Hamad Rashid: Zitto ataondoka na wengi!

Hamad Rashid: Zitto ataondoka na wengi!

Chadema watamkoma azi imeanza sasa mazero na wenye elimu sasa watafahamika.
 
nyie wasomi huwa nawashangaaga sana

hujathibitisha habari umeanza analysis!!

source ni jambo leo..ambao watafanya lolote lile kukuza uadui

hivi mtu akisema IQ yako iko chini unawezaje kumbishia?

Mkuu Waberoya, swala la kujiuliza hapa ni kweli watu wanaochangia hapa wana maana ya kweli? Kwa huyio aiiye fanya analysis ana haki kwani amebase kwenye habari zilizotolewa na gazeti tajwa. Si kazi yake kuanza kuchunguza habari za gazeti tajwa kama ni kweli au hapana. Mkuu ninaona umekuja na ksi kubwa kiasi kuwa hata IQ haikutakiwa kutumika hapa.
 
Ni wale tu bendera fuata upepo, wasiojitambua ndio ataondoka nao...kwa mtu mwenye upeo wa mbali hawezi kufuata siasa za usaliti za Zitto Kabwe
 
Hivi huyu jamaa anafikiri kuwa watu wote wanamuwaza yeye, naona ana mtindio wa ubongo
 
Gazeti gani..... habari leo!? Tupa kule.
Sidhani kama Zitto anaweza kutamka hadharani hivyo. Niamini tu ni maneno ya waandishi kuuza gazeti lao linalo doda mtaani.
Hata Hamad walisena hivyo, Naye akavimba 'bichwa', yako wapi!?
 
Atamke asitamke sasaivi akifanya chochote ni ruksa ilimradi yoko njee ya chama tuta skia mengi sana lakini yatakosa huhalali akiwa njee
 
Zitto watanzania tunatambua mchango wako.. Tunatambua fitna unazofanyiwa...

Tunasubiri utuelekeze nini cha kufanya tu.
 
Wengi? labda hao wa Escrow alikopewa fedha na S..... kwa mujibu wa Ngeleja.
 
Let him leave,it is better to remain with few people who are loyal,than many people who are are untrustable.

WELL SAID, some one said, i need 10 dedicated people to change the world. In Ukawa we need even two dedicated leaders to lead us in true changes. ZITTO GO, GO
 
Kama ulikuwa haujui ndio Chadema yenyewe ulipaswa uisome kabla
Kumbe ndiyo hivyo mimi nilikuwa sijui kumbe katiba hii ya Mtei na wakwe zake siyo ya kuipuuza hata kidogo.

Inadumisha upendo na mshikamano kwa wananchi tofauti tofauti,ukinzia na kwa Zitto mwenyewe wimbo ni CHADEMA,CHADEMA ukienda Kashai na Kagera kwa ujumla wake wimbo ni CHADEMA,CHADEMA nenda Mwanza wimbo ni uleule Mbeya,Iringa,Rukwa,Simiyu na Tanzania nzima wimbo ni uleule.

Hata CCM wenyewe wameacha kueneza sera za chama chao wameungana na watanzania wenzao kuimba wimbo wa CHADEMA majukwaani.
 
Back
Top Bottom