mbishi sana
Senior Member
- May 10, 2013
- 102
- 74
Jambo leo haliaminiki.
Sidhani kama Zitto anaweza kutoa reckless statement kiasi hicho.
Labda awe amelishwa maneno.Mwanasiasa makini hawezi kujitolea kauli hiyo katika kipindi hiki
Kaka sasa nafikiri naanza kukuelewa vizuri saana. Naanza kuona misimamo yako kisiasa jinsi ilivyo. Hongera kwa mlengo huo wa siasa uliouchagua.
Ila nadhan maisha yako yatakuwa magumu saana ndan ya chadema. Na ndo maana unapata misukosuko ya hapa na pale.
Binafsi sijawah ona kada au kijana yoyote wa chadema kuwa independent kifikra kama wewe. Nishazoea kuona watu wa "NDIO MZEE" wakijiita ni makada wanyenyekevu nakujiona ni bora kuliko wale wa upande wa pili. Na labda hili ndo lililonifanya kurud nyuma hatua moja na kuwaza kama kweli CHADEMA ni mkomboz wa nchi au ndo walewale.
Binafsi nadhan kama chama kikiruhusu kuwa na watu kumi akama nyie katika nafas za juu kitakuwa bora zaid ya kilivyosasa. Ila kwa hii misimamo yko binafsi unayoonesha huku ukipeperusha bendera ya chama sitoshangaa wakianza kukuita msaliti.
Hongera saana Ben Saanane shughuri ya ukomboz, na kujijenga kisiasa ni nzito mno natumai kwakua ushadumbukia katika ngoma iyo ya siasa utapambana na changamoto zozote utakazo kumbana nazo.
Mafanikio mema katika hili gemu kaka
Last edited by a moderator: