Kwa hiyo inamaana wanakulimit utumie 500mb kwa siku?Ile ya gb 15 kwa mwezi,halafu kwenye mabano 500mb kwa siku,maana yake ni kwamba kwa kila siku iendayo kwa Mungu,katika ile 15gb,kuna mb 500.
Hujauona ukuta wa 500mb per day?Halotel kwangu ndio namba 1 upande wa internet kwa eneo nilipo mimi.
Nimeipenda hii menu ya kwenye halopesa.
Ila najijuaaa nikiweka huu mzigo wa gb15, najua mwezi hauishi nishazimaliza.
Mkuu hiyo kitu sijaicheki, sina hakika kama kuna limitation.
Hiyo ngumu maana huku kwetu Kuna mambo ya kutii sheria Bila shurti mzee baba,Hapo ndio patamu...
Ila kwa hiyo pesa 10000 afadhali waweke limit tu.
Maana huwezi spend 15gb kwa 10000 in one or two days mkuu.
Ni afadhali ujinyime usingizi kwa zile night bundle kwa 1000, 10gb or unlimited.
Sasa huo utani mb 500 per dayUtatumia MB 500 tu kwa siku japo umepewa GB 30![]()

.. yaan hizo hata saa moja hazimaliziHii app ya my halotel aisee kila siku nawania zile 15gb. Lakini sizipati aiseeee.
Yaani naziwinda kila siku.
Unasajili line mkuu?