ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,974
Atamkoma nani? Huyo mwehu kina mwigamba labda
Zito kesha chelewa ataondoka na watu wa Mwandiga tu, ambao walimchagua kama mbunge wao. Lakini kwingine ameshachelewa.
Kwenye ilo gazeti kauli ya Zitto mnaikubali lakini ya Papa mnaikataa.
kweli mtu yoyote tabia yake na fikra zake nzuri zinaonekana wakati wa hali ngumu anayopitia.
ninaanza kuamini hata uraisi hafai kabisa!!!
nimetegemea hekima nzuri kwa zito nyakati hizi lakini sasa!!!!!!
Jambo leo haliaminiki.
Sidhani kama Zitto anaweza kutoa reckless statement kiasi hicho.
Labda awe amelishwa maneno.Mwanasiasa makini hawezi kujitolea kauli hiyo katika kipindi hiki
Hiyo ni kauli ya Zitto ambapo gazeti limeripoti akisema watamkoma na huku Hamad Rashid akisema ataondoka na wengi.
Kichwa cha habari katika gazeti kinasomeka:
"Zitto:Watanikoma"
CHANZO:Jamboleo
My take;
Kama kweli hayo ndio matamshi ya Zitto,basi huyu dogo ni very arrogant na hapaswi kuhurumiwa hata kidogo.
Nashukuru kaka! Ingawa ujue tu sitafuti umaarufu hata siku moja, labda tu hujanijua... I hate siasa za vyama vyenu tena vyote. Ila kama nikipima kipi ni tofauti na vingine ni ACT tu!Kasheshe,
Pamoja na kushuka kwa heshima yako hapa JF tangu ile mada ya 2008,hapa naona angalao umefikiria mbali.Kudos!
Kumbe umeanza kuwa na akili tangu uwekewe zengwe la BAWACHA
Ningeshangaa sana sana.Ndio maana nilipinga kuwa haiwezekani aseme hivyo
Mfa Maji Haachi Kutapatapa, Is too late, Mbona alifukuzwa Siku Nyingi na hakuna Impact yoyote ambayo CHADEMA imefeel. Kashachelewa Labda atawapata watu wa Jimboni mwake; Watanzania Kwa Sasa Tunaongelea Kuwapa DOLA UKAWA na sio CHADEMA.
Kufutiwa/Kufukuzwa Uanachama ni Jambo ambalo si geni kwa Siasa za Tanzania, Tumewaona wanasiasa wengi tu katika hili. Sidhani Zitto yeye anaweza Kutushangaza sana WaTZ Kiasi cha Kutubadili Mwelekeo Tulionao.
Yeye aende aendako hata CCM walikokuwa Wanapeleka Taarifa lakini Mwisho wa Siku UKAWA Ndio habari ya Mjini.
kwakuwa anawaza na kutoa maamuzi kwaniaba yenu.Zitto watanzania tunatambua mchango wako.. Tunatambua fitna unazofanyiwa...
Tunasubiri utuelekeze nini cha kufanya tu.
Lipumba nq Cuf yake Wanasubiri Mmpe babu nafas ya Ugombea wa Ukawa muone kama na yeye atabaki.Mtabqki na Arusha na Manyara muunda empire yenu