Lakini sidhani kama ilikuwa ni sawa kutoa statement kabla ya serikali haijatoa clarification ya kilichotokeaIt's obvious mzee yupo distraughted na ana uchungu. Kuna details lazima awe amezichanganya. Akiwa ametulia vizuri atajieleza vizuri.
Serikali haitatoa statement.Lakini sidhani kama ilikuwa ni sawa kutoa statement kabla ya serikali haijatoa clarification ya kilichotokea
Wasio mjua MUNGU hawajui maagizo yake.we ni dini gani unaelaani israel?
Kama kafa kijeshi kwanini asizikwe tu huko huko? Na Isreal