binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,099
- 40,696
Wamesema eti tutafute hela 😂Ni kweli ila si unajua vifurushi vya mchongo uhakika😅 makapuku sie tufanyaje sasa?
Wamesema eti tutafute hela 😂Ni kweli ila si unajua vifurushi vya mchongo uhakika😅 makapuku sie tufanyaje sasa?
Sina uhakika maana matumizi yangu niya kawaida tu.Ila kitu kikiwa cheap lazima ufikirie hivyoNdo maana kumbe huwa zinakuwa za mchongo sio?
Nilijua ni mimi mwenyewe aisee. Bundle ya voda GB 22 naweza tumia hata siku 25, lakiniHalotel GB 32 haimalizi wiki mbiliHvi inakuaje bando zinaisha ghafla hivi?
Gb kumi natumia jf, fb, insta, na YouTube pekee. Movie sidownload hakuna consumption kubwa na nimewasha data saver alaf GB kumi hazimalizi siku mbili kweli...
Jaman wadau na nyie mnaliona hilo?
5 to 6Kuna kaa max siku ngapi?
Umesahau pale nimeona una-stream Spotify na hio fb na youtube plus insta zinakula bando kufulu ogopa ukitumia usiwe na bando la mawazoGb kumi natumia jf, fb, insta, na YouTube pekee. Movie sidownload hakuna consumption kubwa na nimewasha data saver alaf GB kumi hazimalizi siku mbili kweli...
Aisee🥹, mtandao wa matajeer ni upi?Kweli kabisa halotel mawenge tumeambiwa huku kuwa ni mtandao wa maskini.
Now natumia airtelEti wanasema Airtel ila vifurushi ndo vile vya elf70