Hiyo ni kauli ya Zitto ambapo gazeti limeripoti akisema watamkoma na huku Hamad Rashid akisema ataondoka na wengi.
Kichwa cha habari katika gazeti kinasomeka:
"Zitto:Watanikoma"
CHANZO:Jamboleo
My take;
Kama kweli hayo ndio matamshi ya Zitto,basi huyu dogo ni very arrogant na hapaswi kuhurumiwa hata kidogo.
Unachosema ndio nilichomanisha.Heading ya Zitto kasema ndio mbaya, lakini Hamad Rashid kasema haina ubaya wowote kwa Zitto sababu hiyo kauli inasemwa na wengi.
Ataondoka peke yake
Watamkoma?Yani anaanzisha Chama kukomesha Chadema?kweli huyu anatumiwa,mi najua lengo la Chama chochote cha Siasa ni kuchukua dola adui yake alotakiwa awe CCM.
Jambo leo haliaminiki.
Sidhani kama Zitto anaweza kutoa reckless statement kiasi hicho.
Labda awe amelishwa maneno.Mwanasiasa makini hawezi kujitolea kauli hiyo katika kipindi hiki
CHADEMA haina muda mchafu wa kuhaingaika na Shibuda ambaye kajifukuza mwenyewe.
Shibuda zake October