Halotel waja kivingine

Halotel waja kivingine

mimi nilijua gb 15 full, mambo gani hayo ya kunipangia mb 500 kwa siku.
 
Ile ya gb 15 kwa mwezi,halafu kwenye mabano 500mb kwa siku,maana yake ni kwamba kwa kila siku iendayo kwa Mungu,katika ile 15gb,kuna mb 500.
Kwa hiyo inamaana wanakulimit utumie 500mb kwa siku?
Kama ndiyo basi haina maana yoyote coz Kuna heavy user watataka kuzikamua zote kwa siku 1 au 2 sasa huo ukuta mh....
 
Halotel kwangu ndio namba 1 upande wa internet kwa eneo nilipo mimi.
Nimeipenda hii menu ya kwenye halopesa.
Ila najijuaaa nikiweka huu mzigo wa gb15, najua mwezi hauishi nishazimaliza.
Hujauona ukuta wa 500mb per day?
 
Mkuu hiyo kitu sijaicheki, sina hakika kama kuna limitation.
Hapo ndio patamu...
Ila kwa hiyo pesa 10000 afadhali waweke limit tu.
Maana huwezi spend 15gb kwa 10000 in one or two days mkuu.
Ni afadhali ujinyime usingizi kwa zile night bundle kwa 1000, 10gb or unlimited.
Hiyo ngumu maana huku kwetu Kuna mambo ya kutii sheria Bila shurti mzee baba,
Shangazio kapiga marufuku laptop kuwashwa baada ya saa 4 vimginevyo hupewi matandu
 
nina card ya halotel lakini nasikitika huku kijijini mtandao hakuna,kufaidi hayo yote ni mpaka siku za sikukuu nikienda mjini kuona lami na masuruali ya wadada
 
Hiyo ngumu maana huku kwetu Kuna mambo ya kutii sheria Bila shurti mzee baba,
Shangazio kapiga marufuku laptop kuwashwa baada ya saa 4 vimginevyo hupewi matandu
 
Kwa hiyo inamaana wanakulimit utumie 500mb kwa siku?
Kama ndiyo basi haina maana yoyote coz Kuna heavy user watataka kuzikamua zote kwa siku 1 au 2 sasa huo ukuta mh....
Hakuna limit
 
nina card ya halotel lakini nasikitika huku kijijini mtandao hakuna,kufaidi hayo yote ni mpaka siku za sikukuu nikienda mjini kuona lami na masuruali ya wadada
 
Back
Top Bottom