Halotel waja kivingine

Halotel waja kivingine

Ile menu ya chuo ilikuwa msaada sana kwa wale wasio kuwa na line za chuo, sasa badala ya 500, imekuwa 1000.
 
Uko sawa ipo ila ile 500 siku/mwezi halafu kuna gb15 sijaelewsijui kwa nini wameichimbia kwenye menu za ndani kabisa.

Halotel ni mtandao uko vizuri sana kwenye net. Hata vijijini youtube inatembea fresh. Hawa wengine wa mjini tu. Wanamapungufu kugawa vifurushi yaani hata ukinunua mitandao yote lazima halotel waipe fungu.

Tatizo naona watu hatujazoea kupiga simu kitumia net. Ingekuwa poa sana.

Bye bye Tigo, Voda n.k
Bye bye Tigo, Voda n.k
 
Halotel kwangu ndio namba 1 upande wa internet kwa eneo nilipo mimi.
Nimeipenda hii menu ya kwenye halopesa.
Ila najijuaaa nikiweka huu mzigo wa gb15, najua mwezi hauishi nishazimaliza.
.wewe ni mtumiaji wa mb kupita kiasi?
 
Ni kweli,mke wangu hana laini ya chuo, vifurushi vyake ni full upuuzi.
Yaani vifurushi vyake duuh. Ila bora hivyo vya halopesa coz 500 anapata 500mb/day. Wakati kawaida 500 mi 200mb/day.
Akitaka cha week ajitutumue cha 1000 ambacho ni 1Gb /week. (Ana mb za ziada compare na za chuo) na vyote vina dk.
 
Yaani vifurushi vyake duuh. Ila bora hivyo vya halopesa coz 500 anapata 500mb/day. Wakati kawaida 500 mi 200mb/day.
Akitaka cha week ajitutumue cha 1000 ambacho ni 1Gb /week. (Ana mb za ziada compare na za chuo) na vyote vina dk.
Mimi laini ya mke wangu hicho cha 1gb kwa 1000 hakipo kabisaaaaaaa.
 
Safi sana
Screenshot_20190422-173638.jpeg
 
Back
Top Bottom