Halotel mbona siwaelewi?

Halotel mbona siwaelewi?

Hvi inakuaje bando zinaisha ghafla hivi?

Gb kumi natumia jf, fb, insta, na YouTube pekee. Movie sidownload hakuna consumption kubwa na nimewasha data saver alaf GB kumi hazimalizi siku mbili kweli...

Jaman wadau na nyie mnaliona hilo?
huenda kasi ya mtandao husika ni zaidi ya 5G, ni muhimu kuzingatia hilo gentleman 🐒
 
Hvi inakuaje bando zinaisha ghafla hivi?

Gb kumi natumia jf, fb, insta, na YouTube pekee. Movie sidownload hakuna consumption kubwa na nimewasha data saver alaf GB kumi hazimalizi siku mbili kweli...

Jaman wadau na nyie mnaliona hilo?
Ukitaka kuwatusi HALOTEL unabonyeza ngapi Mkuu ?
 
Halafu siku hizi walivyo wezi hata ukitaka kujua salio na bando lako hawataki kukujulisha kwa meseji kama ilivyokuwa mwanzoni,wamekuwa ni wa ovyo sana
 
Nakubaliana na wewe halotel mtandao upo chini na bando zao zinaisha haraka sana, natumia virufushi vya biashara ila vinaisha haraka sana.
 
Nakubaliana na wewe halotel mtandao upo chini na bando zao zinaisha haraka sana, natumia virufushi vya biashara ila vinaisha haraka sana.
Ni hovyo mbaya mbovu
 
Back
Top Bottom