Tatizo la Chadema mna wafuasi sio wanachama. Anayebisha alete hesabu ya wanachama wa Chadema kitaifa. Na wapiga debe hawajengi chama kinajengwa na wanachama.
![]()
Hiyo ni kauli ya Zitto ambapo gazeti limeripoti akisema watamkoma na huku Hamad Rashid akisema ataondoka na wengi.
Kichwa cha habari katika gazeti kinasomeka:
"Zitto:Watanikoma"
CHANZO:Jamboleo
My take;
Kama kweli hayo ndio matamshi ya Zitto,basi huyu dogo ni very arrogant na hapaswi kuhurumiwa hata kidogo.
Mkondakaiye wala usidhani Zitto anapendwa na watu wengi wa Mwandiga. CHADEMA imekuwa na nguvu kubwa Kigoma kabla hata Zitto hajawa Mbunge au Kiongozi wa CHADEMA. Kuna watu wengi sana walihusika kuijenga CHADEMA kigoma kabla ya Zitto kuwa mbunge.
Kifupi tambua tu, siasa za ajabu ajabu za Zitto akiwa mbunge na kiongozi mwandamizi wa CHADEMA zimehusika sana kuirudisha nyuma CHADEMA Kigoma.
Don't say that, CHADEMA was already facing a political hemorrhage,if not UKAWA we would have been saying different things right now. Sometimes you have to accept the reality, live with it and move on instead of being so adamant against the reality, you might end up losing.
I hate people like you. Your colleague wrote in Swahili language, then wonderful enough (I know not why?) you reply in English. No fair my friend. It's not a challenge to you but a reality bearing in mind that Swahili is your official language in TZ.
Mfa Maji Haachi Kutapatapa, Is too late, Mbona alifukuzwa Siku Nyingi na hakuna Impact yoyote ambayo CHADEMA imefeel. Kashachelewa Labda atawapata watu wa Jimboni mwake; Watanzania Kwa Sasa Tunaongelea Kuwapa DOLA UKAWA na sio CHADEMA.
Kufutiwa/Kufukuzwa Uanachama ni Jambo ambalo si geni kwa Siasa za Tanzania, Tumewaona wanasiasa wengi tu katika hili. Sidhani Zitto yeye anaweza Kutushangaza sana WaTZ Kiasi cha Kutubadili Mwelekeo Tulionao.
Yeye aende aendako hata CCM walikokuwa Wanapeleka Taarifa lakini Mwisho wa Siku UKAWA Ndio habari ya Mjini.