazi ambae ametoka Israel kukutana na jeshi la Israel.

Watanzania wengi wamesahau kabisa kua bado Molel iliripotiwa alikua na Mtanzania mwenzie walipotekwa na HAMAS,mbona hadi leo hatutajiwi jina lake?!! Hali yake ikoje?!! Nae alikamatwa akiwa kavaa bullet proof ama akiwa chuoni?!!.

Tumsikilize Mzee Molel mwenyewe.

View: https://www.instagram.com/reel/C1crB_6KGs0/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==

Inawezekana Alikuwa spy huyo. Hamas Hawaui mtu asienahatia. Inaonekana Isreal inachukua vijana ktk nchi maskini kuwatumika kijeshi
 
Sakala la Joshua Molel kuuawa na HAMAS lilileta mfadhahiko na tafrani kwenye jamii.

Binafsi niliona taarifa zake kuna walakini kwani Joshua tulitangaziwa na mwenzie mmoja kua walitekwa na HAMAS mnamo tarehe 7 October ila video ya mauaji ya Molel ilikuja kuachiwa mwezi December baada ya balozi wa Palestine kuanza kuelezea baadhi ya mambo kwenye media (haswa clouds tv)

Serikali ilijitokeza na kusema familia ya Molel itasafirishwa kwenda Israel kwa ajili ya taarifa zaidi,well jambo jema familia kusafirishwa kwa ajili ya briefing ila kwa mtu anaeweza kuwaza mbali inatosha kuleta maswali kua kuna taarifa zaidi za ndani haziko wazi na binafsi ilipelekea kuandika andiko hili, Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Baba mzazi wa Molel amerejea kutoka Israel na kwenye mahojiano na vyombo vya habari ameeleza bayana kua mwanae alikua amevaa bullet proof na aliuawa pamoja na askari watano wa Israel walipokuja sehemu moja. Hizo ni taarifa za mzazi ambae ametoka Israel kukutana na jeshi la Israel.

Watanzania wengi wamesahau kabisa kua bado Molel iliripotiwa alikua na Mtanzania mwenzie walipotekwa na HAMAS,mbona hadi leo hatutajiwi jina lake?!! Hali yake ikoje?!! Nae alikamatwa akiwa kavaa bullet proof ama akiwa chuoni?!!.

Tumsikilize Mzee Molel mwenyewe.

View: https://www.instagram.com/reel/C1crB_6KGs0/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==

Joshua alikuwa kwenye kikosi cha jeshi la Israel,kuna picha alionekana akiwa kitandani akiwa na wanajeshi wa Israel siku waliyotembelewa na Netanyahu.
 
Yohana kwetu Israel 😂😂😂🌟
Karibu tusindikize jmosi arawa

20231230_114740.jpg
 
Sakala la Joshua Molel kuuawa na HAMAS lilileta mfadhahiko na tafrani kwenye jamii.

Binafsi niliona taarifa zake kuna walakini kwani Joshua tulitangaziwa na mwenzie mmoja kua walitekwa na HAMAS mnamo tarehe 7 October ila video ya mauaji ya Molel ilikuja kuachiwa mwezi December baada ya balozi wa Palestine kuanza kuelezea baadhi ya mambo kwenye media (haswa clouds tv)

Serikali ilijitokeza na kusema familia ya Molel itasafirishwa kwenda Israel kwa ajili ya taarifa zaidi,well jambo jema familia kusafirishwa kwa ajili ya briefing ila kwa mtu anaeweza kuwaza mbali inatosha kuleta maswali kua kuna taarifa zaidi za ndani haziko wazi na binafsi ilipelekea kuandika andiko hili, Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

Baba mzazi wa Molel amerejea kutoka Israel na kwenye mahojiano na vyombo vya habari ameeleza bayana kua mwanae alikua amevaa bullet proof na aliuawa pamoja na askari watano wa Israel walipokuja sehemu moja. Hizo ni taarifa za mzazi ambae ametoka Israel kukutana na jeshi la Israel.

Watanzania wengi wamesahau kabisa kua bado Molel iliripotiwa alikua na Mtanzania mwenzie walipotekwa na HAMAS,mbona hadi leo hatutajiwi jina lake?!! Hali yake ikoje?!! Nae alikamatwa akiwa kavaa bullet proof ama akiwa chuoni?!!.

Tumsikilize Mzee Molel mwenyewe.

View: https://www.instagram.com/reel/C1crB_6KGs0/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==

Wee ng'ombe kipumbu kwani bullet proof zinavaliwa na askari peke yao? Acha kutoa tafsiri potofu!
 
Kichwa Kisoda.

Kwani kuvaa bullet proof ndio kuwa alari!

GOD BLESS ISRAEL
 
Kama usingetoa mrengo wa kidini hoja yako ingeeleweka. Uwe mzalendo wa nchi achana na mambo ya kiislam ni abrakadabra tu za mataifa ya kiarabu na utamaduni wao. Usilete itikadi za kidini ndani ya nchi isiyo ya kidini
 
Fikra zako za kipuuzi sana. Wewe kwa akili yako ndogo unaona bullet proof ni kitu cha ajabu?

Kuna wakati tulikuwa kwenye ziara ya kikazi kwenda Kabanga, Ngara. Kwa sababu matukio ya watu kutekwa wakiwa kwenye magari binafsi au mabasi yalikuwa mengi wakati huo, sisi sote, kila mmoja alipewa bullet proof na kampuni. Na huo ulikuwa ni utaratibu wa kawaida kwa kila aliyekuwa akisafiri kuelekea Ngara au Bukoba. Na hiyo haikumaanisha sisi sote tulikuwa wanajeshi.

Maeneo ambayo hali ya usalama ni mdogo kama vile maeneo yaliyopo mpakani mwa Israel na Gaza, au Israel na Lebanon, kunakuwa na tahadhari za kawaida za kiusalama. Lakini pia maeneo hayo yanakuwa na askari walinzi wa mipakani.

Kukitokea ambush, askari pia huwasaidia raia namna ya kujiokoa.

Lililo wazi ni kwamba mashetani magaidi ya Hamas yamewaua vijana wetu. Lililo baya zaidi, hata humu nchini tuna magaidi. Mengine ndiyo yale yaliyofanya mauaji kule Kibiti, Mkuranga na Tanga. Lakini mengine tunayo humu mtaani, ndiyo haya ambayo kila siku ya awatetea magaidi ya Hamas. Haya magaidi ya mtaani tunayoishi nayo, yana roho ya ugaidi, hayajapata tu mazingira ya kutekeleza uovu wao uliopo mioyoni mwao.

Tuzidi kuomba magaidi ya Hamas na magaidi mengibe yote yaangamizwe, ili Dunia iwe mahali sakama pa watu wema.
 
Back
Top Bottom