masumbuko dogo
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 456
- 118
Hamad Raahid ananyemelea kazi kwenye tume itakayoundwa ya kusimamia utekelezwaji wa katiba mpya...ile miaka miwili ya mpito.
Vijisenti?Hela za mboga?vijihela vya ugoro?mimi nizazo nyingi sana kuliko hizo 80m nilizowekewa? Hapa suala si CDM!issue ni kuweka u TZ mbele...CHADEMA sio taasisi ni mali binafsi ya MTEI
zitto akitaka heshima asishambulie chama. amwage sera zake tu
Nashukuru kaka! Ingawa ujue tu sitafuti umaarufu hata siku moja, labda tu hujanijua... I hate siasa za vyama vyenu tena vyote. Ila kama nikipima kipi ni tofauti na vingine ni ACT tu!
Mfa Maji Haachi Kutapatapa, Is too late, Mbona alifukuzwa Siku Nyingi na hakuna Impact yoyote ambayo CHADEMA imefeel. Kashachelewa Labda atawapata watu wa Jimboni mwake; Watanzania Kwa Sasa Tunaongelea Kuwapa DOLA UKAWA na sio CHADEMA.
Kufutiwa/Kufukuzwa Uanachama ni Jambo ambalo si geni kwa Siasa za Tanzania, Tumewaona wanasiasa wengi tu katika hili. Sidhani Zitto yeye anaweza Kutushangaza sana WaTZ Kiasi cha Kutubadili Mwelekeo Tulionao.
Yeye aende aendako hata CCM walikokuwa Wanapeleka Taarifa lakini Mwisho wa Siku UKAWA Ndio habari ya Mjini.
Hapo nimerekebisha lakini hiyo heading bado ni mbaya zaidi kwa mustakabali wa Zitto kisiasa
Kwa kauli hiyo kuna kila dalili ya wasaliti kuungana,ADC ya Hamad na ACT ya Zitto.Stay tuned!!
Huu ni mwanzo wa zito kupotea kwenye ramani ya siasa za nchii hii akawaulize akina Mrema kwa uzoefu zaidi.
mkuu,Mrema unaweza mfananisha na ZZK kweli?Ujengaji wa hoja,utetezi wa hoja na kusimamia anachokiamini ndivyo vinamfanya ZZK awe tofauti na wanasiasa wengine wote,Mrema mmojawapo
nyie wasomi huwa nawashangaaga sana
hujathibitisha habari umeanza analysis!!
source ni jambo leo..ambao watafanya lolote lile kukuza uadui
hivi mtu akisema IQ yako iko chini unawezaje kumbishia?
Kaka tupende tusipende viongozi wa ACT ni wako fiti... Tusubiri tuone... Haya ni maoni Yangu... Silazimishi mtu yeyote Yule ayaamini but time will tell.ACT umeipima lini?
Kama wanawezana na Rashid wanawezakuungana maana wote janga lao mojaHalafu awachane na Hamad Rashid
Jambo leo haliaminiki.
Sidhani kama Zitto anaweza kutoa reckless statement kiasi hicho.
Labda awe amelishwa maneno.Mwanasiasa makini hawezi kujitolea kauli hiyo katika kipindi hiki